zito ndio kafilisika, ukweli utabaki kuwa ukweli, kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake, so mtei kasema mawazo yake, na zitto angetoa mawazo yake, In reality there is no balance , Ili kuondoa tatizo hilo ingetakiwa 50% ya waislamu na 50% wakristo, kwenye mambo ya kidini huoni wanaweza kujipendelea na kusema tz ni nchi ya kiislaam, lakini ukichukua total population of Tanzania ambayo ni about 45million people, Waislamu hawafiki milioni ishirini