Vitu viwili tofauti, kutukana au kutoa matusi na kutoa mawazo kuhusu jambo fulaniSasa mlivyokuwa mnalalamika CCM inawatukana kumbe ni Mwigulu na Lusinde yalikuwa mawazo yao binafsi.
Mbunge wa Kigoma Kaskazini-CDM amesema Mzee Edwin Mtei amefilisika kimawazo kwa kauli yake kwamba tume ya Katiba ina Waislam wengi kuliko wakristo.
Source:JAMBO LEO.
Mzee Mtei kazeeka vibaya.
Ubongo umechoka ndio maana anaropoka tu
OTIS
UONGOZI WA JUU 1. Mhe. Jaji Joseph Sinde WARIOBA - Mwenyekiti 2. Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino RAMADHANI - Makamu Mwenyekiti WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - BARA 1. Prof. Mwesiga L. BAREGU 2. Nd. Riziki Shahari MNGWALI 3. Dr. Edmund Adrian Sengodo MVUNGI 4. Nd. Richard Shadrack LYIMO 5. Nd. John J. NKOLO 6. Alhaj Said EL- MAAMRY 7. Nd. Jesca Sydney MKUCHU 8. Prof. Palamagamba J. KABUDI 9. Nd. Humphrey POLEPOLE 10. Nd. Yahya MSULWA 11. Nd. Esther P. MKWIZU 12. Nd. Maria Malingumu KASHONDA 13. Mhe. Al-Shaymaa J. KWEGYIR (Mb) 14. Nd. Mwantumu Jasmine MALALE 15. Nd. Joseph BUTIKU | WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - ZANZIBAR 1. Dkt. Salim Ahmed SALIM 2. Nd. Fatma Said ALI 3. Nd. Omar Sheha MUSSA 4. Mhe. Raya Suleiman HAMAD 5. Nd. Awadh Ali SAID 6. Nd. Ussi Khamis HAJI 7. Nd. Salma MAOULIDI 8. Nd. Nassor Khamis MOHAMMED 9. Nd. Simai Mohamed SAID 10. Nd. Muhammed Yussuf MSHAMBA 11. Nd. Kibibi Mwinyi HASSAN 12. Nd. Suleiman Omar ALI 13. Nd. Salama Kombo AHMED 14. Nd. Abubakar Mohammed ALI 15. Nd. Ally Abdullah Ally SALEH UONGOZI WA SEKRETARIETI 1. Nd. Assaa Ahmad RASHID - Katibu 2. Nd. Casmir Sumba KYUKI - Naibu Katibu |
Mbunge wa Kigoma Kaskazini-CDM amesema Mzee Edwin Mtei amefilisika kimawazo kwa kauli yake kwamba tume ya Katiba ina Waislam wengi kuliko wakristo.
Source:JAMBO LEO.
uMETAWAZA MAANA NAONA UMEHARA...Zitto anaivuruga CDM, au chadema inamvuruga zitto?? Zitto anapanbana na maadui zake ndani ya chadema wasiotaka kuona chama kinatoka minoni mwa wenye malengo maalum!! Mtoeni zitto ili chama chenu kife ili tanzania iendelee kuwa na amani
Nioneshe popote niliponukuliwa kusema unavyosema hapa.
Sijawahi kumjibu Mtei moja kwa moja hata siku moja. Kwenye suala hili msimamo wangu niliuweka wazi hat kabla Mtei Hajasema.
Walioandika wameunganisha tu tweets zangu na kauli ya Mtei ambayo siiungi mkono hata kidogo. Mzee was mistaken.
Tume ya Katiba imeteuliwa kwa mujibu wa sheria. Haina Udini. Ina wajumbe ninaowaheshimu sana. Twende tukatoe maoni. Tuache maneno yasiyo na maana yeyote.
Mbunge wa Kigoma Kaskazini-CDM amesema Mzee Edwin Mtei amefilisika kimawazo kwa kauli yake kwamba tume ya Katiba ina Waislam wengi kuliko wakristo.
Source:JAMBO LEO.
Acha nidhamu ya uwoga kijana makosa yafanywe na Mtei halafu radhi aombe Zitto.
Nioneshe popote niliponukuliwa kusema unavyosema hapa.
Sijawahi kumjibu Mtei moja kwa moja hata siku moja. Kwenye suala hili msimamo wangu niliuweka wazi hat kabla Mtei Hajasema.
Walioandika wameunganisha tu tweets zangu na kauli ya Mtei ambayo siiungi mkono hata kidogo. Mzee was mistaken.
Tume ya Katiba imeteuliwa kwa mujibu wa sheria. Haina Udini. Ina wajumbe ninaowaheshimu sana. Twende tukatoe maoni. Tuache maneno yasiyo na maana yeyote.
asee...hii thread kina rejao na ritz,watachangia sana ngoja waamke...wapi FF???ila sina imani na gazeti la Jambo Leo laweza kutumika pia kupindisha alichosema Zitto ili kuleta mifarakano.