Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,530
- 27,064
Mabibi na Mabwana!
Siku za nyuma kidogo, kulikuwa na wimbi la kuona kila mtu mwenye mafanikio ni Freemason. Hii ilienda kisha ikapotea, sina uhakika ilipotelea wapi ila siku hizi sio habari tena.
Sijui ndo agenda ilishatimilika au ilishakufa!
Kwa sasa upepo umegeuka kwa kasi ya kimbunga, kila mtu maarufu na mwenye mafanikio kwenye tasnia anahusishwa na vitendo vya kishoga.
Stori zimekuwa nyingi na orodha ni ndefu, kuanzia hapa Bongo hadi huko duniani. Utasikia fulani na fulani [wa kiume] usiwaone vile, 'wanaliwa' na kibopa fulani.
Kuendelea kuhusisha mafanikio na vitendo vya hovyo, inaweza kupotosha jamii yetu na kuaminisha kuwa ili 'utoboe' ni lazima 'uliwe'.
Ama kwamba kuliwa ni njia rahisi ya kutoboa, kitu ambacho sio sahihi.
Vijana tufanye kazi, na tuoneshe watu kazi tunazofanya. hii itatujengea heshima na kupigiwa mfano kwenye jamii zetu.
Ncha Kali.
Siku za nyuma kidogo, kulikuwa na wimbi la kuona kila mtu mwenye mafanikio ni Freemason. Hii ilienda kisha ikapotea, sina uhakika ilipotelea wapi ila siku hizi sio habari tena.
Sijui ndo agenda ilishatimilika au ilishakufa!
Kwa sasa upepo umegeuka kwa kasi ya kimbunga, kila mtu maarufu na mwenye mafanikio kwenye tasnia anahusishwa na vitendo vya kishoga.
Stori zimekuwa nyingi na orodha ni ndefu, kuanzia hapa Bongo hadi huko duniani. Utasikia fulani na fulani [wa kiume] usiwaone vile, 'wanaliwa' na kibopa fulani.
Kuendelea kuhusisha mafanikio na vitendo vya hovyo, inaweza kupotosha jamii yetu na kuaminisha kuwa ili 'utoboe' ni lazima 'uliwe'.
Ama kwamba kuliwa ni njia rahisi ya kutoboa, kitu ambacho sio sahihi.
Vijana tufanye kazi, na tuoneshe watu kazi tunazofanya. hii itatujengea heshima na kupigiwa mfano kwenye jamii zetu.
Ncha Kali.