Mtakufa nyie, mie nitawazika

Mtakufa nyie, mie nitawazika

Miaka 20 wasema mwanzo hapana hadi kambona alimuambia akakaza fuvu matokeo yake nchi imekuja kuokolewa na mwinyi huo ndio ukweli ujamaa ulishashindwa sera za ujamaa ni za kijima kuishi kwa dhiki kwa kulazimisha serikali imiliki ardhi, mitaji na biashara badala ya watu. Serikali kazi yake kukusanya kodi na kuwawezesha watu kumiliki fursa za kiuchumi
Of course alikosea kwa wakati ule ndiyo maana akaachilia mawazo mpya ya mzee Mwinyi ila Mwl.Nyerere hakuwa mzembe kwa wakati wake.

Kambona aliona ndio, mbona hata wewe leo unaweza kushauriwa jambo zuri na mke wako, rafiki, mama yako au mtu yeyote wa karibu yako na ukapinga kwa kuona kama sio ushauri mzuri kwa wakati huo alafu baadae unakuja kutambua kumbe walikuwa sahihi.

Vipi tukuite wewe ni mjinga au ni bado ulikuwa haujajua ukweli kwa wakati huo na sio kwamba wewe ni mjinga?
 
Of course alikosea kwa wakati ule ndiyo maana akaachilia mawazo mpya ya mzee Mwinyi ila Mwl.Nyerere hakuwa mzembe kwa wakati wake.

Kambona aliona ndio, mbona hata wewe leo unaweza kushauriwa jambo zuri na mke wako, rafiki, mama yako au mtu yeyote wa karibu yako na ukapinga kwa kuona kama sio ushauri mzuri kwa wakati huo alafu baadae unakuja kutambua kumbe walikuwa sahihi.

Vipi tukuite wewe ni mjinga au ni bado ulikuwa haujajua ukweli kwa wakati huo na sio kwamba wewe ni mjinga?
Ujinga sio kipaji na unafutwa kwa kutafuta maalifa na taarifa Nyerere alikuwa mtukufu asiyepingwa wala kushauriwa na hili nilikuwa naliona kwa hayati Magu, watu wa ujamaa hawatakagi mawazo mbadala nchi ni wao na wao ndio nchi
 
Ujinga sio kipaji na unafutwa kwa kutafuta maalifa na taarifa Nyerere alikuwa mtukufu asiyepingwa wala kushauriwa na hili nilikuwa naliona kwa hayati Magu, watu wa ujamaa hawatakagi mawazo mbadala nchi ni wao na wao ndio nchi
Hapo sawa ila sio kuwaita wajinga ni dharau sana.
 
Hakuna tukio ambalo watanganyika wanasubiri Kwa hamu kama hili la JK kung'ata shuka.

Sijui Kwa nini watu wa ovyo wanakawia kufa?

Anyway, hana maisha marefu, soon...
 
Hakuna tukio ambalo watanganyika wanasubiri Kwa hamu kama hili la JK kung'ata shuka.

Sijui Kwa nini watu wa ovyo wanakawia kufa?

Anyway, hana maisha marefu, soon...
Mzee anawambia watasubiri sana.

Na wapo walio kuwa-wanasubiri kashawazika.
 
Hapo sawa ila sio kuwaita wajinga ni dharau sana.
Hakuna sehemu nimewaita wajinga mkuu wewe ndio ulio introduce ilo neno

Mimi ni mshabiki wa capitalism tu sio kitu kingine kwahiyo anae endana na sera ya capitalism namuunga mkono ujamaa ni ujima uliokomaa tukiufuata tutegemee rundo la masikini nchini huku watukufu wachache wakifaidi matunda ya nchi
 
Hakuna sehemu nimewaita wajinga mkuu wewe ndio ulio introduce ilo neno

Mimi ni mshabiki wa capitalism tu sio kitu kingine kwahiyo anae endana na sera ya capitalism namuunga mkono ujamaa ni ujima uliokomaa tukiufuata tutegemee rundo la masikini nchini huku watukufu wachache wakifaidi matunda ya nchi
Tupo pamoja mkuu.

"yalimshinda nyerere miaka ya 60 huko akang'atuka kwa aibu itawezekana leo"

"hadi kambona alimuambia akakaza fuvu".

Ndiyo maana nikakujibu 👇.

Kambona aliona ndio, mbona hata wewe leo unaweza kushauriwa jambo zuri na mke wako, rafiki, mama yako au mtu yeyote wa karibu yako na ukapinga kwa kuona kama sio ushauri mzuri kwa wakati huo alafu baadae unakuja kutambua kumbe walikuwa sahihi.

Kwanini wewe ukosee alafu usihukumiwe alafu Mwl.Nyerere unamlaumu?
 
Huko kutambua tu kwamba anaombewa hayo, tayari ni kifo kwake. Asijifanye hailewi.
Hakuna kitu kama icho mkuu mzee anaendelea kula maisha tu siku zinasonga.

Atakufa Mungu akipanga sio wanadamu.
 
Mimi ni mshabiki wa capitalism tu sio kitu kingine kwahiyo anae endana na sera ya capitalism namuunga mkono ujamaa ni ujima uliokomaa tukiufuata tutegemee rundo la masikini nchini huku watukufu wachache wakifaidi matunda ya nchi
Ni dhahiri kabisa wewe ni "Mjinga", asiyejuwa kuwa ni mjinga.

Sasa sitafuti ugomvi hapa na wala sina muda wa kuanzisha darasa la kukuondoa huo ujinga.
Ninachoweza kukushauri, tafuta muda ujielimishe ili kuondoa huo ujinga. Elimu ipo tele kila mahali siku hizi.
Lakini la mwanzo kabisa unalotakiwa kuachana nalo ni hilo la kufikiri unajuwa kitu kumbe hujui chochote.
Dunia ya vita baridi ilikwishapita muda kitambo, wewe usibaki umeganda huko.
 
Hakuna kitu kama icho mkuu mzee anaendelea kula maisha tu siku zinasonga.

Atakufa Mungu akipanga sio wanadamu.
Nimekusoma hapo juuna huyo mwenzio, wote akili ni za kijinga tu. Inawezekana ndio kwanza mnabalehe, bado hamjui hali ya utu uzima ipoje.
 
Hizo lines nilizichukulia kama dharau sasa tumeelewana.
Hayo maneno ukimwambia mdemokrasia kama kikwete atacheka tu na kukuambia nenda kijana ila ukimwambia mjamaa magu utapigwa kipondo kwa order maalum

Kukaza fuvu ni maneno ya vijana yakimaanisha kubisha hata Obama au trump asinge mind so hamna dharau hapo mkuu
 
Ni dhahiri kabisa wewe ni "Mjinga", asiyejuwa kuwa ni mjinga.

Sasa sitafuti ugomvi hapa na wala sina muda wa kuanzisha darasa la kukuondoa huo ujinga.
Ninachoweza kukushauri, tafuta muda ujielimishe ili kuondoa huo ujinga. Elimu ipo tele kila mahali siku hizi.
Lakini la mwanzo kabisa unalotakiwa kuachana nalo ni hilo la kufikiri unajuwa kitu kumbe hujui chochote.
Dunia ya vita baridi ilikwishapita muda kitambo, wewe usibaki umeganda huko.
Sawa mkuumwelevu nimekupata
 
Nimekusoma hapo juuna huyo mwenzio, wote akili ni za kijinga tu. Inawezekana ndio kwanza mnabalehe, bado hamjui hali ya utu uzima ipoje.
Twende taratibu Mkuu kwani nilicho kwambia ni uongo?

JK atakufa wakati wake ukifika kama una imani tunasema(Mungu akipenda) sio kwa mapenzi yako wewe mwanadamu.

Kama unabisha muue basi kwa amri yako kesho asubuhi tumzike.
 
Back
Top Bottom