Mtawa Mkatoliki apigwa Zanzibar

Mtawa Mkatoliki apigwa Zanzibar

Status
Not open for further replies.
mbwa aking'ata kuku ndo mnaua duuu ndo maana misri yanaendelea yaliyopo huko!
Kuna ugonjwa wa kichaa cha mbwa,mbwa wanatakiwa wafungwe minyororo,na kufungiwa kwenye mabanda maalumu,kichaa cha mbwa ni ugonjwa mbaya sana,mbwa akimng'ata mnyama mwingine,na yule naye anakuwa na kichaa cha mbwa,na huyo mnyama naye akimng'ata mwingine,ugonjwa unaendelea.Kisheria ni kosa kuchukuwa sheria mkononi,kupigwa huyo mtawa,lakini na yeye mtawa pia ana makosa kumwachia mbwa ovyo,ni kosa la jinai,mbwa unayemfuga ukamwachia ovyo.
Kuna wakati serekali huchukuwa hatuwa ya kuwapiga risai mbwa wanaozurura ovyo.Ndio mana Mtume Muhammad,alitoa agizokwa waislamu,wakifuga mbwa awe kwa kazi maalumu,na awe amepewa mafunzo kama ya uindaji,ulinzi nk,lakini sio kufuga mbwa bila kazi maalumu,na mafunzo maalumu,nio hapo anapojizururia ovyo.
 
Ndio maana alitumwa Yesu kuja kuja ku clarify. Ki-imani na kiroho yeyote asiye na dhambi ( kama yupo) ni ruksa kumuhukumu mwenye dhambi. Ndio maana akasema ya Mungu (imani) muachie Mungu na ya Kaisari (serikali) muachie Kaisari(serikali). Na akasema kabisa watu watahukumiwa na mahakama/mahakimu wa dunia/serikali na watafungiwa madhambi lakini yupo Hakimu wa ukweli ambaye akosei (Mungu) yeye ndie atakayehukumu kwa haki siku ya mwisho na walioonewa wote watafarijika.
Na akatupa amri kuu mbili ambazo zinaunganisha amri zote kumi
1) mpende na mtumikie Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa akili yako yote, kwa nguvu zako zote.
2)Mpende mwenzio/jirani yako kama unavyojipenda wewe.

Kwa maana hiyo wakristu wanatakiwa kuishi zaidi kwa mafundisho ya Yesu. Ndio maana baada ya kuja Yesu chuki/hukumu juu ya mtu mwingine haipewi nafasi kwenye midomo ya WaKristo safi.

Well said Mkuu,
Kikubwa hapo ni UPENDO.Ukiwa na upendo,huwezi kumtendea awaye yote ubaya.
Ukristo ni Upendo kama zinavyoainisha hizo amri kuu mbili.Upendo kwa Mungu na kwa binadamu mwenzako.
 
RABIES,UGONJWA WA KICHAA CHA MBWA HATARI KABISA
The disease is zoonotic,meaning it can be transmitted from one species to onether,such as from dogs to humans,commonly by bite from an infected animal.FOR A HUMAN,RABIES IS ALMOST INVARIABLY FATAL IF POSTEX POSURE PROPHYLAXIS IS NOT ADMINISTERED PRIOR TO THE ONSET OF SEVERE SYMPTOMS.The rabies virus infects the central nervous system,ultimately causing disease in the brain and death.
Once the rabies virus reaches the central nervous system and symptoms begins to show ,the infection is virtually untreateable and usuully fatal within days.
 
Alafu wengine hudai hiyo ni kuipigania dini ya Alah
Halafu mwasema mmesoma,hata kufahamu kama kuna ugonjwa wa hatari wa kichaa cha mbwa,inatakiwa mtu anayefuga mbwa awe mwangalifu ,kumfunga mnyororo,awe na banda la kufungia,na awe anapata chanjo.kisheria huyo mtawa ana makosa,kama atafikishwa kwenye vyombo vya sheria,na hayo wananchi wanamakosa kwa kuchukuwa sheria mkononi,na hii ni Tabia ipo dunia nzima,ya kuchukuwa sheria mkononi.
 
Well said Mkuu,
Kikubwa hapo ni UPENDO.Ukiwa na upendo,huwezi kumtendea awaye yote ubaya.
Ukristo ni Upendo kama zinavyoainisha hizo amri kuu mbili.Upendo kwa Mungu na kwa binadamu mwenzako.
Upendo ndio huo wa kuuza koti na kununua upanga?Na ndio huo upendo wanaomalizana kwa kuchinjana wa protestant na wakatoliki,Ireland ya kaskazini? Au kina Askof Joseph Kibwetere,kuwachoma maelfu ya watu kanisani,au upendo wa Kina John Garang,wakuuwa watu na kuwaacha maelfu vilema.Kweloi mna upendo.
 
Matunda ya Uhamsho hayo, kwao wao raia wa dini nyingine ndani ya Zanzibar, hana thamani mbele yao, Ongera Maalim Seif !. Upuuzi mtupu.
 
Zanzibar si salama kwa kuishi especially kwa wale wenye imani tofauti na majority ya wazanzibari

Halafu tukisema hawana tofauti alshabaab au alkaida eti tunawaonea, wazanzibar wanchuki sana dhidi ya wageni na watu ambao wanimani tofauti na wao. ila wakumbuke hayati mwa. nyerere alisema dhambi ya chuki ya ubaguzi ni kama kansa huwa haiishi, leo watawabagua na kuwashambulia wakristo na watu wa bara na wageni wengine, lakini wakumbuke siku moja wataanza kupigana mapanga wenyewe kwa misingi ya uunguja na upemba, wakimaliza watahmia kwenye ushia na usuni, nawashauri wazanzibari waache ushamba na waelimike...hatuwezi kuishi namana hiyo
 
nenda lindi,mtwara na pwani tanga uko watu wanasakwa na serikali za kata wapeleke watoto wao shule wengine hadi wanawatorosha ilimradi tu wasifike shule mtu faida yake bado analazamishwa na serikali mpaka anafunguliwa mashtaka,,aya nimeyaona chongoleani,nangurukulu,kibata,kivinje nk nk...kama uko kwenu zenj ndio upumbavu mtupu umejaa wazazi wanashauri watoto wajifelishe ili wasiendelee kusoma wawaozeshe,,, mtoto anapelekwa madrasa badala ya shule alafu baadae mnakuja kumlaumu nyerere wakati ashakufa zake mara mfumo kristo wakati malezi yenu tupu mabovu mama anamtukana mwanae cumhamhayo au mcenghe na ni kitu cha kawaida ata misingi ya elimu nyumbani hakuna kazi kumkalilisha maandishi ya ajabu ajabu na chuki kwa makafir shule hamtaki,,,,,unakuta familia nzima hawajui kusoma wala kuandika ila wana roho mbaya kama majini...

pia hayo ninayaona huku maeneo ya Maswa,Meatu,kishapu Mwalimu Mkuu anahongwa ili mtoto afutwe shule!, watoto wengi madarasan hawajui kusoma na kuandika.sekonda wanaanza 80 lakin fom 4 wanamaliza 20!. cha kushangaza waislam ni 0.0001% hebu waeleze hao waislam hapa napo tatizo nini
 
nenda lindi,mtwara na pwani tanga uko watu wanasakwa na serikali za kata wapeleke watoto wao shule wengine hadi wanawatorosha ilimradi tu wasifike shule mtu faida yake bado analazamishwa na serikali mpaka anafunguliwa mashtaka,,aya nimeyaona chongoleani,nangurukulu,kibata,kivinje nk nk...kama uko kwenu zenj ndio upumbavu mtupu umejaa wazazi wanashauri watoto wajifelishe ili wasiendelee kusoma wawaozeshe,,, mtoto anapelekwa madrasa badala ya shule alafu baadae mnakuja kumlaumu nyerere wakati ashakufa zake mara mfumo kristo wakati malezi yenu tupu mabovu mama anamtukana mwanae cumhamhayo au mcenghe na ni kitu cha kawaida ata misingi ya elimu nyumbani hakuna kazi kumkalilisha maandishi ya ajabu ajabu na chuki kwa makafir shule hamtaki,,,,,unakuta familia nzima hawajui kusoma wala kuandika ila wana roho mbaya kama majini...

Kutokusoma hakuna dini, hata wakristo wapo wasiosoma na hawataki kusoma. Roho mbaya pia haitegemei dini ni tabia ya mtu. Hayo mnayoyasema nyinyi kua waislam hawajasoma mnazidisha tu kwa sababu ya chuki zenu vilevile. Znz mashule kibaooo na yanajaa mpk hayatoshi, vijijini na mashamba mashule kibao. Usiongee kitu ambacho Huna point nacho, Qur an huijui na hujui inatuamrisha nn wacha uzushi.
 
kwa ishu ya kutojua kusoma na kuandika tembea huku maswa,kishapu,meatu,itirima,sengerema na maeneo mengi. nimetembelea maeneo hayo hayana waislam kabisa ama kama wapo bas ni kwa kiasi kidogo sana! je, hawa nao tatizo nini? Mzaz anamwmbea ruhusa mwanae ili akachunge mifugo hata wiki nzima au mwez,mwalim awmayekataza ruhusa ni adui yao! hapa napo vp? familia nzima haijui kusoma na kuandika! hapo vipi? fom1 wanaanza 80 au 120 lakini wanamaliza fom4 20 au 30. 80% ya wasichana wanaolewa. na kuacha shule! hapo vp? je hao wote wanaathiriwa na maandishi ya kiarabu? Kama we ni msomi hebu eleza vp kichina,kikorea,kijapani nk. herufi/maandishi ni simbols tu. kwa hiyo wote waliofeli fm4 mwaka jana ni waislam tu na walifeli kwasababu ya uislam wao?. kwa hiyo ukiulizwa kwa nini wanafunz wanafeli sana miaka hii utasema kwamba sasahiv waislama wamejaa sana mashuleni?. vp mazingra ya kujifunzia!, vifaa,walimu!
 
Madhara yote haya ni ukosefu wa elimu zote( dunia na ahera) au kupata elimu hizo toka kwa watu wasiokuwa na uwezo...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom