Zitto Kabwe: Ndoto yangu ni kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,802
11,961

Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania akiwa katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

"Mimi urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika siasa kuweza kuiongoza nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025

“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.

“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto


Video: Mwananchi
 
Hahahahah labda wa Mwandinga tu. Zitto ana tabia za kirundi kirundi. Yaani ni kama mhutu mhutu, chuki zisizokuwa na maana. Yaani uutake urais wakati unamtukama mtu ambaye alikuwa rais na kipenzi cha watanzania?? Hakika Zitto atakufa bila kuwa rais na it will never happen under the system, maana kauli zake zipo rekodedi vizuri kabisa na zitabaki kizazi hadi kizazi. Mnafiki sana mdini na mkabila na hafai
 

Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania akiwa katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

"Mimi urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika siasa kuweza kuiongoza nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025

“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.

“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto


Video: Mwananchi
Aendelee kuota
 
Hiyo ni ndoto ya kila kiongozi wa chama cha siasa na chama chake, kushika madaraka, lakini siamini kama wote wanaoota ndoto hiyo hustahili kweli kwenda ikulu, naona wengine bora wabaki kuota tu.

Wakilazimisha kwenda matokeo yake ndio taifa linapoteza muelekeo, uwajibikaji unapotea, upigaji unatamalaki, mwishowe wafanyabiashara wanakuwa na influence mpaka kwenye maamuzi serikalini huku mwananchi wa chini akizidi kuumia.
 
Hahahahah labda wa Mwandinga tu. Zitto ana tabia za kirundi kirundi. Yaani ni kama mhutu mhutu, chuki zisizokuwa na maana. Yaani uutake urais wakati unamtukama mtu ambaye alikuwa rais na kipenzi cha watanzania?? Hakika Zitto atakufa bila kuwa rais na it will never happen under the system, maana kauli zake zipo rekodedi vizuri kabisa na zitabaki kizazi hadi kizazi. Mnafiki sana mdini na mkabila na hafai
Yaan kwa kauli yake amedhihirisha kuwa hajitambui kabisa.Hajui Kabisa kuwa yeye ,hana sifa Kabisa ya kuwa Rais .Pia hajui Kabisa kuwa hakubaliki Kabisa katika jamii ya watanzania.Anaonekana ni kituko .Huyu ni Savimbi.
 

Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania akiwa katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

"Mimi urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika siasa kuweza kuiongoza nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025

“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.

“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto


Video: Mwananchi
Kama anamchukia alokuwa Rais wetu kipenzi cha watanzania alotangulia mbele za haki Jemedari, Jembe, Jeshi (JPM), labda awe Rais wa Wasafi Classic Baby (WCB)
 

..................lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025

“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.

“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto
Mjinga huyo asifikiri watanzania hawamjui tabia yake ya udini; uamuzi wa yeye kugombea utategemea dini ya mgombea atakayepitishwa na CCM

Kama CCM ikipitisha Mkristo lazima litagombea na atakuwa active sana katika kumkosoa

Ila akiendelea Muislamu Samia halitagombea
 

Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania akiwa katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

"Mimi urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika siasa kuweza kuiongoza nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025

“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.

“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto
Namuunga mkono
P
 

Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania akiwa katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

"Mimi urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika siasa kuweza kuiongoza nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025

“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.

“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto


Video: Mwananchi

Hadi huyu , mchumia tumbo, mtu asiye na msimamo, mdini, mpuuzi naye anataka kuwa Rais? Labda Rais wa Ujiji.
 
Hahahahah labda wa Mwandinga tu. Zitto ana tabia za kirundi kirundi. Yaani ni kama mhutu mhutu, chuki zisizokuwa na maana. Yaani uutake urais wakati unamtukama mtu ambaye alikuwa rais na kipenzi cha watanzania?? Hakika Zitto atakufa bila kuwa rais na it will never happen under the system, maana kauli zake zipo rekodedi vizuri kabisa na zitabaki kizazi hadi kizazi. Mnafiki sana mdini na mkabila na hafai
Hana tofauti na Magufuli.
 
Back
Top Bottom