Mtei kasema UKWELI ULIOSHINDWA KUTAMKIKA, tuache unafiki!

Mtei kasema UKWELI ULIOSHINDWA KUTAMKIKA, tuache unafiki!

Kama wakristu wangekuwa wengi nadhani pia kelele zingekuwa nyingi zaidi

Usiandike tu kwa sababu una vidole vya kubonyeza key board. Hebu tupe uwiano wa idadi ya wakristu na waislamu katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila kugawagawa Tanganyika na Zanzibar. Kisha utoe uwiano kama huo kwa upande wa Tanganyika peke yake.
Kama kuna kitu kinakera nchi hii ni haya mambo ya kuendekeza udini bila kuangalia uwezo. Unakuta mtu hana uwezo wowote anapewa mamlaka makubwa ili mradi tu ni wa dini flani hata kama ana kichwa cha nazi. Ndio maana Tanzania haiendelei kwa sababu ya mambo ya kijinga.
 
Hakuna kitu ambacho nakichukia ndani ya JF kama thread zinazohusu mambo ya dini na udini.
Kuna baadhi ya memberz hapa jamvini nilikuwa nawaheshimu sana! lakini nikabahatika kuwasoma
kwenye thread za mambo ya dini, yaani ***** wanaoushusha between the line hauelezeki na sa
sa ninawazarau kuliko wanavyojua! Nimewaweka kwenye list ya Jussa na Mzee Mtei (hawana akili)

Narudia tena....thread za dini na udini hazina mashiko kwa Taifa letu! you know why? hizi dini tumeletewa.
 
Mimi nilisema kinyume cha Waberoya!! Mzee Mtei has a point, na hiyo itabaki hivyo.
 
Rais wa jamuhuri ya muungano, makamu wake, jaji mkuu, waziri wa ulinzi, mambo ya ndani, mambo ya nje, fedha na wizara zote nyeti, wakurugenzi wa idara nyeti serikalini, ushahidi upo; nenda smz yote, wote ni waislam. Mbona wakristu hawalalamiki? Mbona JK unataka kutuletea balaa? Kumbuka wakristu kukaa kimya si ujinga kwani kimya kingi kina mshindo.
Na wewe unasema? hakuna asiyejua kama wakristo wakichukia nchi itakuwaje,tunajua kanisa lina tume ya majeshi (Armed Force) Tunajua Rwanda kanisa lilifanya kazi gani Tunajua Nyerere alilipa kanisa nafasi gani hapa nchini Tunajua kwamba waislam ni 65% ya wananchi wote wa bara hilo halipingiki mimi nina wake 4 na watoto 20 kwenu mpo wangapi? msilete ujinga huo halafu mnjiita thgreat thinkers Nooo. Zanzibar ilikuwa nchi kamili yenye mamlaka zote na 99.9% ya wazanzibar ni waislam ukiwapata wakristo ni wale waliopandikizwa na mtakatifu baba yenu.Angekuwepo mngemuuliza nini kilimfanya Buyoya amkatae kwenye usuluhishi wa Burundi. He was a good in...................... angejazia Buyoya.Umri kaka you are not a tiger,always tiger works wisely
 
Wengi tumejitenga na ukweli unaouzi. Katika kuunda tume ya katiba JK Ameshindwa kuepuka shinikizo la Redio Imani na Gazeti la al-nuur.

Ubaya tumefundishwa kuchukia DINI na si UDINI! MFANO chadema kinaitwa chama cha kikristu kwasababu tu uongozi wake wa juu unawakristo wengi.

Lakini CUF kimejaa waislamu wengi toka miaka ya tisini lakini JK hakukiusisha na udini! Unajua ni kwanini ni mpinga dini na si udini!

Tunataka kuaminishwa kuwa adui mkubwa wa mwislamu ni mkristo na adui mkubwa wa ukristo ni mwislamu. Tunasahau kuwa uislamu na ukristo asili yake ni moja Ibrahimu. Tunataka kuwasahau maadui tunaopambana nao ni walewale Ujinga, Umasiki, Maradhi na Rushwa.

Ubaya tumeitupa ELIMU tukaaminishwa UJINGA tukashindwa kuutambua ukweli. Majizi yanachangia makanisa na misikiti kwenye arambee tunayaona kama marafiki.

Mawazo ya Ar-nuur na Redio Imani ambayo ni msingi wa uteuzi wa tume;-
Tume iundwe na nusu ya wajumbe kutoka bara na nusu kutoka zanzibar(bila kujari ukubwa na idadi ya watu kutoka pande hizo). Na hili tundulisu alilipinga vikali akaonekana Mjinga.

Wajumbe kutoka zanzibar wawe waislamu wote sababu zanzibar ni nchi ya kiislamu na wajumbe kutoka bara wawe nusu wakristo nusu waislamu sababu ndio dini kuu kwa huku bara. Na kutowatambua kabisa wasio na dini.

Kwa mchanganuo huo maslai ya waislamu yataingia kwenye katiba mpya. Kwani 75% ya wajumbe watakuwa waislamu na25% tu ndio wawe wakristo. Ila moja ya dai kuu la waislamu ni nafasi sawa za uongozi, mahakama ya kadhi na kupinga mfumo kristo. Hawana habari juu ya ufisadi mfumo mbovu wa elimu, huduma duni za afya, rushwa na mfumuko wa bei.

Katika kuteua tume JK Kazingatia maoni ya media za kiislam. Je anaamini kama wao au ni kupunguza mashinikizo ya waislamu zidi yake.

Ata katika uteuzi wa majaji, wakuu wa mikoa na wilaya, mawaziri JK ujitaidi kuzingatia hili. Hii ni hatari! Tuzingatie uwezo tu.

Sioni tatizo atakama jk angeteua waislamu wote ila tu wawe na uwezo.
PILLI NATOARAI WATUMBE WA TUME WAANGALIE MASLAI YA TAIFA NA SIO DINI ZAO KWAN UMA HAUTAWEZA KUKAA KIMYA

PUMBAVU SANA,Ujinga ni nafuu kama mgonjwa anatibika,lakini mpumbavu ni sawa na kumpa maiti dozi. sio mimi Biblia ilishaandika Mpumbavu hata ukimuweka pamoja na mahindi kinuni kisha ukatwanga pamoja nayo hautomtoka upumbavu wake. haya hapo ulitaka kutufundisha nini unajitia unachukia huku unatetea AAAhhhhh basi nisije kiuka miiko ya maadili yangu.
 
PUMBAVU SANA,Ujinga ni nafuu kama mgonjwa anatibika,lakini mpumbavu ni sawa na kumpa maiti dozi. sio mimi Biblia ilishaandika Mpumbavu hata ukimuweka pamoja na mahindi kinuni kisha ukatwanga pamoja nayo hautomtoka upumbavu wake. haya hapo ulitaka kutufundisha nini unajitia unachukia huku unatetea AAAhhhhh basi nisije kiuka miiko ya maadili yangu.
Naona umeishiwa hoja umegeukia matusi.
 
Jambo ambalo kikwete amelifanya ni kutekeleza yale yaliyoko katika sheria ya kuanzisha Katiba Mpya, ambayo imepitishwa na bunge la Jamuhuri ya Muungano, Kwamba idadi ya wajumbe wawe nusu kutoka bara na nusu kutoka visiwani. Kwabahati mbaya asilimia 99.9 ya wa Zanzibari ni Waislamu. kwa hiyo wawakilishi to ka nzibari watakuwa waislamu ndio wengi. Kwa wa jumbe wa tanzania bara wakristo ni wengi, kuliko waislamu.Nionavyo mimi udini unashika kasi ya ajabu, hapa kwetu TZ, cha msingi ilikuondoa hili katiba mpya ijayo, hili jambo liwekwe vizuri, hasa katika mgawanyo wa madaraka, serekalini na taasisi zake zote, uwe 40 kwa 40 kati ya waislamu na wakristo, na ishirini kwa wenye dini za asili, na uteuzi wao uzingatie uwezo wao. Hili linaweza kuzima hili bomu la udini hapa TZ, lasivyo tutakuja kuchinjana wenyewe kwa wenyewe humu.
 
Ningelipenda kuchangia lakini ninamuomba yeyote aliye na takwimu za mabaraza ya mawaziri na viongozi wa juu katika serikali za J. K. Nyerere, A. H. Mwinyi na W.B. Mkapa ili tuweze kulinganisha uwiano wa dini katika awamu hizo kabla ya kumsakama JK.
 
Watanzania wenzangu, kuna mahali katika safari yetu ya kujiletea maendeleo, tumepotea njia. Hivi kweli JK hajavunja katiba katika mchakato mzima huu? Hamuoni kuwa ametupokonya mamlaka ya kujitengezea sheria mama kwa manufaa yetu wenyewe? Kwa mtindo huu, tunagawanyika na hatma yake kutawaliwa kama mazuzu. Ni haki ya kila mmoja wetu kuweka lalamiko lake hadharani na siyo kifuani. Kimsingi, tumefikaje hapo? CCM. Kutaka kuendelea kutawala na asiumbuliwe. Tusigombane - tugombanie!
 
Wakati mwingine kweli unajiuliza hivi kweli Zanzibar hakuna wakristo waliofaa kuteuliwa kuwa kwenye tume ya katiba kama kweli kuna-balance hapo. Katibu wa tume pekee ndiye sijui ni mkristo au ni jina lake tu. Wakati Kikwete amechanganya kwenye tume yake huku Tanganyika na amekuwa akifanya hivyo kila akifanya uteuzi, kama ni wateule wanane basi atahakikisha kuna waislamu 4 na wakristo 4 hata kama hakuna uwiano ulio swa baina ya wakristo na waislamu Tanzania. Hali hii ni mbaya make hata waislam wataanza kuuliza humo kuna shia, bohora etc wangapi na wakristo nao watakuja kuhoji kuna walokole, waaglikani, wakatoliki etc wangapi? Utaratibu huu wa uteuzi kuangalia dini ni mbovu kabisa make huko tuendako utaleta matatizo makubwa. Mfano Kikwete angetaja na sifa za watu aliowateua tukazijua na tukaziheshimu badala ya kutuachia kuanza kuhisi kuwa wengine wameteuliwa kwa sababu ya dini zao. Kwa kuziba masikio katika matendo haya ndio maana kumeshamiri mihadhara ya dini ikikashifu dini zingine na pia hata zanzibar wakati wa mfungo wa ramadhan watu wengine hawaruhusiwi kula chakula hadharani hata kama ni tunda vinginevyo unakamatwa na kuwekwa jela lakini wakati wa mfungo wa wakristo wazanzibar wao wanakula hadharani sasa sijui haki ya binadamu iko wapi na watawala wetu wanaoona hili ni sahihi tu. Mbona waislamu wa Tanzania bara wanafunga na kuwaacha watu wengine wakila hadharani bila kukwazwa? Ina maana waislamu wa zanzibar hawawezi kujizuia na tamaa ya kula wakiona wengine wanakula? Ihali waislamu wa bara wanaweza kujizuia? Viongozi wetu wa siasa waangalie kero hizi zinatuumiza sana wananchi wa kawaida.
 
Soon watanzania tunaingia ktk vita vya kidini kwa sababu ya JK.

mbona hatujaingia kwenye vita wakati wa mkapa? alikuwa makamu wa rahisi tu ebu tuangalie ma chancelor, vc, wakuu wa vitivo vya vyuo vya umma hisipokuwa udom hata hvyo inawauma pu.m.b.a.f.u!, ebu tuangalie wakurugenz wotw
 
Hii haiwezekani hata kidogo kwani Zanzibar ni wadogo sana so haiwezekani ati watoke nusu na Tanganyika watoke nusu hapa haijakaa poa kabisa ingetakiwa Zanzibar watoke hata 7 au 8 na Tanganyika kwa kuwa tuko wengi watoke waliobakia lkn hapa huyu Kikwete anataka alete mambo yake ya ajabu nashangaa sana Wakristo magamba wanaunga mkono wakati kila kona sasa wamejaa hawa wajahidina na kwa nini waziri wa mambo ya ndani atoke Zanzibar,hebu Wakristo mlioko kwa Magamba amkeni ama sivyo huyu kil.. .aza Kikwete ataleta vita ya kidini kwa nchi hii kweli Mzee Mtei kama kaongea alikuwa na point sana tu so vijana tuamke we dont need huu uteuzi
 
Dr upo ?

Nilisikitika sana ulipoaga maana jukwaa lilipwaya sana natumai uko mzima. Hawa ndugu zetu wakristo washazoea waislamu ni wafagizi na wazibua vyoo na huo msemo wa mzee mtei amezungumza lililopo ndani moyo yake. Unakumbuka statement yake aliyomwambia Zitto kuwa hawezi kumpa chama mtu asiyemfahamu na asiyefahamika. Huo ni msemo wa wabaguzi wa kikristo ambao huchukulia waislamu ni waswahili na waswahili hawajasoma hivyo hawana maana yeyote. Kuna mtu mmoja toka kaskazini aliwahi kunifunulia anasema wachaga na wameru wanasema asili ya neno mswahili ni mtu asiye na maana katika jamii, mvivu na asiyestaarabika.

Zama zinabadilika sasa ni jino kwa jino. Waislamu wengi wamesoma na wanadeserve na haki yao kuwa na position nchini mwao instead of being treated as second class citizen nchini mwao. Failure to address this issue mwisho wa siku Tanzania itakuwa haikaliki kwani waislamu wameamka na hawatanii.

Baadhi ya wanasupport kauli ya Mtei na kundi lake wanafiki kwani kama tunadai uwiano tuanzie kwanza katika chadema almost 89% ya wagombea ubunge mwaka 2010 walikuwa wakristo waislamu walikuwa just a handful 11%, Tuende katika serikali ambapo tunaona viongozi wote wa juu serikalini almost 70% or more ni wakristo je nalo hilo mbona hamlisemi? Tuje katika wakurugenzi wa taasisi za serikali na wizara huko ndio balaa zaidi maana almost 80% or more ni wakristo mbona hamsemi???? Tukishuka chini zaidi katika mgawanyo wa rasilimali Taasisi za kikristo zinapata almost Bilioni 90 kila mwaka na walikuwa wakipata almost Trilioni 2 tangu wapitishe mkataba wao wa kifisadi (MOU kati ya makanisa na serikali) mbona hamsemi wakati waislamu hawapati chochote!!!! Tutafika tu pole pole



Waarabu walipokuja hawakuleta la maana zaidi ya utumwa, misikiti, uisilamu na kulala na dada zetu wakazaliwa waarabu koko, wakati wazungu walipokuja walileta ukristo, makanisa, hospitali na mashule sasa ulitegemea nini baada ya uhuru wakoloni wameondoka tuweke wajinga ambao hawajasoma kuwa wakuu wa taasisi? eti kwa sababu wana elimu ya koran ambayo sio sayansi ila ni kukalilishwa koran kwa kiaarabu?

Isitoshe hata wakristo sio wote walipata hizo nafasi bali wakristo wa maeneo yaliyokaliwa na wazungu wakapata elimu bora zaidi kama wachagga, wahaya na wanyakyusa lakini kutokana na huruma ya Julius Nyerere alitaifisha mashule na mahospitali ya wakrito ili nao waislamu wapate kusoma na kutibiwa na kwa kufanya vile Nyerere alisimamaisha maendeleo ya wakristoi li kuwapiga jeki waisilamu. Ingelikuwa ni kinyume chake kuwa Nyerere kataifisha mashule na mahospitali ya waisilamu ili wakristo wapate elimu na matibabu Tanzania ingewaka moto na huo moto usingezimika mpaka leo

Sasa wakristo wanapolaumu uiwiano na wewe unakuja na data zako feki eti wafanyakazi wa taasisi asilimia 70 ni wakristo je unakuja na falsafa ya kuwa na ng'ombe 100 wabovu ni bora kuliko ng'ombe 10 bora? hapa nina maana ya kuwa sehemu nyeti na wizara nyeti zote wamewekwa waisilamu na sehemu za kawaida ambazo hazina effect wamewekwa wakristo tangu Tanzania tupate uhuru hatujawahi kuwa na Rai na makamu wote wa dini moja kwa pamoja au Jaji Mkuu na Jaji Kiongozi wote wa dini moja kwa pamoja ukiachilia mbali mkuu usalama wa taifa na mkuu wa polisi wote dini moja kwa pamoja.

Namalizia kwa kusema waislamu mshukuruni sana Nyerere kwa kusimamisha maendeleo ya wakristo ili msiachwe nyuma maana kila sehemu waliyoishi wazungu kulijengwa makanisa, shule na hospitali vitu muhimu sana kwa wakati ule wakati waarabu walijenga misikiti na kupiga mimba dada zetu ndio matokeo ya waarabu koko kila sehemu waliyosihi waarabu na mwisho kabisa wakristo ni wengi kuliko waislamu haiwezekani nchi yenye wakristo zaidi ya asilimia 60 wakuu wa taasisi wengi wawe ni waisilamu na kwa bahati mbaya waanzilishi wa dini yao hawakuletea lolote zaidi ya kujenga misikiti na upigaji mimba na utashangaa mpaka sasa nchi za kiislamu msaada mkubwa ni tende wakati wa ramadhani na ujengani wa misikiti
 
Hakuna kitu ambacho nakichukia ndani ya JF kama thread zinazohusu mambo ya dini na udini.
Kuna baadhi ya memberz hapa jamvini nilikuwa nawaheshimu sana! lakini nikabahatika kuwasoma
kwenye thread za mambo ya dini, yaani ***** wanaoushusha between the line hauelezeki na sa
sa ninawazarau kuliko wanavyojua! Nimewaweka kwenye list ya Jussa na Mzee Mtei (hawana akili)

Narudia tena....thread za dini na udini hazina mashiko kwa Taifa letu! you know why? hizi dini tumeletewa.

wewe usijipe ujiko wa ki lord lofa huo eti kuna watu unawazarau kwani wewe ni nani na unaumuhimu gani hapa JF???? who cares???
 
Vijana wa kitaa husema Mtei amegonga mfupa!Kama ni ngumi basi ya puani!
Ila Nawaaminia wakristo waliowekwa umo maana msije mkaingiza na mahakama ya Kadhi umo?
Tutajaonana wabaya bure!
JK izi ni changamoto so uamuzi ni wako kupangua au LAH!
 
Waarabu walipokuja hawakuleta la maana zaidi ya utumwa, misikiti, uisilamu na kulala na dada zetu wakazaliwa waarabu koko, wakati wazungu walipokuja walileta ukristo, makanisa, hospitali na mashule sasa ulitegemea nini baada ya uhuru wakoloni wameondoka tuweke wajinga ambao hawajasoma kuwa wakuu wa taasisi? eti kwa sababu wana elimu ya koran ambayo sio sayansi ila ni kukalilishwa koran kwa kiaarabu?

Isitoshe hata wakristo sio wote walipata hizo nafasi bali wakristo wa maeneo yaliyokaliwa na wazungu wakapata elimu bora zaidi kama wachagga, wahaya na wanyakyusa lakini kutokana na huruma ya Julius Nyerere alitaifisha mashule na mahospitali ya wakrito ili nao waislamu wapate kusoma na kutibiwa na kwa kufanya vile Nyerere alisimamaisha maendeleo ya wakristoi li kuwapiga jeki waisilamu. Ingelikuwa ni kinyume chake kuwa Nyerere kataifisha mashule na mahospitali ya waisilamu ili wakristo wapate elimu na matibabu Tanzania ingewaka moto na huo moto usingezimika mpaka leo

Sasa wakristo wanapolaumu uiwiano na wewe unakuja na data zako feki eti wafanyakazi wa taasisi asilimia 70 ni wakristo je unakuja na falsafa ya kuwa na ng'ombe 100 wabovu ni bora kuliko ng'ombe 10 bora? hapa nina maana ya kuwa sehemu nyeti na wizara nyeti zote wamewekwa waisilamu na sehemu za kawaida ambazo hazina effect wamewekwa wakristo tangu Tanzania tupate uhuru hatujawahi kuwa na Rai na makamu wote wa dini moja kwa pamoja au Jaji Mkuu na Jaji Kiongozi wote wa dini moja kwa pamoja ukiachilia mbali mkuu usalama wa taifa na mkuu wa polisi wote dini moja kwa pamoja.

Namalizia kwa kusema waislamu mshukuruni sana Nyerere kwa kusimamisha maendeleo ya wakristo ili msiachwe nyuma maana kila sehemu waliyoishi wazungu kulijengwa makanisa, shule na hospitali vitu muhimu sana kwa wakati ule wakati waarabu walijenga misikiti na kupiga mimba dada zetu ndio matokeo ya waarabu koko kila sehemu waliyosihi waarabu na mwisho kabisa wakristo ni wengi kuliko waislamu haiwezekani nchi yenye wakristo zaidi ya asilimia 60 wakuu wa taasisi wengi wawe ni waisilamu na kwa bahati mbaya waanzilishi wa dini yao hawakuletea lolote zaidi ya kujenga misikiti na upigaji mimba na utashangaa mpaka sasa nchi za kiislamu msaada mkubwa ni tende wakati wa ramadhani na ujengani wa misikiti[/QUOTE/]

Mkuu hapo umemaliza kila kitu lakini kwa uzoefu wangu na hao wala tende hawawezi kuelewa hata kidogo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa. Hii nchi iko kwenye barabara ya kuelekea uharibifuni mithili ya nigeria na somalia, historia ya dunia inaonyesha kuwa hakuna mahala popote duniani ambapo waislam waliishi au wanaishi kwa amani na watu wasiowaislam. Laiti kama watu wangejua quran inafundishaje juu ya watu wasiowaislam; ni balaa tupu.
 
Waarabu walipokuja hawakuleta la maana zaidi ya utumwa, misikiti, uisilamu na kulala na dada zetu wakazaliwa waarabu koko, wakati wazungu walipokuja walileta ukristo, makanisa, hospitali na mashule sasa ulitegemea nini baada ya uhuru wakoloni wameondoka tuweke wajinga ambao hawajasoma kuwa wakuu wa taasisi? eti kwa sababu wana elimu ya koran ambayo sio sayansi ila ni kukalilishwa koran kwa kiaarabu?

Isitoshe hata wakristo sio wote walipata hizo nafasi bali wakristo wa maeneo yaliyokaliwa na wazungu wakapata elimu bora zaidi kama wachagga, wahaya na wanyakyusa lakini kutokana na huruma ya Julius Nyerere alitaifisha mashule na mahospitali ya wakrito ili nao waislamu wapate kusoma na kutibiwa na kwa kufanya vile Nyerere alisimamaisha maendeleo ya wakristoi li kuwapiga jeki waisilamu. Ingelikuwa ni kinyume chake kuwa Nyerere kataifisha mashule na mahospitali ya waisilamu ili wakristo wapate elimu na matibabu Tanzania ingewaka moto na huo moto usingezimika mpaka leo

Sasa wakristo wanapolaumu uiwiano na wewe unakuja na data zako feki eti wafanyakazi wa taasisi asilimia 70 ni wakristo je unakuja na falsafa ya kuwa na ng'ombe 100 wabovu ni bora kuliko ng'ombe 10 bora? hapa nina maana ya kuwa sehemu nyeti na wizara nyeti zote wamewekwa waisilamu na sehemu za kawaida ambazo hazina effect wamewekwa wakristo tangu Tanzania tupate uhuru hatujawahi kuwa na Rai na makamu wote wa dini moja kwa pamoja au Jaji Mkuu na Jaji Kiongozi wote wa dini moja kwa pamoja ukiachilia mbali mkuu usalama wa taifa na mkuu wa polisi wote dini moja kwa pamoja.

Namalizia kwa kusema waislamu mshukuruni sana Nyerere kwa kusimamisha maendeleo ya wakristo ili msiachwe nyuma maana kila sehemu waliyoishi wazungu kulijengwa makanisa, shule na hospitali vitu muhimu sana kwa wakati ule wakati waarabu walijenga misikiti na kupiga mimba dada zetu ndio matokeo ya waarabu koko kila sehemu waliyosihi waarabu na mwisho kabisa wakristo ni wengi kuliko waislamu haiwezekani nchi yenye wakristo zaidi ya asilimia 60 wakuu wa taasisi wengi wawe ni waisilamu na kwa bahati mbaya waanzilishi wa dini yao hawakuletea lolote zaidi ya kujenga misikiti na upigaji mimba na utashangaa mpaka sasa nchi za kiislamu msaada mkubwa ni tende wakati wa ramadhani na ujengani wa misikiti

Mkuu hapo umemaliza kila kitu lakini kwa uzoefu wangu na hao wala tende hawawezi kuelewa hata kidogo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa. Hii nchi iko kwenye barabara ya kuelekea uharibifuni mithili ya nigeria na somalia, historia ya dunia inaonyesha kuwa hakuna mahala popote duniani ambapo waislam waliishi au wanaishi kwa amani na watu wasiowaislam. Laiti kama watu wangejua quran inafundishaje juu ya watu wasiowaislam; ni balaa tupu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom