Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
wa ccj ndipo utakapowekwa wazi....Coz inashangaza kama huelewi kuwa mara baada ya kuiong'oa ccm si inatakiwa muunde serikali?
Mnaunda serikali ikiongozwa na nani, kwa sera zipi zenye misingi ipi? Mkiungana CUF na CHADEMA halafu mnaunda serikali mnatuata sera zipi, za nani na kwanini?