Afande, the otherwise good course ya kuleta mabadiliko ya kweli humu nchini, to put it mildly, sasa naona imeingiliwa na "funza".Mkuu una maana gani sijakuelewa, uroho wa madaraka JF au wapi....
I mean "funza" wa humuhumu JF!Afande, the otherwise good course ya kuleta mabadiliko ya kweli humu nchini, to put it mildly, sasa naona imeingiliwa na "funza".
Sasa nimekuelewa, lakini kwa uzoefu wangu humu JF si rahisi watu kurubuniwa, kama hutakuwa consistent wakiona unataka kuwachanganya watakuvumilia kwa siku moja kesho yake utajikuta umebaki mwenyewe utafikiri wanasupport kumbe wana ku enjoy, lakini kama unaongelea nje ya JF say huko vijijini ni rahisi kuwa affected na huyo funza.I mean "funza" wa humuhumu JF!
tumeona haya watu walipozungumza dhidi ya CCM wakaaitwa wao ni Chadema, wanapozungumza dhidi ya Chadema wanaitwa wao ni hivi au vile. Maswali ya msingi yanaogopwa kujibiwa. Tunatakiwa kupanga mstari na kujiunga nyuma ya Chadema... tukiuliza ili kiwe nini tunaambiwa "alimradi CCM iondoke madarakani". Tunasema "sawa" halafu ikiondoka madarakani "then what".. hatujibiwi tunaambiwa hilo si tatizo "tuwaondoe kwanza CCM madarakani then tutajua cha kufanya".
Tukisema hiyo si falsafa nzuri tunaambiwa tumefulia kwa sababu ati hatutaki "CCM iondolewe madarakani!".
Nakuomba Mwanakijiji ukanushe kauli ya Naibu katibu mkuu wako yeye kasema lengo kuu ni kuiondoa CCM madarakani wewe unasema lengo si kuiondoa CCM madarakani tumuamini nani.Naibu Katiba Mkuu wa CCJ Dickson Ng'hily, alitangaza hilo kwa kutaka Watanzania kuunga mkono Chadema kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba kwani lengo la kuanzishwa chama hicho ni kuiondoa CCM madarakani.
Nakuomba Mwanakijiji ukanushe kauli ya Naibu katibu mkuu wako yeye kasema lengo kuu ni kuiondoa CCM madarakani wewe unasema lengo si kuiondoa CCM madarakani tumuamini nani.
Mwanakijiji ni conservative lakini hajijui tatizo alikimbilia kukwea mpapai upepo mdogo tu umeng'oa hadi mizizi.Mzee Mwanakijiji anachokiamini ni tofauti na Wanachohubiri CCJ, yeye anataka kuwahubiria ITIKADI watu wasio hata nini maana ya Elimu ya Uraia unategemea nini sasa
Mwanakijiji ni conservative lakini hajijui tatizo alikimbilia kukwea mpapai upepo mdogo tu umeng'oa hadi mizizi.
Mwanakijiji knows exactly what he's doing. Mission nearing accomplishment. Refer my earlier contribution(s).Mwanakijiji ni conservative lakini hajijui tatizo alikimbilia kukwea mpapai upepo mdogo tu umeng'oa hadi mizizi.
Nitakuhakikishia kuwa baada ya mwaka mmoja; hakuna kesi yoyote ya ufisadi au jambo la ufisadi lililozungumzwa tangu mkapa litabakia midomoni mwa Watanzania.... huu ni mfano mmoja tu.. na hili ndilo tishio la CCJ.. they know what we want to do... hatutaki kuiondoa CCM ili iondoke halafu ndio tujue tunataka kufanya nini..
It is true wananchi wengine hawajui hata sera ni nini hata humu JF kuna wengi tu hawajui tofauti ya sera, itikadi na ilani itakuwa mkulima anayekesha kondeni kupalilia mafenesi na michunga, wao wanachotaka waone ni maendeleo yawe yameletwa kwa mapinduzi sawa kwa kura sawa yameletwa na dikteta kama Kagame na Mseveni sawa, ideology za MKJJ za 'ili iweje' hazitasaidia kwa siasa zetu za kiafrika hasa Tanzania hizo hutumika kwa nchi zilizoendelea Marekani , UK etc ambao wana long plan, si kama sisi kila waziri anayeingia anataka kujionyesha yeye ni nani anabadili mipango yote anayoikuta na kuweka ya kwake.Wananchi wanataka Mabadiliko full Stop! Yameletwa na Mrengo wa Kulia, wa Kushoto, wa Kati, Uhafidhina hilo mpiga kura wa Kawaida hatambui na kuendela kumhubiria ni sawa na kumpigia Mbuzi gitaa acheze
Mwanakijiji knows exactly what he's doing. Mission nearing accomplishment. Refer my earlier contribution(s).
ooh no...
Tukiliuliza swali hilo tuaambiwa "it doesn't matter.. tutoe kwanza CCM madarakani then tutajua cha kufanya" hili si jibu la watu makini.
Mdau Mwanakijiji, nadhani unataka kuibua hoja hapo,upo sawa...however, navyodhani mimi, huyu mzee anazo fikara nzuri tu....hapa ameona kwamba bado hata wao CHADEMA hawawezi kuingia ikulu this year,therefore the better option ni kukamata majimbo mengi kadri wawezavyo...kama kweli CCJ si chaka, waliopo na wanaotaraji kujiondoa CCM (kama wapo), si vibaya wakienda CHADEMA coz inaelekea CCJ hawatapata usajili...na kumbuka,its undisputed kwamba wao CHADEMA ndio chama kinachotoa upinzani wa dhati kwa CCM so far, in Tz mainland..Hawa watu wana matatizo.. basi waanze kusema vitu kwa fikara.. "kuungana kuimarisha upinzani Bungeni" ndio nini hasa?
Hvi ni Wananchi wangapi hata wanafahamu maana ya Itikadi, au uhusiano kati ya Itikadi fulani na Maendeleo yao? Leo hii hata ukienda UDSM wanafunzi wachache sana wataelewa hili somo la Itikadi sijuki ya Mrengo wa Kulia, sijui kushoto blah blah k
Nilishasema huko nyuma na ninaendelea kusema katika nchi hii Itikadi ni luxury, nchi hii inahitaji vit basics kwanza ambavyo itikadi zote zinataka, kama utawala wa sheria, haki za binadamu, kuheshimu mali za uma, watu kujifunza kufanya kazi, uzalendo na vit vinginevya aina hii.
Sasa ukianza kuleta itikadi hapa ambapo hata vitu basics hakuna wapi na wapi. Wengine kama sisi itikadi yetu hatutaki kuona viwanda avya abortion hapa nchini (maria stops na wenzao) na ushoga tutapiga marufuku na kufunga watu hapa. Inabidi tuweke hii kando na na tujiunge na chama kinachotaka kuweka hizi basics halafu kweli tukivuka huko wengi mtatuona na tutaachana kwa kupishana itikadi.
Nchi hii kwa sasa haitaki itikadi inatakiwa kurudi kwenye basics ambazo itakadi zote zinataka kuweza kuoperate na Chadema inataka kureta hayo
Hawa watu wana matatizo.. basi waanze kusema vitu kwa fikara.. "kuungana kuimarisha upinzani Bungeni" ndio nini hasa?
Rev. KishokaBlah blah blah and CCM will continue to rule.
Hivi CUF, CHADEMA, TLP, NCCR ni vyama vya mfumo gani wa kisiasa ulioambatana na mfumo wa Uchumi? NI Mabepari, Makabaila, Watwana, Wajamaa, Wajima, Wakomunisti au ni Utanzania tuu?
Je tofuauti yao ya ki-Itikadi na mfumo na CCM ni ipi?
It is 2010, mambo yanabidi kwenda kisayansi na si kienyeji enyeji.
Leo hii CCJ watadai tunalenga kuboresha maisha ya Mtanzania ni kwa mfumo gani na njia gani? Has anyone ever ask kwa nini ni muhimu kuwa na mirengo na mifumo inayoeleweka?
Mfano CCM is about big government, big spending abd seeking donor aid, what Identity does CUF, CHADEMA, TLP, CCJ, NCCR and other have contrary to CCM's?
UNadai hata huko Chuo UDASA watu hawalielewi, ni utashi au wamelazimika kuwa vipofu kutokana na mfumo butu wa kisiasa?