fact only
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 2,223
- 3,529
- Thread starter
- #61
😀😀 sisi wajamaa tuna visukari mkuu kuwa makini.Hayo maneno ukimwambia mdemokrasia kama kikwete atacheka tu na kukuambia nenda kijana ila ukimwambia mjamaa magu utapigwa kipondo kwa order maalum
Kukaza fuvu ni maneno ya vijana yakimaanisha kubisha hata Obama au trump asinge mind so hamna dharau hapo mkuu
Unakumbuka yule jamaa(Mayalla kama sikosei) alimuulizwa swali Magufuli.
Magufuli hakumjibu ila ilimwambia jina lako kwa kilugha Chetu ni njaa so inawezekana kijana una njaa.