Mtei awashauri viongozi CCJ wahamie CHADEMA

Mtei awashauri viongozi CCJ wahamie CHADEMA

Sawa inawezekana hujawataja kwa majina lakini huoni kusema Chadema hakuna inachokifanya ni sawa na kuwasema viongozi, utatofautishaje uongozi wao na chama au tuseme uongozi wao (Slaa, Mbowe,Zitto nk) mzuri kwenye familia zao tu na si kwenye chama tueleze uzuri wao uko wapi.

Bado unasema kitu ambacho sijakisema.. unaweza kurudi na kusoma nilichosema please.

Hujajibu swali kwanini hatuungani na mfano wako ni irrelevant, kukwana kwa gari inawezekana ni uzembe wa dereva kaambia hiyo sehemu inatitia akakaidi, kutotoka si lazima uwe uzembe wa dereva.

lakini kuwa gari limekwama is self evident..
 
Mwisho wa CCJ umefika, Mwanakijiji utarudi CHADEMA, au ndo waenda tua CCM?
 
Wewe mwenye chama hewa unayesajili wanachama hewa ulitaka usajili wa nini? ili uongoze nchi ipi? kwa uongozi upi ulionao? kwa wabunge wapi na madiwani wepi? au unafikiri serikali inaundwa na viongozi wawili tu wa kitaifa.

Serikali ya uingereza imeundwa na vyama viwili vyenye sera tofauti lakini kila chama kimekubali kuachia baadhi ya sera zake na kuchukua baadhi ya sera za mwingine na serikali ikaundwa kwa muda mfupi sana. Unataka kutuambia kabla ya uchaguzi Conservative walikuwa wanajua wataunda serikali na Liberal, kila chama kilijiamini kushinda lakini walikuja kuungana dakika za mwisho kabisa, kama wewe ni mfuatiliaji wa masuala ya siasa za uingereza Cons na Libs sera zao zilikuwa tofauti sana ukilinganisha na Labour na Liberal ambao sera zao nyingi zilikuwa zinafanana. Sera ni mkusanyiko wa mawazo ya watu ambayo yanaweza kubadilika muda wowote.

Du funny enough!

Kwa hiyo leo organi ya ccm yetu yani ile Tendwa anayoingonza imefanya kazi yake barbara na kubaini upungufu wa ccj kikamilifu. Lakini ile organi yetu nyingine yani ile ya ccm anayooingonza Makame ndio hua siku zote haitendi haki ya chadema.

Ni vizuri ktk hilo kutoa pointi. Lakini mwezi wa 11 nawewe ukubaliane matokeo ya Makame.
 
Du funny enough!

Kwa hiyo leo organi ya ccm yetu yani ile Tendwa anayoingonza imefanya kazi yake barbara na kubaini upungufu wa ccj kikamilifu. Lakini ile organi yetu nyingine yani ile ya ccm anayooingonza Makame ndio hua siku zote haitendi haki ya chadema.

Ni vizuri ktk hilo kutoa pointi. Lakini mwezi wa 11 nawewe ukubaliane matokeo ya Makame.
Hueleweki haki ipi ya chadema iliyotolewa na Tendwa be specific plse there is no any connection btn Tendwa rulings and Chadema.
 
mmmhhhhhh! ulikuwa CCM na utabaki huko?
Jamani mwanakijiji hakuwahi kusema yuko chama gani hadi alipoanzisha CCJ. Napo hakutuambia kwanza ila tulipoona anaanza kutuonyesha namna ya kujiunga na karibia na uchaguzi akatangaza rasmi kuwa na yeye ni mwanachama.
 
Jamani mwanakijiji hakuwahi kusema yuko chama gani hadi alipoanzisha CCJ. Napo hakutuambia kwanza ila tulipoona anaanza kutuonyesha namna ya kujiunga na karibia na uchaguzi akatangaza rasmi kuwa na yeye ni mwanachama.
.
Mchukia Fisadi, Mzee Mwanakijiji sio mara moja wala mara mbili, ameshawahi kusema/andika impliedly na expresly yeye ni mshabiki wa chama gani japo alikiri kuwa kaomba kadi ya uanachama hajapatiwa.

Kwenye upinzani wetu nyumbani, wako wapinzani walioko vyama vingine lakini mapenzi yao ni kungine, na pia wapo wana CCM ambao genuinely wanakerwa na uchafu wa CCM, hawana mapenzi tena na CCM ila bado wako CCM na wataendelea kubaki humo humo kwa lengo la kuisafisha from within, au wako humo kwa sababu hawajaona pa kwenda, na wengine wako huko kwa sababu tuu huko ndiko kwenye opportunities.
Tarumbeta/ baragumu la Mwanakijiji kuhusu CCJ linaashiria ndani ya CCJ kuna wana CCJ wa moyoni ambao bado wako vyama vingine wakisubiria usajili upite na kati yao pia wako waliodanganywa, wako wanaodananya, na pia wako wanaowandanyanya wenzao kuwa wako pamoja, masikini Mpendazoe kapotea maboya kadanganyika, wanamsifu machoni huku wakimcheka moyoni. Wanampa moyo ashughulikie usajili, awe ndio msemaji na wao wako nyuma yake, kumbe moyoni wanajua fika hawajiunga nae, time will tell, na Mpendazoe atakapo ujua ukweli, atauweka bayana, by that time wenzake watakuwa wamerejea bungeni kwa tiketi za chama kile kile, huku yeye akiend-up with frustrations na kuishia kurejea CCM kwa aibu.
 
.
Mchukia Fisadi, Mzee Mwanakijiji sio mara moja wala mara mbili, ameshawahi kusema/andika impliedly na expresly yeye ni mshabiki wa chama gani japo alikiri kuwa kaomba kadi ya uanachama hajapatiwa.

Kwenye upinzani wetu nyumbani, wako wapinzani walioko vyama vingine lakini mapenzi yao ni kungine, na pia wapo wana CCM ambao genuinely wanakerwa na uchafu wa CCM, hawana mapenzi tena na CCM ila bado wako CCM na wataendelea kubaki humo humo kwa lengo la kuisafisha from within, au wako humo kwa sababu hawajaona pa kwenda, na wengine wako huko kwa sababu tuu huko ndiko kwenye opportunities.
Tarumbeta/ baragumu la Mwanakijiji kuhusu CCJ linaashiria ndani ya CCJ kuna wana CCJ wa moyoni ambao bado wako vyama vingine wakisubiria usajili upite na kati yao pia wako waliodanganywa, wako wanaodananya, na pia wako wanaowandanyanya wenzao kuwa wako pamoja, masikini Mpendazoe kapotea maboya kadanganyika, wanamsifu machoni huku wakimcheka moyoni. Wanampa moyo ashughulikie usajili, awe ndio msemaji na wao wako nyuma yake, kumbe moyoni wanajua fika hawajiunga nae, time will tell, na Mpendazoe atakapo ujua ukweli, atauweka bayana, by that time wenzake watakuwa wamerejea bungeni kwa tiketi za chama kile kile, huku yeye akiend-up with frustration.
Pasco

Nafikiri hili lilikuwa dili, lilikuwa limesukwa kama lilivyosukwa la Mrema lakini linaonekana kufeli, walitegemea baada ya Mpendazoe kujiengua CCM wimbi la watu litamfuata na kuvichanganya vyama vingine sasa mambo yamekuwa sivyo. Ndiyo maana hawaoni haja hata ya kukipa usajili kwa sasa. Mpendazoe analijua hilo na inawezekana keshalamba mafao yake na faida juu, kwani what is 40mil. kwa wenye pesa wanaotaka kuendelea madarakani.
 
MWANASIASA muasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edwin Mtei, amewataka viongozi wa Chama cha Jamii (CCJ), kuhamia Chadema, ili wawe katika nafasi mzuri ya kuendeleza upinzani wa kweli hasa kama chama hicho hakitapata usajili wa kudumu ndani ya mwaka huu.

Mtei alitoa rai hiyo jana alipokuwa akizungumza na Gazeti la Mwananchi huku kukiwa na habari za msajili wa vyama vya siasa nchini, kuhaidi kuanza kuhakiki wanachama wake wa CCJ jijini Dar es Salaam.


Mtei alisema anawashauri viongozi wa chama hicho kuhamia Chadema ili kuimarisha upinzani wa kweli.


"Mimi nawashauri hao watu wa CCJ waje kwetu Chadema kama watakosa usajili wa kudumu ili kwa pamoja, tuimarishe upinzani wa kweli,"alisema Mtei.


Alisema angependa kuona siku moja viongozi wa chama hicho akiwemo Fred Mpendazoe, wanahamia Chadema, chama chenye watu waliodharimia kuleta mabadiliko ya kweli.


"Waje ili kwa pamoja, tuunganishe nguvu zetu ili twende bungeni tukaimarishe upinzani wa kweli,"alisiisitiza Mtei


Alisema amekuwa akisikitika kuona viongozi wa CCJ wakihaha siku hadi siku kusaka usajili wa kudumu wa chama hicho.


Alisema viongozoi hao wanaweza kuhamia Chadema hasa kwa kuzingatia kuwa sera za vyama hivyo viwili zinafanana.

Chanzo: Gazeti la Mwananchi


Je, wataruhusu mgombea urais wa sisi je kugombea?
 
Pasco

Nafikiri hili lilikuwa dili, lilikuwa limesukwa kama lilivyosukwa la Mrema lakini linaonekana kufeli, walitegemea baada ya Mpendazoe kujiengua CCM wimbi la watu litamfuata na kuvichanganya vyama vingine sasa mambo yamekuwa sivyo. Ndiyo maana hawaoni haja hata ya kukipa usajili kwa sasa. Mpendazoe analijua hilo na inawezekana keshalamba mafao yake na faida juu, kwani what is 40mil. kwa wenye pesa wanaotaka kuendelea madarakani.

jamani.. as long as we don't know what you stand for (beside kutaka kuingoa CCM madarakani) sisi wengine tutafuta cha kusimamia.
 
Hvi ni Wananchi wangapi hata wanafahamu maana ya Itikadi, au uhusiano kati ya Itikadi fulani na Maendeleo yao? Leo hii hata ukienda UDSM wanafunzi wachache sana wataelewa hili somo la Itikadi sijuki ya Mrengo wa Kulia, sijui kushoto blah blah k
 
Hvi ni Wananchi wangapi hata wanafahamu maana ya Itikadi, au uhusiano kati ya Itikadi fulani na Maendeleo yao? Leo hii hata ukienda UDSM wanafunzi wachache sana wataelewa hili somo la Itikadi sijuki ya Mrengo wa Kulia, sijui kushoto blah blah k


mmh.. jamani kwanini mnawadharau sana Watanzania? Maana nakumbuka CCM waliwahi kusema watanzania wangeshindwa kujibu swali la hapana au ndiyo.... watu ambao wamekua katika itikadi za kisiasa, waliojifunza siasa tangu utoto na kuishi katika mazingira ya kisiasa labda kuliko taifa jingine lolote la Afrika kweli mnaamini hawajui maana ya mambo haya? Msichanganye apathy na ignorance.. !
 
Hvi ni Wananchi wangapi hata wanafahamu maana ya Itikadi, au uhusiano kati ya Itikadi fulani na Maendeleo yao? Leo hii hata ukienda UDSM wanafunzi wachache sana wataelewa hili somo la Itikadi sijuki ya Mrengo wa Kulia, sijui kushoto blah blah k

Nilishasema huko nyuma na ninaendelea kusema katika nchi hii Itikadi ni luxury, nchi hii inahitaji vit basics kwanza ambavyo itikadi zote zinataka, kama utawala wa sheria, haki za binadamu, kuheshimu mali za uma, watu kujifunza kufanya kazi, uzalendo na vit vinginevya aina hii.

Sasa ukianza kuleta itikadi hapa ambapo hata vitu basics hakuna wapi na wapi. Wengine kama sisi itikadi yetu hatutaki kuona viwanda avya abortion hapa nchini (maria stops na wenzao) na ushoga tutapiga marufuku na kufunga watu hapa. Inabidi tuweke hii kando na na tujiunge na chama kinachotaka kuweka hizi basics halafu kweli tukivuka huko wengi mtatuona na tutaachana kwa kupishana itikadi.

Nchi hii kwa sasa haitaki itikadi inatakiwa kurudi kwenye basics ambazo itakadi zote zinataka kuweza kuoperate na Chadema inataka kureta hayo
 
mmh.. jamani kwanini mnawadharau sana Watanzania? Maana nakumbuka CCM waliwahi kusema watanzania wangeshindwa kujibu swali la hapana au ndiyo.... watu ambao wamekua katika itikadi za kisiasa, waliojifunza siasa tangu utoto na kuishi katika mazingira ya kisiasa labda kuliko taifa jingine lolote la Afrika kweli mnaamini hawajui maana ya mambo haya? Msichanganye apathy na ignorance.. !

Mkuu nini ambacho mtafanya CCM hawajafanya?
 
Back
Top Bottom