Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,445
- 2,507
Masalia huna aibu nakumbia wewe na mshirikina wako aliyekutuma pambafu enu hamna shape ya kuendelea kubaki kwenye chama makini mkafie mbali hatuwataki. Na Mboye na Slaa waelezwe kabisa maana sasa huyu mshirikina akienda kwenye mikutani watu wataanza kuanguka na wengine hawatahudhuria wakihofia maisha yao. We dont want to see him with witches
Hakuna masalia ya zitto hapa,lazima ukweli uwekwe wazi! Lengo la chadema si kuwakomboa watz wote bali kuikomboa kanda ya kaskazini na hilo liko wazi.Baada ya kuona hakuna uwezekano wa kupata madaraka yajuu serikalini kupitia ccm,wakaskazini na hasa wachaga wakaamua kuja na huu mkakati,wengine mob psychology na njaa zao tu zilizowasumbua kujiunga chadema.most of tanzanians are not focussed,they are ready even for matangopori!