Mtawa Mkatoliki apigwa Zanzibar

Mtawa Mkatoliki apigwa Zanzibar

Status
Not open for further replies.
hebu tusali sana naogopa huko tuendako mimi naona ni vijana tu wajinga wathibitiwe na si wazanzibari wote wenye matabia tuna ndugu zetu wazuri wapo zenj na hawashabikii tusihukumu bado mapema wasakwe wahalifu mmoja baada ya mwingine serikali ina mkono mrefu

:bored:
 
Kuna watu wamekalia kutukana uislam tu, huyo mtawa hata hamjajua kapigwa na nani mnaanza kutoa comments za kejeli juu ya uislam. Hakuna hata mzanzibari mmoja kwa ishu kama hio anaeweza kutumia mapanga na kufikia kumjeruhi huyo mama namna hio. Hayo ni mambo ya kwenu tanganyika mlozoea kukatana kama kuku tena hamna hata kisisi, kawaida tu kwenu kutoana roho km vile mmpewa kazi ya kumsaidia zirail.
Watanganyika waislamu hatuna tabia hizo,hizo ni tabia za wakristo,akiwa ni mtanganyika au mzanzibar,maana wapo wa zanzibar,wakristo.Tabia zao ni za kuuna,hata huyo Mungu wao aliuliwa kwanza,ndio wakasamehewa dhambi zao.
 
Alishaweka miundomini yakuwarudisha nyuma waislamu,moja ya miundominu hiyo ni kuuwa umoja wa waislamu wa Afrika mashariki,East african muslim welfare,Bakwata ikaundwa,Bakwata inawarudisha nyuma waislamu sana.Mikakati ilishawekwa mda mrefu wa kuwavuruga waislamu. Kama wanavyonyimwa maendeleo waprotestant na wakatoliki,Ireland ya kaskazini,mpaka leo watu wanachinjana

Hamna jipya la kualalisha ujinga wenu wa kutopenda elimu,,Nyerere alivyokuwa anawalazimisha kwenda shule na hadi kuwashushia passmark(mfano lindi na mtwara) mlitaka hawafanyie nini?? hawabebe kama kundi maalum like walemavu na kina mama wajawazito???iyo misingi ni ipi aliyoacha ya kuwakandamiza waislam ambayo inatekelezwa na kikwete kama sio kutafuta visababu kila kukicha mseme mnaujumiwa na madrasa zenu!!...hapo ulipo ujawai ata kununulia mdogo wako kama sio mwanao kitabu cha darasani ila ukikaa unamlaumu Pengo ndio anakurudisha nyuma utafikiri ye ndio anagawa akili za darasani..tembeeni muone watu wanavyo i-value elimu na wengine ni wakulima tu ila wanapigana watoto wasome nyie msubirini ponda na lipumba watawakomboa na dhulma ya mfumo kristo,,endeleeni kungoja sana mpaka siku mkigundua ni fikra zenu zinazotakiwa kukombolewa..ANZENI KUPANDA MITI NA MAUA KWENYE MAENEO YA MISIKITI YENU,,ANZIENI HAPO.
 
Zanzibar sio sehemu salama kwa kuishi, na Muungano ukivunjika yanakua makao makuu ya Alqaeda na boko haram.!!

Wapo wachache wajinga wanaoendekeza Udini na kusahau Kuwa asili Yao ilikuwa Tabora nk sasa wanajidai wekereketwa na Ukristo pasipo kutafakari vizuri wanapaswa wajitambue Kuwa Udini hauna nafasi ktk Nchi hii
 
nenda lindi,mtwara na pwani tanga uko watu wanasakwa na serikali za kata wapeleke watoto wao shule wengine hadi wanawatorosha ilimradi tu wasifike shule mtu faida yake bado analazamishwa na serikali mpaka anafunguliwa mashtaka,,aya nimeyaona chongoleani,nangurukulu,kibata,kivinje nk nk...kama uko kwenu zenj ndio upumbavu mtupu umejaa wazazi wanashauri watoto wajifelishe ili wasiendelee kusoma wawaozeshe,,, mtoto anapelekwa madrasa badala ya shule alafu baadae mnakuja kumlaumu nyerere wakati ashakufa zake mara mfumo kristo wakati malezi yenu tupu mabovu mama anamtukana mwanae cumhamhayo au mcenghe na ni kitu cha kawaida ata misingi ya elimu nyumbani hakuna kazi kumkalilisha maandishi ya ajabu ajabu na chuki kwa makafir shule hamtaki,,,,,unakuta familia nzima hawajui kusoma wala kuandika ila wana roho mbaya kama majini...
Acha ujinga,shule ya Kwanza tanganyika,kabla ya uhuru ilijengwa Tanga,ya secondary inaitwa Old Tanga,na shule ya kwanza kujengwa ya sekondari,baada ya uhuru ni ya Tanga techn,utaonekana mjinga hata historia y nchi ya Tanganyika huijui.Kama ingekuwa wa Tanga hawasomi,wangejenga shule zote za kwanza.
 
Anayejiuliza kwamba Nyerere aliwezaje kuudhibiti udini jibu lake ni kwamba,Nyerere aliweza kuudhibiti udini kwakuifanya dini moja kuwa ni bora zaidi kuliko nyingine kati ya dini kuu mbili zilizopo Tanzania.Alifanikiwa kiasi kikubwa sana kuwakandamiza waislamu na kuandaa mazingira ya kuwapotezea haki ya elimu ili kuwatawala vizuri, mfumo ambao unaendelea hadi leo na ndicho ambacho Sheikh Ponda na wanaharakati wengine wakiislamu wanakipinga, lakini walioachiwa mfumo wa Nyerere wanawabambikizia majina machafu wanaharakati hawa kama kuwaita wachochezi, magaidi na kadhalika.Hivi ndivyo Nyerere alivyofanikiwa kudhibiti udini.

Nyerere alitaifisha shule za makanisa na kuwa za serikali ili vijana wa dini zote wakasome bila kuogopa kubatizwa au kulishwa nyama ya nguruwe, yafaa kumshukuru sababu alitaka usawa wa elimu kwa watu wa imani zote.
 
sasa hao wapumbavu wanazani kuwaonea watawa ndo kumzua yesu kristo asitende kazi yake~ imekula kwao, hapa mwanzo mwisho!
 
Natamani dini zote zihubiri upendo amani na mshikamano. Natamani hawa wenzetu wa kule Zanzibar wangetambua kuwa hakuna binadamu au nchi inayoweza kuwepo duniani bila kuwepo na kushirikiana na watu mwingine. Zanzibar haiwezi kuwepo bila Bara na hata bara haiwezi kuwepo bila zanzibar. Uislamu hautadumu bila ya kuwepo ukristo, hali kadhalika ukristo hauwezi kuwepo bila ya kuwepo kwa uislamu. Kwahiyo watu wote duniani wanategemeana kwa kila jambo. Kosa la mbwa kuumiza kuku halistahili adhbu ya kujeruhi huyo mtawa. Kuweni watu wa amani na mtumie akili kujadili na kufanya maamuzi. Wazanzibar na watu wengine wenye kutumia dini kufanya uovu hakika mungu mwenye huruma hapendiezwi na hayo na bado anatoa nafasi ya kutubu na kusahihisha makosa na mienendo mibaya. Ni lazima tuvumiliane na tuyaishi mafundisho ya dini yanatotufundisha upendo kwa jirani na kwa mungu.
 
Tafsiri ipi potofu? Kama walijiripua wenyewe pale soweto,hayo mengine yanashindikana vipi?

Ww acha ujinga! Mtu mzima unaleta mzaha kwenye masuala ya msingi?...ss hayo ya soweto yanaingiaje hapa!....tupishe hapa,km unawaza siasa tu
 
Nyerere alitaifisha shule za makanisa na kuwa za serikali ili vijana wa dini zote wakasome bila kuogopa kubatizwa au kulishwa nyama ya nguruwe, yafaa kumshukuru sababu alitaka usawa wa elimu kwa watu wa imani zote.

dah! kumbe na wewe mawazo yako finyu sana!
 
Acha ujinga,shule ya Kwanza tanganyika,kabla ya uhuru ilijengwa Tanga,ya secondary inaitwa Old Tanga,na shule ya kwanza kujengwa ya sekondari,baada ya uhuru ni ya Tanga techn,utaonekana mjinga hata historia y nchi ya Tanganyika huijui.Kama ingekuwa wa Tanga hawasomi,wangejenga shule zote za kwanza.


Ww ndio utaonekana mjinga nani kakwambia shule ikijengwa Tanga ndio ilichukua watu wa Tanga,,shule zilikuwa za kitaifa wanaenda waliofaulu tu na anaweza asipatikane wa Tanga...ivi unajua mikoa iliyoongoza kwa kufelisha miaka mitano iliyopita??unajua sababu ya kufeli sana na dropouts uko??unajua shule za mwisho kitaifa zinatoka maeneo gani??alaf baadae mkikosekana kwenye system mnaanza kulalamika mnataka mpewe special seats.
 
Cruelty and Violence in the Bible
And to them it was given that they should not kill them,but that they should be tormented five months:and their torment was as the torment of a scorpion--
Rev 9:5
He's causing the plagues so that we can tell stories about the plagues.He's torturing the Egyptians so that we will worship Him.What kind of insecure and cruel God murders-- murders first -born children so that His followers will obey Him and will tell stories about Him?
Genesis
1.Because God liked Abel's animals sacrifice more than Cain's vegetables,Cain kills his brother Abel in a fit of religious jealousy
4:8
2.I will destroy ... Both man and beast ."God is angry.He decides to destroy all humans ,beasts,creeping things ,fowls, and all flesh wherein there is breath of life.He plans to drown them all.
6:7, [17]
 
Ww ndio utaonekana mjinga nani kakwambia shule ikijengwa Tanga ndio ilichukua watu wa Tanga,,shule zilikuwa za kitaifa wanaenda waliofaulu tu na anaweza asipatikane wa Tanga...ivi unajua mikoa iliyoongoza kwa kufelisha miaka mitano iliyopita??unajua sababu ya kufeli sana na dropouts uko??unajua shule za mwisho kitaifa zinatoka maeneo gani??alaf baadae mkikosekana kwenye system mnaanza kulalamika mnataka mpewe special seats.
Wewe ndio mjinga,usielewa dunia,mtindo wa kuchukuwa wanafunzi kutoka mikoa mingine kupeleka mikoa minginea Ulianza kipindi cha Nyerere,baada ya kuwachukuwa wanafunzi toka Bara kuwaleta Pwani,kwa vile bara kulikuwa hakuna shule.Na ukiona shule zinajenga eneo fulani ujuwe watu wa maeneo hayo ni wasomi.Hata waalimu wa kwanza walikuwa ni Waislamu.Soma historia,wacha ujinga,soma uone maofisa wa kwanza wakati wa ujerumani walikuwa ni wa dini gani.
 
Cruelty and Violence in the Bible
And to them it was given that they should not kill them,but that they should be tormented five months:and their torment was as the torment of a scorpion--
Rev 9:5
He's causing the plagues so that we can tell stories about the plagues.He's torturing the Egyptians so that we will worship Him.What kind of insecure and cruel God murders-- murders first -born children so that His followers will obey Him and will tell stories about Him?
Genesis
1.Because God liked Abel's animals sacrifice more than Cain's vegetables,Cain kills his brother Abel in a fit of religious jealousy
4:8
2.I will destroy ... Both man and beast ."God is angry.He decides to destroy all humans ,beasts,creeping things ,fowls, and all flesh wherein there is breath of life.He plans to drown them all.
6:7, [17]


someni nyie hamasishaneni kusoma na kuwekeza kwenye elimu,msipende kutafuta mchawi kwenye maujinga yenu wenyewe...we umekalia kupost pumba tu apa eti utapata thawabu mnavodanganyana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom