Mwitikio Maandamano Chadema yawasikitisha wengi

mkalamo

JF-Expert Member
Sep 7, 2013
324
347
.Wahoji ushawishi wao ulipoishia

.Wasifu Uamuzi wa serikali kutoyaingilia

Na James Mtokambali

Zikiwa zimepita siku 11 tokea Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema,Freeman Mbowe atangaze maandamano yaliyohitimishwa leo, mwitikio wake umewasikitisha wananchi wengi na kuhoji chama hicho kinapoelekea tofauti na nguvu iliyokuwa nayo miaka 10 iliyopita

Wakizungumza katika maeneo tofauti yalipopita maandamano hayo baadhi ya wakazi wa jiji la Dar esSalaam, walieleza kuwa mwitikio mdogo wa wananchi si kiashiria kizuri cha maendeleo ya Chadema katika kuwashawishi wananchi kama walivyokuwa zamani

Mustapha Morie Mfanyabiashara wa Matunda katika soko la Buguruni, alieeleza kuwa hakutarajia mwitikio mdogo wa wananchi katika maandamano hayo yaliyoongozwa na viongozi wa kitaifa wa Chadema

Mimi nilijua baada ya serikali kuruhusu maandamano wananchi wengi wangejitokeza kwa kuwa miaka kadhaa nyuma chama hiki kilipoitisha maandamano licha ya kuzuiwa kwa nyakati tofauti lakini uungwaji mkono ulikuwa mkubwa kuliko hivi sasa”alisema Morie.

Dereva wa boda boda Mjulusi Mganza aliyejitambulisha kuwa anatokea kituo cha Buguruni Malapa, alisema kilichomsukuma kushiriki na kubeba bendera ya chama hicho katika maandamano hayo ni malipo na mafuta aliyopatiwa kwa makubaliano ya kuishia katika kituo cha Manzese

Aliongeza kuwa katika hali ya kawaida usafiri wa mara moja wa kutoka Buguruni Malapa kwenda Manzese haifiki shilingi 14,000 na kutaja kiasi hicho ndicho alichopokea kwa sharti la kuingiza pikipiki yake kwenye maandamano.

“Nilidhani tutakuwa wengi katika hili mimi ninaishia Manzese Darajani hii bendera nasepa nayo hata wenzangu nadhani nao wataishia hapo hapo kwa kuwa kijiweni kwetu mkataba ulitutaka tuishie Manzese”alisema Mganza

Mariam Stephano Mkazi wa Kimara Baruti alisema kilichomvutia kushiriki maandamano hayo ni ngoma zilizokuwa zikipigwa maarufu kigoma cha Uruguay.

“Wala sikuwa na taarifa nikaona watu wanapita na ngoma akiwemo shoga yangu Mwajey namuuliza ananiambia twende twende name nikaunga baadae ndiyo tukakutana na Lissu pamoja na Mbowe lakini sijafika mpaka mwisho”alisema

Mwandishi wa habari hizi aliyekuwa katika msafara wa maandamano hayo alishuhudia makundi ya watu wachache wachache wakiungana kabla ya kuongezeka walipofika katika eneo la Magomeni Usalama

Juma Mkilai aliyejitambulisha kuwa ni dalali wa ndizi katika soko la Mabibo, alisema kinachomskitisha ni kuona mvuto wa viongozi wa kitaifa wa Chadema ukishuka kila mwaka kiasi cha kushindwa kukonga nyoyo za watu kama walivyokuwa zamani

Alisema miaka 12 iliyopita akiwa nyumbani kwao Morogoro, alishuhudia maandamano makubwa ya chama hicho katika mji wa Morogoro licha ya kuwa na upinzani kutoka jeshi la Polisi wakati huo.

“Haya si mafanikio kwa ninavyoijua Chadema, kitendo cha Serikali kuruhusu wafanye maandamano kimewashusha sana na kuonyesha uwezo wao wa kukubalika ni mdogo, nimenafurahia jambo hili kuliko wangezuiwa kwa kuwa wangekuja na sababu nyingine ya kudai maandamano”alisema Mkilai
 
Wana hasira kali baada ya mama kuruhusu maandamano, hao watu uliwahoji sidhani kama ni watu sahihi.

Mtu mzima anaona ngoma anafuata bila kujua sababu ya ngoma hiyo huyo akili zake hazitoshi.
 
Tumsikilize huyu Kwa kuwa Mwandishi anaangalia vitu vingi tofauti na matarajio ya aandamanaji
 

Attachments

  • VID-20240124-WA0935.mp4
    3.9 MB
.Wahoji ushawishi wao ulipoishia

.Wasifu Uamuzi wa serikali kutoyaingilia

Na James Mtokambali

Zikiwa zimepita siku 11 tokea Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema,Freeman Mbowe atangaze maandamano yaliyohitimishwa leo, mwitikio wake umewasikitisha wananchi wengi na kuhoji chama hicho kinapoelekea tofauti na nguvu iliyokuwa nayo miaka 10 iliyopita

Wakizungumza katika maeneo tofauti yalipopita maandamano hayo baadhi ya wakazi wa jiji la Dar esSalaam, walieleza kuwa mwitikio mdogo wa wananchi si kiashiria kizuri cha maendeleo ya Chadema katika kuwashawishi wananchi kama walivyokuwa zamani

Mustapha Morie Mfanyabiashara wa Matunda katika soko la Buguruni, alieeleza kuwa hakutarajia mwitikio mdogo wa wananchi katika maandamano hayo yaliyoongozwa na viongozi wa kitaifa wa Chadema

Mimi nilijua baada ya serikali kuruhusu maandamano wananchi wengi wangejitokeza kwa kuwa miaka kadhaa nyuma chama hiki kilipoitisha maandamano licha ya kuzuiwa kwa nyakati tofauti lakini uungwaji mkono ulikuwa mkubwa kuliko hivi sasa”alisema Morie.

Dereva wa boda boda Mjulusi Mganza aliyejitambulisha kuwa anatokea kituo cha Buguruni Malapa, alisema kilichomsukuma kushiriki na kubeba bendera ya chama hicho katika maandamano hayo ni malipo na mafuta aliyopatiwa kwa makubaliano ya kuishia katika kituo cha Manzese

Aliongeza kuwa katika hali ya kawaida usafiri wa mara moja wa kutoka Buguruni Malapa kwenda Manzese haifiki shilingi 14,000 na kutaja kiasi hicho ndicho alichopokea kwa sharti la kuingiza pikipiki yake kwenye maandamano.

“Nilidhani tutakuwa wengi katika hili mimi ninaishia Manzese Darajani hii bendera nasepa nayo hata wenzangu nadhani nao wataishia hapo hapo kwa kuwa kijiweni kwetu mkataba ulitutaka tuishie Manzese”alisema Mganza

Mariam Stephano Mkazi wa Kimara Baruti alisema kilichomvutia kushiriki maandamano hayo ni ngoma zilizokuwa zikipigwa maarufu kigoma cha Uruguay.

“Wala sikuwa na taarifa nikaona watu wanapita na ngoma akiwemo shoga yangu Mwajey namuuliza ananiambia twende twende name nikaunga baadae ndiyo tukakutana na Lissu pamoja na Mbowe lakini sijafika mpaka mwisho”alisema

Mwandishi wa habari hizi aliyekuwa katika msafara wa maandamano hayo alishuhudia makundi ya watu wachache wachache wakiungana kabla ya kuongezeka walipofika katika eneo la Magomeni Usalama

Juma Mkilai aliyejitambulisha kuwa ni dalali wa ndizi katika soko la Mabibo, alisema kinachomskitisha ni kuona mvuto wa viongozi wa kitaifa wa Chadema ukishuka kila mwaka kiasi cha kushindwa kukonga nyoyo za watu kama walivyokuwa zamani

Alisema miaka 12 iliyopita akiwa nyumbani kwao Morogoro, alishuhudia maandamano makubwa ya chama hicho katika mji wa Morogoro licha ya kuwa na upinzani kutoka jeshi la Polisi wakati huo.

“Haya si mafanikio kwa ninavyoijua Chadema, kitendo cha Serikali kuruhusu wafanye maandamano kimewashusha sana na kuonyesha uwezo wao wa kukubalika ni mdogo, nimenafurahia jambo hili kuliko wangezuiwa kwa kuwa wangekuja na sababu nyingine ya kudai maandamano”alisema Mkilai
Sasa mmehoji wala unga na wanywa Sungura mlitegemea majibu gani.
We piga k vant ndo nafuu kwako
 
Kati ya siku Ccm mme vuliwa nguo ni leo.
Mwenye akili lazima ujiulize kuchafuliwa sifa hadi umoja wa mataifa ni jambo baya sana.
 
.Wahoji ushawishi wao ulipoishia

.Wasifu Uamuzi wa serikali kutoyaingilia

Na James Mtokambali

Zikiwa zimepita siku 11 tokea Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema,Freeman Mbowe atangaze maandamano yaliyohitimishwa leo, mwitikio wake umewasikitisha wananchi wengi na kuhoji chama hicho kinapoelekea tofauti na nguvu iliyokuwa nayo miaka 10 iliyopita

Wakizungumza katika maeneo tofauti yalipopita maandamano hayo baadhi ya wakazi wa jiji la Dar esSalaam, walieleza kuwa mwitikio mdogo wa wananchi si kiashiria kizuri cha maendeleo ya Chadema katika kuwashawishi wananchi kama walivyokuwa zamani

Mustapha Morie Mfanyabiashara wa Matunda katika soko la Buguruni, alieeleza kuwa hakutarajia mwitikio mdogo wa wananchi katika maandamano hayo yaliyoongozwa na viongozi wa kitaifa wa Chadema

Mimi nilijua baada ya serikali kuruhusu maandamano wananchi wengi wangejitokeza kwa kuwa miaka kadhaa nyuma chama hiki kilipoitisha maandamano licha ya kuzuiwa kwa nyakati tofauti lakini uungwaji mkono ulikuwa mkubwa kuliko hivi sasa”alisema Morie.

Dereva wa boda boda Mjulusi Mganza aliyejitambulisha kuwa anatokea kituo cha Buguruni Malapa, alisema kilichomsukuma kushiriki na kubeba bendera ya chama hicho katika maandamano hayo ni malipo na mafuta aliyopatiwa kwa makubaliano ya kuishia katika kituo cha Manzese

Aliongeza kuwa katika hali ya kawaida usafiri wa mara moja wa kutoka Buguruni Malapa kwenda Manzese haifiki shilingi 14,000 na kutaja kiasi hicho ndicho alichopokea kwa sharti la kuingiza pikipiki yake kwenye maandamano.

“Nilidhani tutakuwa wengi katika hili mimi ninaishia Manzese Darajani hii bendera nasepa nayo hata wenzangu nadhani nao wataishia hapo hapo kwa kuwa kijiweni kwetu mkataba ulitutaka tuishie Manzese”alisema Mganza

Mariam Stephano Mkazi wa Kimara Baruti alisema kilichomvutia kushiriki maandamano hayo ni ngoma zilizokuwa zikipigwa maarufu kigoma cha Uruguay.

“Wala sikuwa na taarifa nikaona watu wanapita na ngoma akiwemo shoga yangu Mwajey namuuliza ananiambia twende twende name nikaunga baadae ndiyo tukakutana na Lissu pamoja na Mbowe lakini sijafika mpaka mwisho”alisema

Mwandishi wa habari hizi aliyekuwa katika msafara wa maandamano hayo alishuhudia makundi ya watu wachache wachache wakiungana kabla ya kuongezeka walipofika katika eneo la Magomeni Usalama

Juma Mkilai aliyejitambulisha kuwa ni dalali wa ndizi katika soko la Mabibo, alisema kinachomskitisha ni kuona mvuto wa viongozi wa kitaifa wa Chadema ukishuka kila mwaka kiasi cha kushindwa kukonga nyoyo za watu kama walivyokuwa zamani

Alisema miaka 12 iliyopita akiwa nyumbani kwao Morogoro, alishuhudia maandamano makubwa ya chama hicho katika mji wa Morogoro licha ya kuwa na upinzani kutoka jeshi la Polisi wakati huo.

“Haya si mafanikio kwa ninavyoijua Chadema, kitendo cha Serikali kuruhusu wafanye maandamano kimewashusha sana na kuonyesha uwezo wao wa kukubalika ni mdogo, nimenafurahia jambo hili kuliko wangezuiwa kwa kuwa wangekuja na sababu nyingine ya kudai maandamano”alisema Mkilai
Nimesoma lkn sijafahamu
 
.Wahoji ushawishi wao ulipoishia

.Wasifu Uamuzi wa serikali kutoyaingilia

Na James Mtokambali

Zikiwa zimepita siku 11 tokea Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema,Freeman Mbowe atangaze maandamano yaliyohitimishwa leo, mwitikio wake umewasikitisha wananchi wengi na kuhoji chama hicho kinapoelekea tofauti na nguvu iliyokuwa nayo miaka 10 iliyopita

Wakizungumza katika maeneo tofauti yalipopita maandamano hayo baadhi ya wakazi wa jiji la Dar esSalaam, walieleza kuwa mwitikio mdogo wa wananchi si kiashiria kizuri cha maendeleo ya Chadema katika kuwashawishi wananchi kama walivyokuwa zamani

Mustapha Morie Mfanyabiashara wa Matunda katika soko la Buguruni, alieeleza kuwa hakutarajia mwitikio mdogo wa wananchi katika maandamano hayo yaliyoongozwa na viongozi wa kitaifa wa Chadema

Mimi nilijua baada ya serikali kuruhusu maandamano wananchi wengi wangejitokeza kwa kuwa miaka kadhaa nyuma chama hiki kilipoitisha maandamano licha ya kuzuiwa kwa nyakati tofauti lakini uungwaji mkono ulikuwa mkubwa kuliko hivi sasa”alisema Morie.

Dereva wa boda boda Mjulusi Mganza aliyejitambulisha kuwa anatokea kituo cha Buguruni Malapa, alisema kilichomsukuma kushiriki na kubeba bendera ya chama hicho katika maandamano hayo ni malipo na mafuta aliyopatiwa kwa makubaliano ya kuishia katika kituo cha Manzese

Aliongeza kuwa katika hali ya kawaida usafiri wa mara moja wa kutoka Buguruni Malapa kwenda Manzese haifiki shilingi 14,000 na kutaja kiasi hicho ndicho alichopokea kwa sharti la kuingiza pikipiki yake kwenye maandamano.

“Nilidhani tutakuwa wengi katika hili mimi ninaishia Manzese Darajani hii bendera nasepa nayo hata wenzangu nadhani nao wataishia hapo hapo kwa kuwa kijiweni kwetu mkataba ulitutaka tuishie Manzese”alisema Mganza

Mariam Stephano Mkazi wa Kimara Baruti alisema kilichomvutia kushiriki maandamano hayo ni ngoma zilizokuwa zikipigwa maarufu kigoma cha Uruguay.

“Wala sikuwa na taarifa nikaona watu wanapita na ngoma akiwemo shoga yangu Mwajey namuuliza ananiambia twende twende name nikaunga baadae ndiyo tukakutana na Lissu pamoja na Mbowe lakini sijafika mpaka mwisho”alisema

Mwandishi wa habari hizi aliyekuwa katika msafara wa maandamano hayo alishuhudia makundi ya watu wachache wachache wakiungana kabla ya kuongezeka walipofika katika eneo la Magomeni Usalama

Juma Mkilai aliyejitambulisha kuwa ni dalali wa ndizi katika soko la Mabibo, alisema kinachomskitisha ni kuona mvuto wa viongozi wa kitaifa wa Chadema ukishuka kila mwaka kiasi cha kushindwa kukonga nyoyo za watu kama walivyokuwa zamani

Alisema miaka 12 iliyopita akiwa nyumbani kwao Morogoro, alishuhudia maandamano makubwa ya chama hicho katika mji wa Morogoro licha ya kuwa na upinzani kutoka jeshi la Polisi wakati huo.

“Haya si mafanikio kwa ninavyoijua Chadema, kitendo cha Serikali kuruhusu wafanye maandamano kimewashusha sana na kuonyesha uwezo wao wa kukubalika ni mdogo, nimenafurahia jambo hili kuliko wangezuiwa kwa kuwa wangekuja na sababu nyingine ya kudai maandamano”alisema Mkilai
Wewe na wahojiwa wako mnachekesha sana. RC wa Dar es salaam alitoa tamko la vitisho dhidi ya waandamanaji na serikali haikubatilisha tamko hilo. Bado CCM ilitumia vibaraka wakiwemo vyama vya upinzani na wafanyabihashara feki, akina Mwaipopo na udini nk, wote hawa walifanya campaign kukemea maandamano. Kwa mazingira hayo bado unahoji ushawishi wa Chadema kwa kuangalia maandamano ya leo?
 
Back
Top Bottom