Mtei, Jussa watu hatari zaidi kupata kutokea Tanzania

KIM KARDASH

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
5,139
1,139
Suala la udini ni suala ambalo muasisi wa taifa hili julius nyerere alilipigia sana kelele kipindi cha uhai wake.Leo katika hali ya kushangaza watu wawili kutoka vyama vikuu viwili vya upinzani tanzania wamenukuliwa wakitoa kauli zenye chembe chembe ya dalili za kutaka kuigawa nchi na wananchi kwa kutumia kigezo cha dini,watu hawa wawili ambao chonde chonde nawaomba watazania wenzangu tuwapuuze ni muasisi mwenye sauti kubwa ndani ya chadema bwana Mtei na kiongozi mwanadamizi na mwenye sauti kubwa ndani ya cuf ISMAIL JUSSA.

Akiuzungumzia uteuzi wa wajumbe wa tume ya katiba bwana mtei bila haya alitoa kauli ya kilevi kwamba eti tume hiyo imejaa waislam!sina uhakika kama mzee huyu alikua na uhakika na anachokisema ama alikua anataka kusema labda tume hii ina watu wengi wenye majina ya kiislam..all in all timing ya kuitoa kauli hii ilikua ni mbovu hasa ikizingatiwa kwamba ndio kwanza tume imeteuliwa ikiwa hata haijakutana huyu mzee anaamua kuivuruga kwa makusudi ili siku ziende tukifike kwenye uchaguzi bila katiba mpya kama jk vile anataka iwe.

Ya Jussa sina haja ya kuyarudia yote kwa kuwa kila mtu humu unajua matatizo ya jussa kwenye udini kali kuliko zote ni pale aliposema chama chake kimeshindwa uzini kutokana na jimbo hilo kujawa na wakristo!

Hawa wawili ndio viongozi wetu wanaozitumia dini kufanikisha malengo yao,ndio mana nikaswema MTEI na JUSSA NI WATU HATARI SANA KWA TAIFA,TUWAOGOPE KAMA UKOMA,NAPENDEKEZA RAIS KIKWETE AFANYE MAAMUZI MAGUMU KWA KUWAKAMATA NA KUWATIA NGUVUNI MARA MOJA ILI IWE FUNDISHI KWA WENGINE WENYE MAWAZO YA KIJINGA KAMA HAWA WAWILI.

Nawasilisha
 
Zanzibar ni nchi ya kiislamu sasa ulitaka Jusa asemaje? kura za CUF ni kutoka kwa Waislamu na siyo wakristo wala watu wabara kule nchini Zanzibar.
 
Zanzibar ni nchi ya kiislamu sasa ulitaka Jusa asemaje? kura za CUF ni kutoka kwa Waislamu na siyo wakristo wala watu wabara kule nchini Zanzibar.
Mbona walishindwa na chadema uzini?huo uislam wao haukuwasaidia?
 
Siku tarajia baba mkwe wa mwenyekiti wetu kuongea mashudu namna ile kweli wazee wasiku hizi hamna kitu
 
Hivi kwa nini mnaficha ukweli chini ya mwamvuli wa Udini?? Sioni tofauti ya Muislamu wa Zanzibar na wa Bara!! Nachokiona ni waislamu 19 na wakristo 11... This is Maths na sio religious politics au propaganda...

Mzee Mtei has a point!!
 
hivi kwa nini mnaficha ukweli chini ya mwamvuli wa udini?? Sioni tofauti ya muislamu wa zanzibar na wa bara!! Nachokiona ni waislamu 19 na wakristo 11... This is maths na sio religious politics au propaganda...

mzee mtei has a point!!

kwa hiyo unahisi zikipigwa kura wakristo watashindwa au
 
Hivi kwa nini mnaficha ukweli chini ya mwamvuli wa Udini?? Sioni tofauti ya Muislamu wa Zanzibar na wa Bara!! Nachokiona ni waislamu 19 na wakristo 11... This is Maths na sio religious politics au propaganda...

Mzee Mtei has a point!!

kweli kabisa. Na ukizingatia wakristo sisi ndio wengi ila rais, makamu, jaji mkuu na mkuu wa usalama waislamu. Yale yale ya Iraq, suni wachache wanatawala nchi imejaa washia kisa sadam ni suni
 
Suala la udini ni suala ambalo muasisi wa taifa hili julius nyerere alilipigia sana kelele kipindi cha uhai wake.Leo katika hali ya kushangaza watu wawili kutoka vyama vikuu viwili vya upinzani tanzania wamenukuliwa wakitoa kauli zenye chemebe chembe ya dalili za kutaka kuigwaa nchi na wananchi kwa kutumia kigezo cha dini,watu hawa awawili ambao chonde chonde naomba watazania tuwapuuze ni muasisi mwenye sauti kubwa ndani ya chadema bwana Mtei na kiongozi mwanadamizi wa cuf ISMAIL JUSSA.

Akiuzungumzia uteuzi wa wajumbe wa tume ya katiba bwana mtei bila haya alitoa kauli ya kilevi kwamba eti tume hiyo imejaa waislam!sina uhakika kama mzee huyu alikua na uhakika na anachokisema ama alikua anataka kusema labda tume hii ina watu wwengi wenye majina ya kiislam,all timing ya kuitoa kauli hii ilikua ni mbovu hasa ikizingatiwa kwamba ndio kwanza tume imeteuliwa ikiwa hata haijakutana huyu mzee anaamua kuivuruga kwa makusudi ili siku ziende tukifike kwenye uchaguzi bila katika mpya kama jk vile anataka iwe.

YA Jussa sina haja ya kuyarudiayote kwa kuuwa kila mtu humu unajua matatizo ya jussa kwenye udini kali kuliko zote ni pale aliposema chama chake kimeshindwa uzini kutokana na jimbo hili kujawa na wakristo!

Hawa wawili ndio viongozi wetu wanaozitumia dini kufanikisha malengo yao,ndio mana nikaswema MTEI na JUSSA NI WATU HATARI SANA KWA TAIFA,NAPENDEKEZA RAIS KIKWETE AFANYE MAAMUZI MAGUMU KWA KUWAKAMATA NA KUWATIA NGUVUNI MARA MOJA ILI IWE FUNDISHI KWA WENGINE WENYE MAWAZO YA KIJINGA KAMA HAWA WAWILI.

Nawasilisha

Jussa ni mwanaCCM mwenzenu kiaina au unaweza sema "kimaridhiano" au sijui kimaridhishano. Na nyie ndo wenye dola. Mchukulieni hatua za kinidhamu mkiwa ndani, then mtoke nje mtafute namna ya kudeal na huyo mwingine.
 
Suala la udini ni suala ambalo muasisi wa taifa hili julius nyerere alilipigia sana kelele kipindi cha uhai wake.Leo katika hali ya kushangaza watu wawili kutoka vyama vikuu viwili vya upinzani tanzania wamenukuliwa wakitoa kauli zenye chemebe chembe ya dalili za kutaka kuigwaa nchi na wananchi kwa kutumia kigezo cha dini,watu hawa awawili ambao chonde chonde naomba watazania tuwapuuze ni muasisi mwenye sauti kubwa ndani ya chadema bwana Mtei na kiongozi mwanadamizi wa cuf ISMAIL JUSSA.

Akiuzungumzia uteuzi wa wajumbe wa tume ya katiba bwana mtei bila haya alitoa kauli ya kilevi kwamba eti tume hiyo imejaa waislam!sina uhakika kama mzee huyu alikua na uhakika na anachokisema ama alikua anataka kusema labda tume hii ina watu wwengi wenye majina ya kiislam,all timing ya kuitoa kauli hii ilikua ni mbovu hasa ikizingatiwa kwamba ndio kwanza tume imeteuliwa ikiwa hata haijakutana huyu mzee anaamua kuivuruga kwa makusudi ili siku ziende tukifike kwenye uchaguzi bila katika mpya kama jk vile anataka iwe.

YA Jussa sina haja ya kuyarudiayote kwa kuuwa kila mtu humu unajua matatizo ya jussa kwenye udini kali kuliko zote ni pale aliposema chama chake kimeshindwa uzini kutokana na jimbo hili kujawa na wakristo!

Hawa wawili ndio viongozi wetu wanaozitumia dini kufanikisha malengo yao,ndio mana nikaswema MTEI na JUSSA NI WATU HATARI SANA KWA TAIFA,NAPENDEKEZA RAIS KIKWETE AFANYE MAAMUZI MAGUMU KWA KUWAKAMATA NA KUWATIA NGUVUNI MARA MOJA ILI IWE FUNDISHI KWA WENGINE WENYE MAWAZO YA KIJINGA KAMA HAWA WAWILI.

Nawasilisha
JK ndiye MDINI mkuu. Ana ajenda ya kuhakikisha mahakama ya kadhi na OIC vinaingizwa kwenye katiba mpya. Tutapambana hadi tone la mwisho la damu.
 
Suala la udini ni suala ambalo muasisi wa taifa hili julius nyerere alilipigia sana kelele kipindi cha uhai wake.Leo katika hali ya kushangaza watu wawili kutoka vyama vikuu viwili vya upinzani tanzania wamenukuliwa wakitoa kauli zenye chemebe chembe ya dalili za kutaka kuigwaa nchi na wananchi kwa kutumia kigezo cha dini,watu hawa awawili ambao chonde chonde naomba watazania tuwapuuze ni muasisi mwenye sauti kubwa ndani ya chadema bwana Mtei na kiongozi mwanadamizi wa cuf ISMAIL JUSSA.
Akiuzungumzia uteuzi wa wajumbe wa tume ya katiba bwana mtei bila haya alitoa kauli ya kilevi kwamba eti tume hiyo imejaa waislam!sina uhakika kama mzee huyu alikua na uhakika na anachokisema ama alikua anataka kusema labda tume hii ina watu wwengi wenye majina ya kiislam,all timing ya kuitoa kauli hii ilikua ni mbovu hasa ikizingatiwa kwamba ndio kwanza tume imeteuliwa ikiwa hata haijakutana huyu mzee anaamua kuivuruga kwa makusudi ili siku ziende tukifike kwenye uchaguzi bila katika mpya kama jk vile anataka iwe.

YA Jussa sina haja ya kuyarudiayote kwa kuuwa kila mtu humu unajua matatizo ya jussa kwenye udini kali kuliko zote ni pale aliposema chama chake kimeshindwa uzini kutokana na jimbo hili kujawa na wakristo!

Hawa wawili ndio viongozi wetu wanaozitumia dini kufanikisha malengo yao,ndio mana nikaswema MTEI na JUSSA NI WATU HATARI SANA KWA TAIFA,NAPENDEKEZA RAIS KIKWETE AFANYE MAAMUZI MAGUMU KWA KUWAKAMATA NA KUWATIA NGUVUNI MARA MOJA ILI IWE FUNDISHI KWA WENGINE WENYE MAWAZO YA KIJINGA KAMA HAWA WAWILI.

Nawasilisha

Mkuu hii thread imeshapitwa na wakati jana ilikuwepo kama hii na tume comment zaidi ya kurasa 30 sasa na wewe unaileta upya kama huna cha kupost kaa kando wewe gamba pambaf
 
kweli kabisa. Na ukizingatia wakristo sisi ndio wengi ila rais, makamu, jaji mkuu na mkuu wa usalama waislamu. Yale yale ya Iraq, suni wachache wanatawala nchi imejaa washia kisa sadam ni suni

CCM na JK wanadhani sisi ni wavivu wa kufikiri... na wameamua ku boycott msiba wa kanumba ili tusijadili hili...

Tunaona, tunafuatilia na tutajadili. Hakuna suala la kuficha hapo. Interests za waislamu wa Zanzibar ni hizohizo za waislamu wa Bara, na tunatambua kuwa hata huko Zenj wapo wakrito, hata kama ni wachache je wanawakilishwa na nani??

Vipi kuhusu population?? Hatuwezi kuwa na uwakilishi sawa kamwe!!
 
JK ndiye MDINI mkuu. Ana ajenda ya kuhakikisha mahakama ya kadhi na OIC vinaingizwa kwenye katiba mpya. Tutapambana hadi tone la mwisho la damu.

unachanganya taarifa mzee,aliyeiweka mahakama ya kadhi kwenye ilani ya ccm ili baadae iingie kwenye katiba alikua ni mzee mkapa akiwa mwenyekiti wa ccm,jk umaarufu wake kwa waislam umepungua baada ya kushindwa kumeza tu alichokua ametafuniwa na mkapa!waislam walichukia zaidi jk alipoiondoa issue ya kadhi na oic kwenye ilani ya uchaguzi wa 2010,wanaamini angekuwepo mkapa madarkani leo kadhi angekuwepo na kilivyo chuo kikuu cha kiislam morogoro,ni kwa jitihada za mkapa,huo ndio ukweli,mengi mbadanywa jk hakuna alichowasidia waislam,yeye ni chaguo la mungu wa wakatoliki!
 
Back
Top Bottom