Mtei kasema UKWELI ULIOSHINDWA KUTAMKIKA, tuache unafiki!

I hate JK more than any other creature in this world. Go to hell

Hata ukimchukia inasaidia nini? Wewe ni mtu mdogo sana usiye na thamani yoyote kwenye jamii yetu. Chuki haitakusaidia chochote. Mbona humchukii yule Mkatoliki mwenzako (Mkapa)aliyebinafsisha migodi yetu kwa wazungu na kutufanya tuzidi kuwa maskini? Mbona hatuwasikii kumsema Mkapa kwa ufisadi mkubwa uliofanyika enzi zake? Udini wa Nyerere huuoni unauona wa JK tu? You are nothing but an idiot. Sana sana unamchukia JK kwa kuwa ni Mwislam. Utakufa vibaya na roho mbaya yako.
 
Wenye akili tumeshaling'amua hilo siku nyingi na ndio maana nchi inakwenda miguu juu, hali mbaya ya kimaisha na hakuna maendeleo, vyeo vya kupeana kwenye gahawa, wanaangalia nani kavaa kanzu! miaka kumi tumepoteza, ila tulieni hana muda mrefu ni miaka 3 tu imesalia.
 
Ndio maana nyerere aliweka hata kugawa pato la taifa tuwape 4% ,huwezi linganisha watu zaid ya 40 mil na watu mil 1.5 au mbili.INGEKUWA NI JK ANGEWAPA 50% HUYU JAMAA HUYU HAJUI KUANGALIA KABISA,GEOGRAPHIA NA POPULATION NI KITU MUHIMU SANA

Moja, ni ombi: Naomba kwa anayejua vigezo vitakiwavyo ili uchaguliwe kwenye tume anisaidie kuvijua.
Mbili: Mtazamo wangu mdogo unanionesha jinsi ambavyo kuna hatari ya kila mwamba ngoma akavutia ngozi kwake. Hii ni hatari kwa sababu hatutaona mambo ya msingi kwa maslahi ya taifa katika mtizamo wa kitaifa, bali nguvu zetu zote zitamezwa na mtazamo wa mwamba ngoma.
Ila kwa kumbukumbu zangu za maisha yangu ya kawaida ya kila siku, mpigiko naopitia kutokana na matatizo ya nchi yangu na watu wake kwa ujumla, hayachagui mimi au yule ni wa dini gani?

When will we wake up from this mental slavery???
 
tatizo la hapa Tanzania mahala ambapo atateuliwa muislamu kuongoza lazma waseme ni udini lakin wakiwa ni wakristo hamsemi kwann mnapenda hizi chokochoko zisizo na mantiki?. Udom vc muislamu kapata lawama sana za udini, mzumbe udsm na kwingineko viongozi ni wakristo so waislam hawafai kuongoza ofisi zzte?.
Wanafaa KAMA wana uwezo. Ukweli (na unauma) ni kwamba sehemu nyingi wanawekwa kama kubebwa au favour flan, nawe nina uhakika unalifahamu sana hilo kama kweli ni human being!
 
Ndiyo sababu katika awamu yake nchi imekosa heshima, mwelekeo na maendeleo; hii ni kwa sababu majinga yameshikishwa usukani wakati hayana upeo kutokana na akili zilizoingia kutu ya imani yao.

Wakristo wangekuwa na akili wasingeuza migodi yetu kwa wazungu. Tuna raslimali kibao lkn Mkatoliki (Mkapa) akawapa wazungu kwa bei chee. Sehemu kubwa ya ufisadi tunaoulalamikia hivi sasa ulitokea wakati wa awamu ya tatu nchi ikiongozwa na Mkatoliki. Mikataba mibovu ya madini, ubadhirifu wa mali ya umma, upendeleo wa kidini vyote hivyo vilikuwepo enzi hizo lkn hamvisemi. Tatizo ni Uislam. Kila Mwislam akishika nafasi kwenu ni tatizo! Mnajifanya mmesoma kumbe vichwani hamna kitu! Elimu gani hiyo ambayo haiwawezeshi kuuona ukweli na kuukubali? Elimu gani hiyo ambayo inawafanya muwe wenye chuki dhidi ya watu wengine na kudhulumu haki zao? Kama elimu mnayojivunia ndio hii inayowafanya muwe wanyama badala ya watu basi ni bora wasiosoma kuliko nyinyi. Kweli ukafiri ni mzigo.
 
Wanafaa KAMA wana uwezo. Ukweli (na unauma) ni kwamba sehemu nyingi wanawekwa kama kubebwa au favour flan, nawe nina uhakika unalifahamu sana hilo kama kweli ni human being!

Gombea wewe halafu uwajaze Wakristo wenzako kwenye nafasi zote za uongozi wa nchi hii. Unaongea kama ulikufa na kufufuka bwana! Yaani ujinga mtupu! Au ndio hizo elimu zenu uchwara mnazojivunia kuwa mmesoma?!!! Mmesoma nini wakati elimu zenu hazina manufaa yoyote kwa jamii yetu. Mnachowaza ni ufisadi tu mkipata nafasi na kulitumikia Kanisa. Kwenye utumishi wa umma badala ya kutekeleza sera za serikali mnatekeleza sera za kanisa. Hamna lolote nyie!!!!!
 
Wenye akili tumeshaling'amua hilo siku nyingi na ndio maana nchi inakwenda miguu juu, hali mbaya ya kimaisha na hakuna maendeleo, vyeo vya kupeana kwenye gahawa, wanaangalia nani kavaa kanzu! miaka kumi tumepoteza, ila tulieni hana muda mrefu ni miaka 3 tu imesalia.

Akili utakuwa nayo wewe? Unashangaza etii!!! Hivi uchumi wa nchi hii hivi sasa ni mbaya kuliko ilivyokuwa katika miaka ya themanini wakati Nyerere yupo madarakani? Ongeeni kwa ukweli na siyo dhahania. Mbona hamuongelei zile zima mtu akipiga mswaki na dawa anaonekana milionea? Unaijua sabuni ya gwanji wewe? Au ulikuwa hujazaliwa nini? Unakumbuka zama zile shule nzima watoto wenye viatu ni wa kuhesabu? Unakumbuka zama zile ambazo watu kutembea peku na kuvaa nguo za viraka ilikuwa kawaida? Mpaka wanajeshi walikuwa wanavaa viraka na katambuga mpaka Dr. Salim alipoingia Wizara ya Ulinzi na kuboresha mambo. Yote hayo hamyakumbuki kazi kumsakama JK tu. Ndio maana nashangaa kuona unajitapa eti nawe una akili! Kweli kuishi kwingi kuona mengi.
 
Namkumbuka sana Mzee mtei akinifundisha maneno machache ya kichaga.

Aikambe,
Otanambe.
 
Mtei kasema kweli inakuwaje wakristo wakipigia kelele jambo la kutokuwa na usawa katika uwakili wa dini inaonekana ni udini na waislamu wakipiga kelele inaonekana ni haki? mfano Sumaye alipounda bodi ya parole wakrsto walikuwa wengi na waislamu walipiga kelele jambo lililofanya ikavunjwa hiyo bodi na kuundwa upya kwanini hapa kwenye katiba ionekane ni udini wakati ni haki?

Haiwezekeni Zanzibar wawe wote ni waislamu wakati kuna makanisa Kikwete kashindwa kuteua wakristo walioko Zanzibar? mbona Jaji Agustine Ramadhani au Issack Sepetu ni wakristo ambao asili yao ni Zanzibar wanopinga hoja wanataka kusema wakristo Zanzibar ni wawili tu Jaji Ramadhani na Sepetu? kama ni hivyo hayo makanisa yaliyoko Zanzibar wanaosali ni waislamu? kama sio waisilamu wanaosali sasa inakuwaje wakose hata wajumbe watatu wakristo toka Zanzibar?

Haya ndio mambo yaliyopo kwenye kamati kuu ya CCM pia ambayo ina wajumbe 32 kati ya hao wakristo ni 9 tu na 21 wote ni waislamu sababu ya 'Zanzibar equation" ndio maana napenda muungano uvunjike na ninamlaumu Nyerere kwa huu Muungano ingawa mimi ni mshabiki wake mkubwa maana muungano unawapa waislamu mamlaka makubwa wakati wao sio wengi kama wakristo Zanzibar isingekuwepo tungekuwa sawa kwa sawa angalia mfano wa Rais na Makamu wa Rais wao waislamu wanaweza kutoa Rais na makamu wote waislamu lakini wakristo hawawezi kufanya hivyo maana wakifanya hivyo tu tayari hoja ya udini inakuja
Acheni waboronge tu Nguvu ya umma itakuja kuamua.
JK kafunika kombe mwanaharamu apite .
 
Kumbe TZ wabaguzi wa dini mko wengi hivi?! Inasikitisha sana. Vipi makabila Mbona sijaona comment zenu? Mara wakristo Hv, waislam vile. Inakera
 
Mkuu,

Ngoja nikupe taarifa hapo kwenye nyekundu;

Viongozi wakuu wa CHADEMA ni hawa;

Mwenyekiti- Freema Mbowe
Makamu mwkt znz- Mohamed Arfi
Katibu mkuu- Dr. Slaa
Naibu Katibu mkuu znz - Yusuph Mohamed
Naibu katibu mkuu bara - Zitto kabwe

Kama kuna udini hapo, basi ni uislamu!.

Nikiwa Mjumbe wa CC ya Chadema, nisahihishe kidogo:-

Said Issa Mohamed ndiye Makamu Mwenyekiti (Znz),
Said Ahmed Arfi ndiye Makamu Mwenyekiti (Bara), Mbunge wa Mpanda West
Zitto Zubeir Kabwe, Naibu Katibu Mkuu (Bara), Mbunge wa Kigoma Kaskazini, na
Hamad Yusuph Mohamed, Naibu Katibu Mkuu (Znz)

Wote hawa walichaguliwa kutokana na mchango wao katika kuimarisha CDM.
 
Nikiwa Mjumbe wa CC ya Chadema, nisahihishe kidogo:-

Said Issa Mohamed ndiye Makamu Mwenyekiti (Znz),
Said Ahmed Arfi ndiye Makamu Mwenyekiti (Bara),
Zitto Zubeir Kabwe, Naibu Katibu Mkuu (Bara) na
Hamad Yusuph Mohamed, Naibu Katibu Mkuu (Znz)

Mzee Mtei,
Hunaweza kutufahamisha ni vigezo gani mlivyotumia kwenye uteuzi wenu wa wabunge wa viti maalum Wakirstu 19 na Waislam 6?
 
Nchi hii udini unaletwa na Wakristo hasa Wakatoliki. Wao wanaamini kuwa nafasi zote za uongozi nchi hii ni haki yao. Waislam ni raia daraja la pili. Wizara au ofisi ikiwa na Waislam watano na Wakristo wanne hapo pana udini. Ofisi ikiwa na Wakristo ishirini na Mwislam mmoja hapo ni sawa na hakuna anayelalamika. Kama mnaona kila anachofanya JK anawapendelea Waislam basi na tugawane nchi mkae huko ambako nafasi zote zitakuwa zenu peke yenu.

Pia, kuna ajenda dhahiri zinazoendelea hivi sasa kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kutaka kuonyesha kuwa Waislam hawawezi kuongoza. Angalia idadi kubwa ya viongozi na mawaziri wanaosakamwa ni Waislam kana kwamba mawaziri wote Wakristo ni watendaji wazuri. Kwenye Wizara ya Nishati na Madini badala ya kulaumiwa Ngeleja ambaye ndiye Waziri kamili wanalaumiwa Malima na JK. Kazi kwelikweli!
Hii ndio hatari ya Udini na itatufika. Mkuu nakusoma sana na huko ndiko tuendako..Niliyazungumzia ya Ufisadi mwaka 2001 ktk jukwaa kama hili tukiwa bado Bcstimes watu wakapuuza wakaulemba Ufisadi kwa nishani na utukufu leo yako wapi?. Sasa subirini Udini utakavyo wavuruga fika uchaguzi wa mwaka 2015. Tumechagua njia mbaya sana ya ku address kero zetu.
 
Nimetumia muda wangu kupitia mada hii, nikaanza kutafakari huu udini unaopandikizwa hapa. Nitaanza na wasaidizi wakuu wa rais ambao ni mawaziri na manaibu mawaziri, upitivu wangu ananionesha ya kwamba baraza la mawaziri lina watu 50 ,(ukimuondoa waziri mkuu na makamu wa rais) baada ya jina moja baada ya jingine .
Baraza la Kikwete lina asilimia 66% ya mawaziri ni Wakristo.
Mathias Chikawe
Steven Wasira
Dr Terezya Luoga-Hovisa
William Lukuvi.
Mary Nagu
George Mkuchika
Aggrey Mwanri
Gregory Teu
Pereira Ame Silima
Selina Kombani
Bernard Membe
Dr Mathayo David Mathayo
Benediciet Ole Nangoro
Charles Kitwango
Anna Tibaijuka
Goodluck Ole Medeye
Ezekiel Maige
William Ngeleja
Dr John Magufuli
Harrison Mwakyembe
Cyril Chami
Lazaro Nyalandu
Philipo Mulugo
Dr Lucy Nkya
Gadensia Kabaka
Dr Makongoro Mahanga
Emmanuel Nchimbi
Dr Fenela Mukangala
Samuel Sitta
Christopher Chiza
Mark Mwandosya
Gerson Lwinge.
Hao ni mawaziri 33 kati ya 50 wa Kikwete.Hapo swala la udini linabeba mbeleko gani?
 
Hiyo balance ya dini haiwezi kuwepo jamani. Ina maana kama kuna mahali anatafutwa mtu mmoja kenye nafasi tuseme katibu mkuu, na kuna waislam 20 wenye sifa na wakritu 100 wenye sifa, ...of coz kuna probability kubwa huyo mtu akapatikana kwenye wale wengi...100.

Tatizo ni elimu jinsi iliyokuja hapa nchini. Wamissionery..Wakritu of coz..walpokuja kwetu walijenga shule na baadhi ya vyuo kwa ajili ya kusomesha watu ili wapate makarani wakuweza kuafanya kazi.

Waarabu waliyoleta Uislamu..wao walijenga tu madrasa ambayo yanafundisha tu elimu dunia..dini ya kiislamu..Hawakutaka watu waelimike kwa sababu ya kutaka kuwatawala..na kuwapata watumwa. Angalia hata maswala ya ubaguzi yalitawala sana..ndio maana hata wanaume walihasiwa ili wasiwze kuzaa na mabinti/wanawake wa kiarabu.

Wazungu..wakristu hawakufanya hivyo. Sasa baada ya kupata uhuru, ndio tukajikuta kuwa waristo wngi wemekwenda shule na waislamu hakuna na hata wale wachache, waliobahatika, walijipenyza kweny shule za misheni kwa kutumia majina bandia ya kikristo, pamoja na kuwa walitishiwa kuwa wakienda huko watakule mzee wa meza. Ndo maan kuna inbalance ya elimu kati ya wakristo na waislamu leo hii.

Sasa huku tuendako, kama katiba mpya itazingatia kilio cha wengi, posti kama; majaji, wakuu wa wilaya, mikoa, makatibu wakuu wa wizara, waakurugenzi, nk. nk.; hazitakuwa tena 'presidential appointments" , badala yake ni CVs tu zitakuwa zinatembea. Sasa hapo nani watawin..si wale walio wengi kwenye elimu?...Haya matume ya kuteuliwa na Office namba moja pale magogoni.. yana mwisho wake..ni CVs tu zitakuwa zinatembea. Kwa hiyo uwe Mristu, muislam, Mhindu, Mpagani, yote hayo yatakuwa hayan maana tena. Ni mwendo wa Cv tu na kutakuwa hakuna malalamiko tena.
 
Mzee mtei nilikuwa na kuheshimu sana lakini tangia umejikita kwenye mambo ya kidini.Huna tena heshima mbele yangu.Kisa cha kulalamika tume inawaislamu wengi ni nini?Wakati nchi inaongozwa na baraza la mawaziri ambao wakristo unaowataka wewe ni wengi kuliko vile vile wafanyakazi wasekali wengi ni wakristo hilo hulioni.Kwa ulivyonikera ni bora ungekufa wewe kanumba abaki.
 
Mtei kasema kweli inakuwaje wakristo wakipigia kelele jambo la kutokuwa na usawa katika uwakili wa dini inaonekana ni udini na waislamu wakipiga kelele inaonekana ni haki? mfano Sumaye alipounda bodi ya parole wakrsto walikuwa wengi na waislamu walipiga kelele jambo lililofanya ikavunjwa hiyo bodi na kuundwa upya kwanini hapa kwenye katiba ionekane ni udini wakati ni haki?

Haiwezekeni Zanzibar wawe wote ni waislamu wakati kuna makanisa Kikwete kashindwa kuteua wakristo walioko Zanzibar? mbona Jaji Agustine Ramadhani au Issack Sepetu ni wakristo ambao asili yao ni Zanzibar wanopinga hoja wanataka kusema wakristo Zanzibar ni wawili tu Jaji Ramadhani na Sepetu? kama ni hivyo hayo makanisa yaliyoko Zanzibar wanaosali ni waislamu? kama sio waisilamu wanaosali sasa inakuwaje wakose hata wajumbe watatu wakristo toka Zanzibar?

Haya ndio mambo yaliyopo kwenye kamati kuu ya CCM pia ambayo ina wajumbe 32 kati ya hao wakristo ni 9 tu na 21 wote ni waislamu sababu ya 'Zanzibar equation" ndio maana napenda muungano uvunjike na ninamlaumu Nyerere kwa huu Muungano ingawa mimi ni mshabiki wake mkubwa maana muungano unawapa waislamu mamlaka makubwa wakati wao sio wengi kama wakristo Zanzibar isingekuwepo tungekuwa sawa kwa sawa angalia mfano wa Rais na Makamu wa Rais wao waislamu wanaweza kutoa Rais na makamu wote waislamu lakini wakristo hawawezi kufanya hivyo maana wakifanya hivyo tu tayari hoja ya udini inakuja

Mimi sio mdadisi sana kwa masuala ya dini,ila kwa elaboration na evidence za Sumaye vs Kikwete,Umeugusa moyo wangu kabisa.Tume hii ivunjwe iundwe upya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom