Mtawa Mkatoliki apigwa Zanzibar

Mtawa Mkatoliki apigwa Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Chanzo ni mbwa wa masista kumng'ata kuku wa majirani. Ndipo kundi la vijana wenye mapanga na marungu wakamvamia mtawala na kumuumiza. punde nitawawekea picha. Ni tukio la kusikitisha sana.

Duh, wawewanafungia hao mbwa wasiwaache wakizagaa ovyo!
 
Habari nilizozipata punde kutoka Zanzibar zinasema Mtawala Mkatoliki ameshambuliwa na kuumizwa vibaya Visiwani Zanzibar jirani kabisa na alipopigwa risasi Padri Mushi na kuuawa.

chanzo: mwandishi wetu wa Zanzibar
ni mtawa si mtawala.
 
Suluhu ya udini Tanzania ni kuchora mstari tu! Hata siku moja YESU hajawahi kuitwa Issa, ila upande wa pili wanang'ang'ania kweli. Hawaridhiki na Mohd na Issa wao wanataka na YESU KRISTO! Majanga
 
Habari nilizozipata punde kutoka Zanzibar zinasema Mtawala Mkatoliki ameshambuliwa na kuumizwa vibaya Visiwani Zanzibar jirani kabisa na alipopigwa risasi Padri Mushi na kuuawa.

chanzo: mwandishi wetu wa Zanzibar

Mhariri hiyo blue umeiona? Ingia edit post bas mtu wangu.
 
No NO !! NinaLaani kwa vikali uvamizi huo na wakinyama, This is not acceptable Haikubaliki kabisa. " Nyie wandugu wa huko tafadhalini simamisheni uhuni huo usiyo kuwa na faida au tija kwa jamii na wananchi, Tabia ya kuattack wasio na hatia ni uhalifu na ukosaji wa HESHIMA,UTU na UuNGWANA kwa kisiwa chenu. " Wallah SHAME " ni aiybu kubwa kutenda mambo ya kikatili kama haya !! Toeni ONYO na mulinde ustaarabu mlokuwanao tangu zamani.
Mangu awasamehe wenye ukweli.
 
Dini ni kitu kibaya sana hasa kwa wenzetu wasiojua dini maana yake nini... Mafundisho yanayomwinua shetani na mafundisho yanayomtukuza Mungu kamwe ya kumwinua shetani hayawezi kuwa na nguvu... Kila kitu kina mwanzo na mwisho...
Hata nchi zenye popalation ya Islamic kwa wingi wamekosa uvumilivu matokeo yake wanauwana..Hakika shetani ana nguvu sana
 
Ukitaka kucheka utangoja mpaka kiayama kama utasikia kauli ya Pro Lipumba kuhusu sakata hili yeye yuko busy na suala la Sheikh Ponda.

wanatekeleza maagizo ya sheikh ponda. bila shaka lipumba analifahamu hili vyema.
 
Ifike mahala watu washenzi wanaochochea udini wapigwe risasi au wanyongwe..bila kubagua ni dini gani...! Watu wananyamaza wengine wana roho za mashetani wanafurahia wenzao kushambuliwa?
 
ITakuwa vibaya sana kama polisi yule wa Zanzibar atatoa majibu kama yale alipopigwa risasi Padre Mkenda
 
ITakuwa vibaya sana kama polisi yule wa Zanzibar atatoa majibu kama yale alipopigwa risasi Padre Mkenda

Huyo polisi unamwonaje? Sijui alipataje ukamisna msaidizi.. Utadhani anakula urojo full time!
 
Sababu za 'kiimani' za waislam kuchukia mbwa ni
1. Wachafu- bata je?
2. Hufukuza malaika-
sijui wao waliumbwa na shetani?
3. Mtume Muhamad alisema mbwa WEUSI ni mashetani(evil)!- ina maana weupe hawana neno
 
Habari nilizozipata punde kutoka Zanzibar zinasema Mtawala Mkatoliki ameshambuliwa na kuumizwa vibaya Visiwani Zanzibar jirani kabisa na alipopigwa risasi Padri Mushi na kuuawa.

chanzo: mwandishi wetu wa Zanzibar
Hakika siku za kuvunjika kwa muungano wa tanganyika na zanzibar kutaambatana na matukio mengi ya kutisha na kuogofya kama :
1..kuuwawa baadhi ya watu :target:,
2..kumwagiwa tindikali 😛ainkiller::tea: ,
3..kupigwa na vitu vyenye ncha kali :fencing:, :laser:
4..mihadhara ya kichochezi na kuruga amani:director:😛eace: :argue:
5.. kusakwa kwa baadhi ya watu kwa udi na uvumba( hooks or crooks) 😛lane::shetani:
6...mengineyo mengi yenye sura na wajihi kama huo. :lock1:
 
Suluhu ya udini Tanzania ni kuchora mstari tu! Hata siku moja YESU hajawahi kuitwa Issa, ila upande wa pili wanang'ang'ania kweli. Hawaridhiki na Mohd na Issa wao wanataka na YESU KRISTO! Majanga

Labda ni baada ya kubainika alipenda sana mademu.. Mpaka wajane.. Mateka na vitoto vya miaka 9! Wajane wengine walikuwa wazuri akaamua kuwauwa waume zao! Na yeye akamchukua huyo mjane.. Ama kweli hii mikitu ni mitamu!
 
Hivi Ust.Ilunga kapungu alisema nini kweli?

ukiona mwislamu kapigwa au kaumizwa na polisi au serikali, iwe kwa siri ama kwa hadhara uwa/chinja mtawa au askofu kama kisasi.......


Hii ni hatari kwamba mahindi au mazao ale na kuharibu nguruwe aadhibiwe ngiri !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!si polisi wamepiga ponda au kunakingine zaidi.....................
 
kwa sasa huko hakufai kabisa,
kama mwanamke vaa tu ile ya
kuzipa hadi pua.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom