Mtei kasema UKWELI ULIOSHINDWA KUTAMKIKA, tuache unafiki!

kama ni busara Balozi wa Saudi Arabia awe muislam, na wa Vatican awe Mkristu.Sijui km kwetu ni hivyo.Hapa pia Busara ingetumika wakati katiba yetu ikijiandaa zaa katiba nyingine itakayoweza weka haya mambo sawa.Ila zanzibar kuna shida kubwa sana zilizochanganywa na kutafsiriwa km zimesababishwa na muungano.Kwa aliyepata muda wa kukaa na wazanzibar wa vijijini unaweza ona tofauti za mitazamo.Na utaona jinsi gani wanasiasa za zanzibar walivyoshindwa wajibika kwa watu wao, wameshindwa wajibika kwa mapungufu yao badala yake wameamua waangusha watu wao,wameamua kuwa wabinafsi na wamekuwa wanafiki kusingizia muungano ndio tatizo.Wakija bara wanazungumza vingine wakirudi kwao wanaongea kingine.Hawajajua kuwa wanajenga watu wagumu kuongozwa.Sidhani kuwa Zanzibr kupata mafuta kutazuia bara kuwa na dhahabu,almasi, uranium, chuma, gas na mafuta yenyewe as gas ipo juu ya mafuta.
Wazanibar wakicheza watajikuta wakijenga jamii ya kupinduana mfululizo.Its time kuwaambia watu wao wawe majasiri,nguvu wanazowekeza ktk kuvunja muungano waziwekeze ktk kuufaidi muungano fairly.Otherwise watajikuta makomandoo wanarudi tawala tena, kwa kuwadaganya wananchi wawatete ,kisingizio kikiwa km cha CUF kuwa wananchi wameamua chagua amani.Huku watu wengine wamekufa in vein.Hapa ama serikali au akina Maalim wangepaswa shtakiwa kwa yale mauaji.Ila kwa vile ndivyo watu wa zanzibar walivyojengwa mamabo yapo sawa.

TUTAKAPOFIKIA KUAMINIANA NA KUAMINIKA udini ,ukabila na ukanda utamezwa sana.Ila kwa mwendo huu tunayo kazi.
 
Rais ni Muislam, Makamu ni Muislam, Rais wa Zanzibar ni Muislam, Waziri wa fedha ni Muislam, Waziri wa Elimu Muislam, Waziri wa Afya Muisla,Waziri wa Ulinzi ni Muislam, Waziri wa Mambo ya ndani ni Muislam. Wizara nyeti zimewekwa waislam.Judge Mkuu Muislam, Judge Kiongozi Muislam, IGP Muislam. Wakristo hawalii lii udini. Leo Kikwete katumia upole na ukimya wa wakristo kuwadharau. Kajaza waislam kwenye tume ya katiba ili kuileta katiba ya Jamhuri ya waislam Tanzania.

Wana JF Nilikwishasema siku nyingi Rais Jakaya Kikwete is not serious watu wengi wanadhani ni utani niko serious huyu Mdini Juha Kalulu(JK) yuko tayari kufa kwa Jihad. Badala ya kuangalia mambo kwa upeo analeta uswahili na Utani kwenye jambo zito katiba ya Nchi. Kwenye hili sheria ilikosewa and I stand to be corrected. Zanzibar sio nchi you can't have 1.5 million people balanced with 45 million. Labda kama utatumia Makalio kufikiria Kama alivyosema Masaburi! Narudia uteuzi aw this useless tume utakuja kuwatokea puani it's just a matter of time . Tumeanza safari kwa mguu wa kushoto hatutafika tutaishia jangwani Kama ilivyokuwa furaha ya nyani. We actually need a to undertake a military take over tuanze kuhesabu kwa vijiti. Where is my AK 45 tuanzie porini hii politic shall take us back to square one!
 
Kwa udini huu wa JK natabiri watanzania kuingia vitani b4 2015.

Vita anatangaza amiri jeshi mkuu ambaye ni ustadh. kikwete
atasaidiwa na waziri wa ulinzi ambaye ni ustadh Hussen mwinyi
wengine watakaompa tafu ni waziri wa mambo ye ndani ambaye ni ustaadh Nahodha
Uhakika wa fedha utapatikana toka kwa waziri wa fedha ustaadh mkuro
ustadh Nundu
atarahisisha uchukuzi wa vifaa vya kijeshi na zana nyingine
ustaadh Dr. shein ataongoza kikosi kidogo KMKM tokea zanzibar
ustaadh makamu wa rais dr bilali atabakia ikulu kuangalia logistic nyingine

Mmeshikwa pabaya hamna pa kutokea
 
Hodiiiii! Naomba niingie humu nichangie mada hii muhimu kwa sehemu tu. Jamani udini utaiangamiza nchi. Tatizo ni viongozi wetu kuanza kutumia dini kwa malengo yao ya kisiasa. Kuna umuhimu wa Serikali kufanya mambo yake kwa kuangalia uwezo na Proffessionalism badala ya dini. Vinginevyo tunatengeneza bomu.
 
Mkuu,

Ngoja nikupe taarifa hapo kwenye nyekundu;

Viongozi wakuu wa CHADEMA ni hawa;

Mwenyekiti- Freema Mbowe
Makamu mwkt znz- Mohamed Arfi
Katibu mkuu- Dr. Slaa
Naibu Katibu mkuu znz - Yusuph Mohamed
Naibu katibu mkuu bara - Zitto kabwe

Kama kuna udini hapo, basi ni uislamu!.
Nenda KAFU sasa. Ukikuta kiongozi Mkristo mcheki kwenye paji lake la uso kama hujakuta doa jeusi
 
Mkuu usiendelee na upuuzi wa mbuni kuficha kichwa na kuacha mwili wote nje! CHADEMA ndiyo issue hapa! Pengi angesema haya watu wangejadili katika muktadha mwingine! Na hakuna mtu angesema 'amefilisika'! Issue ni INAKUWAJE CHAMA CHA SIASA KITETEE MASLAHI YA DINI FULANI? AU KWA NINI CHADEMA IONE WAISLAMU WENGI NI TATIZO KWENYE TUME YA KATIBA?
Usiwe mwehu wewe.
Inamaana Jussa aliposema kuwa Wabara watimuliwe na wasiajiriwe Zanzibar ile ni sera yA kafu?
Inamaana Lusinde alivyohara Arumeru kwa kusema kama ni matusi na wao wanayaweza inamaana ile ni kauli ya CCM?
Mwinyi alipokwenda kwenye baraza la Idd kutetea Kondom ile ni kauli ya waislam? (Kumbuka Mwinyi ni Alhaji)
Tumia akili wewe usiache masaburi yakutawale
 
jk is a religious fanatic who does not think beyond his religious feelings! Lakini hii tume aliyo unda naona inaweza isitimize hisia za udini za JK pana watu credible sana pale! Afanye mabadiliko zenj wawe na mwakilishi mmoja kwa maana ya idadi ya watu hiki ni kitongoji sawa na mburahati kwa jongo.
 
Hapo tatizo kunbwa ni namna ya tume ya katiba itakavyo lishugulikia suala zima la mahakama ya kadhi!

Mojawapo ya issue kubwa kabisa ktk mchakato wa katiba mpya ni namna ya kuingiza mahakama ya kadhi kwenye mfumo wa mahakama za Tanzania, Wakristo kwa nia njema kabisa kabisa wamekuwa wakilipinga jambo hili, Nchi kwa ujumla ( nikimaanisha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) iamini ktk MUNGU lakini isiendeshwe kidini! ( kikisto, kiislamu, kibudha, kihindu) ila Watanzania ( wananchi) tuendelee kumwabudu MUNGU kwenye na dini zetu bila ya kundi lolote kuli intimidate kundi lingine ktk suala zima la kuabudu
 
Mimi nimehuzunika hii tume ya Tanganyika imejaa wakristo 11 vs. waislam 4; Tanganyika ni nchi ya kikristo?
 
Nafikiri waTanganyika ni lazima mfikiri mara mbili.
Kumbukeni Zanzibar ina zaidi ya 99.5% ya raia wake ni waislam. Na hilo lipo wazi hata kwa wabunge na wawakilishi toka Znz hususan wale wa kuchaguliwa na wananchi ni 100% waislam. Mfumo wa serikali na viongozi wake wote wa juu kuanzia wakurugenzi, makatibu wakuu, mawaziri na hata RC na ma Dc takriban 99.5% ni waislam. Hilo si ajabu kwa Znz.

Lakin Tanganyika kuna namna kwani ilizoeleka kuona wateule wote lazima wawe wakristo. Sasa lazima mjue waislam nao wasomi hivyo pasu kwa pasu katika nafasi zote na sio nafasi za waislam zihesabiwe na zile za waZnz.

UDINI sasa unadhihiri baada ya waislam kushtuka. Kwani waswahili wanasema alielala usimwamshe. Sasa waislam Tanganyika nao wameamka.

Poleni sana Mzee wangu Edwin.

Dr upo ?

Nilisikitika sana ulipoaga maana jukwaa lilipwaya sana natumai uko mzima. Hawa ndugu zetu wakristo washazoea waislamu ni wafagizi na wazibua vyoo na huo msemo wa mzee mtei amezungumza lililopo ndani moyo yake. Unakumbuka statement yake aliyomwambia Zitto kuwa hawezi kumpa chama mtu asiyemfahamu na asiyefahamika. Huo ni msemo wa wabaguzi wa kikristo ambao huchukulia waislamu ni waswahili na waswahili hawajasoma hivyo hawana maana yeyote. Kuna mtu mmoja toka kaskazini aliwahi kunifunulia anasema wachaga na wameru wanasema asili ya neno mswahili ni mtu asiye na maana katika jamii, mvivu na asiyestaarabika.

Zama zinabadilika sasa ni jino kwa jino. Waislamu wengi wamesoma na wanadeserve na haki yao kuwa na position nchini mwao instead of being treated as second class citizen nchini mwao. Failure to address this issue mwisho wa siku Tanzania itakuwa haikaliki kwani waislamu wameamka na hawatanii.

Baadhi ya wanasupport kauli ya Mtei na kundi lake wanafiki kwani kama tunadai uwiano tuanzie kwanza katika chadema almost 89% ya wagombea ubunge mwaka 2010 walikuwa wakristo waislamu walikuwa just a handful 11%, Tuende katika serikali ambapo tunaona viongozi wote wa juu serikalini almost 70% or more ni wakristo je nalo hilo mbona hamlisemi? Tuje katika wakurugenzi wa taasisi za serikali na wizara huko ndio balaa zaidi maana almost 80% or more ni wakristo mbona hamsemi???? Tukishuka chini zaidi katika mgawanyo wa rasilimali Taasisi za kikristo zinapata almost Bilioni 90 kila mwaka na walikuwa wakipata almost Trilioni 2 tangu wapitishe mkataba wao wa kifisadi (MOU kati ya makanisa na serikali) mbona hamsemi wakati waislamu hawapati chochote!!!! Tutafika tu pole pole
 
Hapo tatizo kunbwa ni namna ya tume ya katiba itakavyo lishugulikia suala zima la mahakama ya kadhi!

Mojawapo ya issue kubwa kabisa ktk mchakato wa katiba mpya ni namna ya kuingiza mahakama ya kadhi kwenye mfumo wa mahakama za Tanzania, Wakristo kwa nia njema kabisa kabisa wamekuwa wakilipinga jambo hili, Nchi kwa ujumla ( nikimaanisha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) iamini ktk MUNGU lakini isiendeshwe kidini! ( kikisto, kiislamu, kibudha, kihindu) ila Watanzania ( wananchi) tuendelee kumwabudu MUNGU kwenye na dini zetu bila ya kundi lolote kuli intimidate kundi lingine ktk suala zima la kuabudu


Umesahau vile vile kuna suala la MoU ya kanisa na Serikali ya JMTz. Ambapo kila mwaka makanisa yanakwapua bilioni 90 kutoka Serikalini.

Hizo ni pesa ambazo zingeweza kujenga vyuo kama alichofungua Jana Mh Dr Gharib Bilal cha Veta Lindi 23. Kwani thamani ya kujenga chuo cha Veta cha Lindi pamoja na vifaa vyake vyote ni Bilioni nne tu.

 
Nafikiri Mtei alipaswa kuzungumzia zaidi idadi ya wazanzibar kuwa sawa na idadi ya watu wa bara. Nathan hapo ndipo kuna kuibiwa cha tatizo. Hii ndio inapelekea tume kuonekana una waislamu zaidi. Watu wakasema JK kateua kulingana na sheria. Sasa kiini cha tatizo hapa ni sheria ya uundwaji katiba ambayo imekaa kiccm zaidi ingawaje suala la katiba ccm wamelivamia. Walioweka hicho kipengele kwenye msaada wa sheria ya Katika walielewa kabisa madhara yake ila wamelichukua jumla jumla kama lilivokuwa pendekezo la wazanzibar ili wenye wafiche malengo yao maovu kwa kutumua hiyo idadi sana Tanganyika na Zanzibar. Watalitetea kama wazanzibar wanavolitetea, watajibatiza watetezi wa haki sawa kati ya pande hizi mbili lakini lengo lao ni kuminya uwepo wa vipengele bora vya sheria lakini ambavo vitahatarisha uhai wa ccm madarakani.
Cha muhimu hapa ni kuomba hicho kipengele kiondolewe kwa kufanya marekebisho ya sheria ya uundwaji Katika mpya.
 
Umesahau vile vile kuna suala la MoU ya kanisa na Serikali ya JMTz. Ambapo kila mwaka makanisa yanakwapua bilioni 90 kutoka Serikalini.

Hizo ni pesa ambazo zingeweza kujenga vyuo kama alichofungua Jana Mh Dr Gharib Bilal cha Veta Lindi 23. Kwani thamani ya kujenga chuo cha Veta cha Lindi pamoja na vifaa vyake vyote ni Bilioni nne tu.


wewe mnafikisi si uliaga jf ....nini kinakuwasha hukouliko .... puke !
 
Dr upo ?

Nilisikitika sana ulipoaga maana jukwaa lilipwaya sana natumai uko mzima. Hawa ndugu zetu wakristo washazoea waislamu ni wafagizi na wazibua vyoo na huo msemo wa mzee mtei amezungumza lililopo ndani moyo yake. Unakumbuka statement yake aliyomwambia Zitto kuwa hawezi kumpa chama mtu asiyemfahamu na asiyefahamika. Huo ni msemo wa wabaguzi wa kikristo ambao huchukulia waislamu ni waswahili na waswahili hawajasoma hivyo hawana maana yeyote. Kuna mtu mmoja toka kaskazini aliwahi kunifunulia anasema wachaga na wameru wanasema asili ya neno mswahili ni mtu asiye na maana katika jamii, mvivu na asiyestaarabika.

Zama zinabadilika sasa ni jino kwa jino. Waislamu wengi wamesoma na wanadeserve na haki yao kuwa na position nchini mwao instead of being treated as second class citizen nchini mwao. Failure to address this issue mwisho wa siku Tanzania itakuwa haikaliki kwani waislamu wameamka na hawatanii.

Baadhi ya wanasupport kauli ya Mtei na kundi lake wanafiki kwani kama tunadai uwiano tuanzie kwanza katika chadema almost 89% ya wagombea ubunge mwaka 2010 walikuwa wakristo waislamu walikuwa just a handful 11%, Tuende katika serikali ambapo tunaona viongozi wote wa juu serikalini almost 70% or more ni wakristo je nalo hilo mbona hamlisemi? Tuje katika wakurugenzi wa taasisi za serikali na wizara huko ndio balaa zaidi maana almost 80% or more ni wakristo mbona hamsemi???? Tukishuka chini zaidi katika mgawanyo wa rasilimali Taasisi za kikristo zinapata almost Bilioni 90 kila mwaka na walikuwa wakipata almost Trilioni 2 tangu wapitishe mkataba wao wa kifisadi (MOU kati ya makanisa na serikali) mbona hamsemi wakati waislamu hawapati chochote!!!! Tutafika tu pole pole


Mzee Mtei namfahamu sana na nimefanya nae kazi kwa karibu sana nikiwa Wizara ya fedha muungano. Alizoea enzi zile wakuu wote wa idara na wakurugenzi wote walikuwa wa dini yake na mbaya zaidi wengi walitoka kaskazini. Na ilikuwa jambo la kawaida sana kusema AIKAMBE kikaoni.

Nakumbuka kwenye vikao waislam tulikuwa watatu tu na wawili tulikuwa tunatoka Znz. Hivyo kwa bara kulikuwa na mmoja tu kati ya watu wasiopungua 27.

Mimi naona ana haki kulalama kwa hilo. Amesahau kuwa duniya imebadilika sana.

 
wewe mnafikisi si uliaga jf ....nini kinakuwasha hukouliko .... puke !

Ndio uzuri wa mtu kuaga ukitaka kuondoka ... kwani unaporudi hakuna shida.

Kumbuka kuwa sikuondoka kwa kashfa. au wewe unasemaje?

 
Dr upo ?

Nilisikitika sana ulipoaga maana jukwaa lilipwaya sana natumai uko mzima. Hawa ndugu zetu wakristo washazoea waislamu ni wafagizi na wazibua vyoo na huo msemo wa mzee mtei amezungumza lililopo ndani moyo yake. Unakumbuka statement yake aliyomwambia Zitto kuwa hawezi kumpa chama mtu asiyemfahamu na asiyefahamika. Huo ni msemo wa wabaguzi wa kikristo ambao huchukulia waislamu ni waswahili na waswahili hawajasoma hivyo hawana maana yeyote. Kuna mtu mmoja toka kaskazini aliwahi kunifunulia anasema wachaga na wameru wanasema asili ya neno mswahili ni mtu asiye na maana katika jamii, mvivu na asiyestaarabika.

Zama zinabadilika sasa ni jino kwa jino. Waislamu wengi wamesoma na wanadeserve na haki yao kuwa na position nchini mwao instead of being treated as second class citizen nchini mwao. Failure to address this issue mwisho wa siku Tanzania itakuwa haikaliki kwani waislamu wameamka na hawatanii.

Baadhi ya wanasupport kauli ya Mtei na kundi lake wanafiki kwani kama tunadai uwiano tuanzie kwanza katika chadema almost 89% ya wagombea ubunge mwaka 2010 walikuwa wakristo waislamu walikuwa just a handful 11%, Tuende katika serikali ambapo tunaona viongozi wote wa juu serikalini almost 70% or more ni wakristo je nalo hilo mbona hamlisemi? Tuje katika wakurugenzi wa taasisi za serikali na wizara huko ndio balaa zaidi maana almost 80% or more ni wakristo mbona hamsemi???? Tukishuka chini zaidi katika mgawanyo wa rasilimali Taasisi za kikristo zinapata almost Bilioni 90 kila mwaka na walikuwa wakipata almost Trilioni 2 tangu wapitishe mkataba wao wa kifisadi (MOU kati ya makanisa na serikali) mbona hamsemi wakati waislamu hawapati chochote!!!! Tutafika tu pole pole

sadakta umenena vyema Mdondoaji big up!. hakuna jambo linalonichafua zaidi kama hili la MoU linanipa kichefuchefu hasa, yaani mapesa yangu ya kodi yanaenda kuyanufaisha makanisa. sipendi lakini yana mwisho haya. freedom is coming!
 
Ukweli ndg zangu huko tuendako kunanukia vita ya kidini na kubaguana kidini,ni kweli kabisa hapa mkuu wetu kachemka,na wakristo si walalamikaji wa kila mara,ni mengi sana yamefanyika ila kwa hili ni halali waseme,Mtei amepasua jipu na linauma saaaana ili kupona haraka!!!
 
wengi tumejitenga na ukweli unaouzi. Katika kuunda tume ya katiba jk ameshindwa kuepuka shinikizo la redio imani na gazeti la al-nuur.

Ubaya tumefundishwa kuchukia dini na si udini! Mfano chadema kinaitwa chama cha kikristu kwasababu tu uongozi wake wa juu unawakristo wengi.

Lakini cuf kimejaa waislamu wengi toka miaka ya tisini lakini jk hakukiusisha na udini! Unajua ni kwanini ni mpinga dini na si udini!

Tunataka kuaminishwa kuwa adui mkubwa wa mwislamu ni mkristo na adui mkubwa wa ukristo ni mwislamu. Tunasahau kuwa uislamu na ukristo asili yake ni moja ibrahimu. Tunataka kuwasahau maadui tunaopambana nao ni walewale ujinga, umasiki, maradhi na rushwa.

Ubaya tumeitupa elimu tukaaminishwa ujinga tukashindwa kuutambua ukweli. Majizi yanachangia makanisa na misikiti kwenye arambee tunayaona kama marafiki.

Mawazo ya ar-nuur na redio imani ambayo ni msingi wa uteuzi wa tume;-
tume iundwe na nusu ya wajumbe kutoka bara na nusu kutoka zanzibar(bila kujari ukubwa na idadi ya watu kutoka pande hizo). Na hili tundulisu alilipinga vikali akaonekana mjinga.

Wajumbe kutoka zanzibar wawe waislamu wote sababu zanzibar ni nchi ya kiislamu na wajumbe kutoka bara wawe nusu wakristo nusu waislamu sababu ndio dini kuu kwa huku bara. Na kutowatambua kabisa wasio na dini.

Kwa mchanganuo huo maslai ya waislamu yataingia kwenye katiba mpya. Kwani 75% ya wajumbe watakuwa waislamu na25% tu ndio wawe wakristo. Ila moja ya dai kuu la waislamu ni nafasi sawa za uongozi, mahakama ya kadhi na kupinga mfumo kristo. Hawana habari juu ya ufisadi mfumo mbovu wa elimu, huduma duni za afya, rushwa na mfumuko wa bei.

Katika kuteua tume jk kazingatia maoni ya media za kiislam. Je anaamini kama wao au ni kupunguza mashinikizo ya waislamu zidi yake.

Ata katika uteuzi wa majaji, wakuu wa mikoa na wilaya, mawaziri jk ujitaidi kuzingatia hili. Hii ni hatari! Tuzingatie uwezo tu.

Sioni tatizo atakama jk angeteua waislamu wote ila tu wawe na uwezo.
Pilli natoarai watumbe wa tume waangalie maslai ya taifa na sio dini zao kwan uma hautaweza kukaa kimya

hata mimi nakubaliana na alichosema mzee mtei. Kwanza haiwezekani zanzibar yenye watu wachache kiasi hicho iwe na wajumbe sawa na wa kutoka tanganyika ambao ni wengi. Hapa jk anajua analolifanya. Hivi kweli huu muungano unatusaidia nini. Usipokuwepo tutakosa nini

 
Nafikiri waTanganyika ni lazima mfikiri mara mbili.
Kumbukeni Zanzibar ina zaidi ya 99.5% ya raia wake ni waislam. Na hilo lipo wazi hata kwa wabunge na wawakilishi toka Znz hususan wale wa kuchaguliwa na wananchi ni 100% waislam. Mfumo wa serikali na viongozi wake wote wa juu kuanzia wakurugenzi, makatibu wakuu, mawaziri na hata RC na ma Dc takriban 99.5% ni waislam. Hilo si ajabu kwa Znz.

Lakin Tanganyika kuna namna kwani ilizoeleka kuona wateule wote lazima wawe wakristo. Sasa lazima mjue waislam nao wasomi hivyo pasu kwa pasu katika nafasi zote na sio nafasi za waislam zihesabiwe na zile za waZnz.

UDINI sasa unadhihiri baada ya waislam kushtuka. Kwani waswahili wanasema alielala usimwamshe. Sasa waislam Tanganyika nao wameamka.

Poleni sana Mzee wangu Edwin.
Ah! Ustaadh Barubaru, nafasi za utendaji zitolewe kufuata uwezo wa mhusika na sio dini yake, la si hivyo wengine ambaye si waislam au wakristo hatutaona ndani, au vipi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom