Mtei kasema UKWELI ULIOSHINDWA KUTAMKIKA, tuache unafiki!

Mtei kasema UKWELI ULIOSHINDWA KUTAMKIKA, tuache unafiki!

Naona wanazi wa chadema wanajaribu kumpaka "lipstick nguruwe", hata awe na midomo myekundu namna gani kama "miss world" atabaki kuwa nguruwe- kauli ya mtei ni kauli "divisive", "discriminatory", "hate inspiring", "islamophobic". Kiufupi ni kwamba kwa mtu mwenye status yake katika jamii hapaswi kutoa kauli kama hiyo hasa ukizingatia katika historia yake ya utumishi wa umma hakuna rekodi yoyote ile aliyowahi kushutumu bosi wake nyerere kuchagua wakiristo wengi kwenye serikali kuliko waislamu, au hata yeye katika chama chake kuwa na uwakilishi wowote unaobalance kidini, sana sana chama chake kina stracture ambayo wakiristo ni wengi sana kuliko waislamu.

Hello Jussa!!!
 
Inawezekana CHADEMA mpo sahihi kwenye hili, lakini mbona viongozi wenu wanalipiga? Sisi tulijua zamani kuwa chadema ni watetezi wa maslahi ya wakristo, mbona mulikuwa munajaribu kuyeyusha? Halafu huo usawa utaishia kwenye tume ya katiba tu, kwenye ofisi na taasisi zote za serikali?
 
Inawezekana CHADEMA mpo sahihi kwenye hili, lakini mbona viongozi wenu wanalipiga? Sisi tulijua zamani kuwa chadema ni watetezi wa maslahi ya wakristo, mbona mulikuwa munajaribu kuyeyusha? Halafu huo usawa utaishia kwenye tume ya katiba tu, kwenye ofisi na taasisi zote za serikali?

Hapo utakuwa umekosea sana kuhusisha mjadara huu na chadema. Kwanza wengine kama mimi sihitaji kuwa na chama kwani najua bado njia ya ukombozi haijafunguliwa. Mtei kaongea kama mtei. Ni mawazo yake sio ya chama alichomo. Yeye ni mwanadamu mwenye utashi binafsi na maono binafsi kama nilivyo mimi na wewe pia. Jadiri mantiki ya hoja sio chama. Usitupe kadi za chadema hatuzihitaji bado.
 
Rais ni Muislam, Makamu ni Muislam, Rais wa Zanzibar ni Muislam, Waziri wa fedha ni Muislam, Waziri wa Elimu Muislam, Waziri wa Afya Muisla,Waziri wa Ulinzi ni Muislam, Waziri wa Mambo ya ndani ni Muislam. Wizara nyeti zimewekwa waislam.Judge Mkuu Muislam, Judge Kiongozi Muislam, IGP Muislam. Wakristo hawalii lii udini. Leo Kikwete katumia upole na ukimya wa wakristo kuwadharau. Kajaza waislam kwenye tume ya katiba ili kuileta katiba ya Jamhuri ya waislam Tanzania.

Umesahau kusema mkuu wa TISS ( Usalama ) ni muislamu... Duuh leo ndio nimegundua aisee.. Mimi ni Muislamu lakini naweza kusema hapa Mkulu ametupendelea dhahiri. Halafu most of them ni under performers.. Damn. JK oyeeeee
 
Mimi sita tatizo na waislamu wengi sina tatizo na wakristo wengi. Suala la msingi hapa ni JK ni mbaguzi kinoma... Kajaza washikaji zake kila corner ya uongozi wa nchi kwa hiyo anaendeleza ushkaji hadi kwenye maswala ya utaifa.
 
Rais ni Muislam, Makamu ni Muislam, Rais wa Zanzibar ni Muislam, Waziri wa fedha ni Muislam, Waziri wa Elimu Muislam, Waziri wa Afya Muisla,Waziri wa Ulinzi ni Muislam, Waziri wa Mambo ya ndani ni Muislam. Wizara nyeti zimewekwa waislam.Judge Mkuu Muislam, Judge Kiongozi Muislam, IGP Muislam. Wakristo hawalii lii udini. Leo Kikwete katumia upole na ukimya wa wakristo kuwadharau. Kajaza waislam kwenye tume ya katiba ili kuileta katiba ya Jamhuri ya waislam Tanzania.

Mkapa wakati yuko madarakani aliwahi kusema kuwa WATANZANIA NI WAVIVU WA KUFIKIRI. Ni ukweli ambao unauma Rais anapowatukana au kuwabeza Wananchi waliomchagua kuwa ni wavivu wa kufikiri. Lakini ndiyo ukweli wenyewe.

Haya mambo yako wazi kabisa hata kwa kipfu au mjinga yeyote. Lakini mijitu inataka kutetea UJINGA kabisa kabisa.Hapa siyo siri KIKWETE ANA AGENDA YA SIRI YA KUTAKA KUIGEUZA TANZANIA KUWA NCHI YA KIISLAMU. Kuna mambo kama 3 hivi yamekuwa yakilalamikiwa na WAISLAMU kwa muda mrefu ambayo ni:
  1. Kuwa WAISLAMU hawapewi haki sawa katika ngazi za Uongozi wa Serikali. Kiwete ameshalifanyia kazi hilo kama inavyoonekana kwenye safu ya uongozi wa juu wa Serikali yake.
  2. Kuwa WAISLAMU hawapewi haki yao ya kuwa na MAHAKAMA YA KADHI.Kiwete anamkakati mkubwa katika hilo na ndiyo maana kajaza WAISLAMU tele kwenye Kamati ili aweze kupenyeza agenda hiyo ya KADHI kwenye Katiba mpya.
  3. Kuwa WAISLAMU upande wa ZANZIBAR walishaomba kujiunga na OIC kwa muda merfu lakini wakakwama. Kiwete kwa kutumia Kamati ya Katiba Mpya basi hili litawezekana kuingizwa kwenye Katiba hii mpya kwa kuweka Waislamu wengi.

Ieleweke kuwa kama hiyo Kamati ya KM itakaa kama Kamati na kujadili juu ya jambo fulani lenye mvutano kuhusiana na maslahi ya WAISLAMU na wakaamua KUPIGA KURA ZA WAJUMBE 30 BASI NI WAZI 75% YA WAJUMBE AMBAO NI WAISLAMU LAZIMA WATASHINDA KWA VYOVYOTE!

Watu lazima wakubali kuwa Kiwete amechemka katika hili. Yeye ndiyo amekuwa kila mara akizungumzia HATARI YA UDINI katika nchi hii WAKATI HUOHUO YEYE NDIYO AKIONEKANA KUWA CHAMPION WA KUENDELEZA UDINI!

Chonde chonde Rais Kiwete na Serikali yako msije mkatuingiza siku moja kwenye VITA YA UDINI kati ya Wakristo na Waislamu.

Wasaaalmu.
 
Umesahau kusema mkuu wa TISS ( Usalama ) ni muislamu... Duuh leo ndio nimegundua aisee.. Mimi ni Muislamu lakini naweza kusema hapa Mkulu ametupendelea dhahiri. Halafu most of them ni under performers.. Damn. JK oyeeeee

Bado JK anajenga hoja 2015 Rais achguliwe kwa kigezo cha gender kama walivyo fanya kumwengua Mzee Sita kwenye uspeaker wa bunge kusudi Asha Rose Mingiro apewe upendeleo wa kugombea urais toka bara na makamu wake toka visiwani kama kawaida atakuwa mwislam.
 
Wengi tumejitenga na ukweli unaouzi. Katika kuunda tume ya katiba JK Ameshindwa kuepuka shinikizo la Redio Imani na Gazeti la al-nuur.

Ubaya tumefundishwa kuchukia DINI na si UDINI! MFANO chadema kinaitwa chama cha kikristu kwasababu tu uongozi wake wa juu unawakristo wengi.

Mkuu,

Ngoja nikupe taarifa hapo kwenye nyekundu;

Viongozi wakuu wa CHADEMA ni hawa;

Mwenyekiti- Freema Mbowe
Makamu mwkt znz- Mohamed Arfi
Katibu mkuu- Dr. Slaa
Naibu Katibu mkuu znz - Yusuph Mohamed
Naibu katibu mkuu bara - Zitto kabwe

Kama kuna udini hapo, basi ni uislamu!.
 
Hapo utakuwa umekosea sana kuhusisha mjadara huu na chadema. Kwanza wengine kama mimi sihitaji kuwa na chama kwani najua bado njia ya ukombozi haijafunguliwa. Mtei kaongea kama mtei. Ni mawazo yake sio ya chama alichomo. Yeye ni mwanadamu mwenye utashi binafsi na maono binafsi kama nilivyo mimi na wewe pia. Jadiri mantiki ya hoja sio chama. Usitupe kadi za chadema hatuzihitaji bado.

Mkuu usiendelee na upuuzi wa mbuni kuficha kichwa na kuacha mwili wote nje! CHADEMA ndiyo issue hapa! Pengi angesema haya watu wangejadili katika muktadha mwingine! Na hakuna mtu angesema 'amefilisika'! Issue ni INAKUWAJE CHAMA CHA SIASA KITETEE MASLAHI YA DINI FULANI? AU KWA NINI CHADEMA IONE WAISLAMU WENGI NI TATIZO KWENYE TUME YA KATIBA?
 
Nafikiri waTanganyika ni lazima mfikiri mara mbili.
Kumbukeni Zanzibar ina zaidi ya 99.5% ya raia wake ni waislam. Na hilo lipo wazi hata kwa wabunge na wawakilishi toka Znz hususan wale wa kuchaguliwa na wananchi ni 100% waislam. Mfumo wa serikali na viongozi wake wote wa juu kuanzia wakurugenzi, makatibu wakuu, mawaziri na hata RC na ma Dc takriban 99.5% ni waislam. Hilo si ajabu kwa Znz.

Lakin Tanganyika kuna namna kwani ilizoeleka kuona wateule wote lazima wawe wakristo. Sasa lazima mjue waislam nao wasomi hivyo pasu kwa pasu katika nafasi zote na sio nafasi za waislam zihesabiwe na zile za waZnz.

UDINI sasa unadhihiri baada ya waislam kushtuka. Kwani waswahili wanasema alielala usimwamshe. Sasa waislam Tanganyika nao wameamka.

Poleni sana Mzee wangu Edwin.
 
Wakoloni waliwawezea sana wadanganyika walipowaletea kitu kinachoitwa DINI. Ndo maana unaona hapo shehe dr. Manyaunyau anakenua kwa mbali, huyu ni mwarabu koko kizazi cha watu waliowatesa mababu zetu kwa ngwamba na kuwabaka na kuwadhalilisha mabibi zetu, same to mzunguz na dini zao ambazo leo hii zina versions za mpaka kurukiana wanaume wenyewe kwa wenyewe. Wamefanikiwa sana kwa hili.
 
Nafikiri waTanganyika ni lazima mfikiri mara mbili.
Kumbukeni Zanzibar ina zaidi ya 99.5% ya raia wake ni waislam. Na hilo lipo wazi hata kwa wabunge na wawakilishi toka Znz hususan wale wa kuchaguliwa na wananchi ni 100% waislam. Mfumo wa serikali na viongozi wake wote wa juu kuanzia wakurugenzi, makatibu wakuu, mawaziri na hata RC na ma Dc takriban 99.5% ni waislam. Hilo si ajabu kwa Znz.

Lakin Tanganyika kuna namna kwani ilizoeleka kuona wateule wote lazima wawe wakristo. Sasa lazima mjue waislam nao wasomi hivyo pasu kwa pasu katika nafasi zote na sio nafasi za waislam zihesabiwe na zile za waZnz.

UDINI sasa unadhihiri baada ya waislam kushtuka. Kwani waswahili wanasema alielala usimwamshe. Sasa waislam Tanganyika nao wameamka.

Poleni sana Mzee wangu Edwin.

Dr. Barubaru, karibu tena Jamvini mkuu wangu michango yako ni muhimu sana...
 
Rais ni Muislam, Makamu ni Muislam, Rais wa Zanzibar ni Muislam, Waziri wa fedha ni Muislam, Waziri wa Elimu Muislam, Waziri wa Afya Muisla,Waziri wa Ulinzi ni Muislam, Waziri wa Mambo ya ndani ni Muislam. Wizara nyeti zimewekwa waislam.Judge Mkuu Muislam, Judge Kiongozi Muislam, IGP Muislam. Wakristo hawalii lii udini. Leo Kikwete katumia upole na ukimya wa wakristo kuwadharau. Kajaza waislam kwenye tume ya katiba ili kuileta katiba ya Jamhuri ya waislam Tanzania.

Mkuu nimependa hizo takwimu zako naona ni mzuri kwenye mambo ya takwimu naomba unasaidie na hizi takwimu.

Kwa nini wabunge wa Chadema viti maalum wengi ni Wakirsto?

Kuna wabunge 25, Wakirsto ni 19 na Waislam ni 6 tu.

Mlitumia vigezo gani kuwapata hawa wabunge?
 
tufikirie katiba mpya iweje na nini matarajio yetu.hii mada ya udini haina tija zaidi ya kutugawa.
Zaidi tuangalie weledi wa wajumbe wa tume na wala sio imani zao.

kuna wakristu wengi wapo ni mafisadi na wamechafuka pia na waislamu wapo wengi mafisadi pia.

Udini utatufikisha wapi?Tuko nyuma kimaendeleo tushughulikieni hili.
 
Dr. Barubaru, karibu tena Jamvini mkuu wangu michango yako ni muhimu sana...

Shukran sana ahali zangu . nimewasikia ahali zangu japo nipo busy sana sana kwa sasa.

Mwalimu Julius Kambarage aliwahi kusema hivi kwa kizanaki. "UBUBISUBISU OBUWERE EKIRO KIRIMBURA" akiwa na maana ''Mfichaficha maradhi kilio kitamfichua''.

sasa Ukweli unadhiri!



 
Nadhani Mtei hakutakiwa kutamka ile kauli.
Ikumbukwe hakuna sehemu yeyote iliyoandikwa kuwa idaidi ya viongozi waumini wa dini fulani iwe percent kadhaa na ya dini flani iwe percent kadhaa.
Ndio maana kwangu mimi malalamiko yeyote yale yanayohusu idadi flani ya viongozi wanaoamini dini flani kuwa ni kubwa kuliko wa dini fulani, nayaona ni ya kipuuzi.
Otherwise, iandikwe kwenye katiba ijulikane wazi kuwa mfano Rais akiwa mpagani, basi Makamo awe ni muumini wa Wachawi, Waziri wa fedha awe freemason, Waziri mkuu awe Mhindu n.k.
Kama hakuna makubaliano hayo then malalamiki yote yanayohusu mambo ya dini za viongozi, ni ujinga na upuuzi mtupu.
 
Tusubiri tuone kwani kuna taswira mbaya ambalo taratibu linaanza kujijenga vichwani mwa watu juu ya teuzi mbalimbali anzofanya mkuu na haya yakiendelea kujitokeza na kijidhihirisha waziwazi machafuko hayaepukiki. :hatari:
 
Kwa udini huu wa JK natabiri watanzania kuingia vitani b4 2015.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom