Andrew Kellei
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 348
- 123
Upendo ndio huo wa kuuza koti na kununua upanga?Na ndio huo upendo wanaomalizana kwa kuchinjana wa protestant na wakatoliki,Ireland ya kaskazini? Au kina Askof Joseph Kibwetere,kuwachoma maelfu ya watu kanisani,au upendo wa Kina John Garang,wakuuwa watu na kuwaacha maelfu vilema.Kweloi mna upendo.
Mkristo anatakiwa kuwa na upendo,lakini kwakuwa dhambi iliingia duniani,sio kila anayejiita mkristu ana UPENDO.