Ndio wanaozalisha matajiri huitwa mafisadi kwa maana watu wanahitaji serikali imiliki kila kitu huo ujamaa ushapitwa na wakatiLazima tuzalishe matajiri ndiyo uchumi unataka hivyo.
Mwambieni akapige mbizi kwenye hiyo pool nyuma yake tupate majibu😀 Mzee kashasema ukisema tu anakichomi uje atakuzika wewe kwanza so zingatia mdomo wako mkuu.
Alafu zikija list za matajiri duniani watu hao huanza kulalamika kwamba watu wao kutoka nchi yao mbona hawapo.Ndio wanaozalisha matajiri huitwa mafisadi kwa maana watu wanahitaji serikali imiliki kila kitu huo ujamaa ushapitwa na wakati
Yeye ndiyo chanzo cha mauaji na mateso ya WatanganyikaKwanini watu wanamwombea kufa
Ujamaa ushaangukia pua na raisi ajae asiendekeze ujamaa atatoka madarakani kwa aibu zama hizi huwezi kulazimisha serikali imiliki pesa yalimshinda nyerere miaka ya 60 huko akang'atuka kwa aibu itawezekana leoAlafu zikija list za matajiri duniani watu hao huanza kukalamika kwamba watu wao kutoka nchi yao mbona hawapo.
Mwl.Nyerere hapasi kuonekana mzembe kwasababu mwanzo ni mgumu.Ujamaa ushaangukia pua na raisi ajae asiendekeze ujamaa atatoka madarakani kwa aibu zama hizi huwezi kulazimisha serikali imiliki pesa yalimshinda nyerere miaka ya 60 huko akang'atuka kwa aibu itawezekana leo
Watu waache fikra za kijima mtu kumiliki utajiri sio ufisadi serikali haiwezi kumili fedha na ikafanya biashara na ikashinda watu waachwe wamiliki pesa ndio uchumi unataka hivyo
Hizo kauli anakuambia private mkiwa wawili au anasemea wap?Ulikuwa umbea tu hakuna cha tezi dume. Mtapata tezi dume nyie na mtaenda kutibiwa kwenye hospital ya JK.(Jk kasema)
Miaka 20 wasema mwanzo hapana hadi kambona alimuambia akakaza fuvu matokeo yake nchi imekuja kuokolewa na mwinyi huo ndio ukweli ujamaa ulishashindwa sera za ujamaa ni za kijima kuishi kwa dhiki kwa kulazimisha serikali imiliki ardhi, mitaji na biashara badala ya watu. Serikali kazi yake kukusanya kodi na kuwawezesha watu kumiliki fursa za kiuchumiMwl.Nyerere hapasi kuonekana mzembe kwasababu mwanzo ni mgumu.
Hawa viongozi wa leo wakishindwa ndiyo wanapaswa kuhojiwa kwasababu kila kitu kipo open uchumi unajielezea wenyewe waziwazi.
Nimependa avatar picha yako ya the two giant gas planet Jupiter and Saturn.Hayo hajazungumzia Mkuu. Zingatia title.