Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Na hata CCJ ikisajiliwa -- MKJJ ana uhakika gani kwamba serikali ya CCM haitafanya systematic campaign against it, tena in top gear, if at all it will pursue what Chadema was doing -- that is exposing ufisadi in CCM and its government? CCj inaweza ikapona kufinywafinywa iwapo tu itafunga mdomo wake katika suala la ufisadi -- au lkubali kuunga mkono ufisadi! yaani kama vile vyama vingine visivyosikika hadi wakati wa uchaguzi tu.
CCm haitakubali tishio lolote dhidi yake -- na tishio kubwa kwake ni kuumbuliwa kwenye masuala ya utafunaji nchi.
CCm haitakubali tishio lolote dhidi yake -- na tishio kubwa kwake ni kuumbuliwa kwenye masuala ya utafunaji nchi.