Mtake msitake Zitto ni jembe

Mtake msitake Zitto ni jembe

Status
Not open for further replies.
Watanzania Tunamkubali zitto, Tunamwamini na Mchango wake Wanaweza kuutambua wale wenye uelewa mpana juu ya siasa za tanzania na sii kama hao vilaza wanaomchafua. Zitto Watanzania tupo nawe na chadema nadio Fimbo yetu ya kumng'oa mkoloni mweusi. Go!!!!!!!!!!
 
Mkuu hapo umenena kweli ana sifa ya jembe maana jembe halifanyi kazi mpaka lichomekwe mpini kati na yeye hafanyi kazi mpaka 'achomekwe mpini' na ccm
 
  • Thanks
Reactions: PSM
Tamaa mbele mauti nyuma....Ni muhimu kutumia busara na uvumilivu kama unataka madaraka
 
Unajua maana ya jembe?,kumbe ni jembe ivyo hawezkufanya kaz mpaka atiwe mpin,mpin ni nan Kama ye ni jembe?
 
Haya masalia bado yanaendelea kumsafisha zitto? Hivi bado hajasafishika?
 
Masalia ya ZZK yapo mengi lakini yanapukutika
 
Kama yeye ni jembe ben saa8 ni trekta.
Heche caterpillar.
 
Hakuna masalia ya zitto hapa,lazima ukweli uwekwe wazi! Lengo la chadema si kuwakomboa watz wote bali kuikomboa kanda ya kaskazini na hilo liko wazi.Baada ya kuona hakuna uwezekano wa kupata madaraka yajuu serikalini kupitia ccm,wakaskazini na hasa wachaga wakaamua kuja na huu mkakati,wengine mob psychology na njaa zao tu zilizowasumbua kujiunga chadema.most of tanzanians are not focussed,they are ready even for matangopori!
 
Hili liko wazi kabisa kuwa mheshimiwa zitto zuberi kabwe ni jembe! Zitto ni mahiri kwa kujenga hoja na kusimamia anachokiamini tofauti na waropokaji akina wenje,jmnyika,msigwa,nassari,mbilinyi nk.Wimbi linalozidi kumwandama zitto ni kutokana na uroho wa baadhi ya viongozi wa juu wa chadema ambao wanaona kuwa zitto ni tishio kwao,wanatumia kila njia kummaliza zitto,hawawezi! Watz tunatambua umuhimu wa zitto,tuko nyuma yake na tuko tayari kupambana na dhuluma yoyote dhidi yake. Kinachomponza zitto ni umahiri wake na kingine zitto siyo MCHAGA wala si mkaskazini kama sera iliyonyuma ya pazia ya chadema inavyoelekeza. Kuna watu wanaotumiwa kumchafua zitto,zitto anatakiwa atambue kuwa kuna kundi kubwa sana linalomsupport kuliko hata hawa vikaragosi,wapuuze na endeleza mapambano dhidi ya huu udhalimu wa wachache! Sisi huku mkoa wa mara tunakukubali sana na tutaendesha kampeni kanda ya ziwa yote dhidi ya huu uonevu,wewe ni jembe!

:target:tumekusikia ndugu yangu! unao uhuru wa kutoa maoni yako ila bahati mbaya hujui unachoshabikia. mambo ya ndani na mipango ya chama cha mafisadi inayomhusu ZT huifahamu.
 
:target:tumekusikia ndugu yangu! unao uhuru wa kutoa maoni yako ila bahati mbaya hujui unachoshabikia. mambo ya ndani na mipango ya chama cha mafisadi inayomhusu ZT huifahamu.

mbona nusu nusu mkuu,funguka zaidi!
 
Zzk anaendesha siasa za msituni ambazo zimepitwa na wakati. Atoke hadharani aeleze kinachomtesa kuliko kuingia kwenye mitandao ya kijamii kwa majina lukuki mara tuntemeke, mara piriton! Jitokeze hadharani jitetee kama kweli ww ni jembe kama inavyodaiwa.
 
Zitto,huwezi kujisafisha wala huwezi kusafishika. Wewe ni kimbelembele,mlafi,mtaka yote na msaliti.
 
hili liko wazi kabisa kuwa mheshimiwa zitto zuberi kabwe ni jembe! Zitto ni mahiri kwa kujenga hoja na kusimamia anachokiamini tofauti na waropokaji akina wenje,jmnyika,msigwa,nassari,mbilinyi nk.wimbi linalozidi kumwandama zitto ni kutokana na uroho wa baadhi ya viongozi wa juu wa chadema ambao wanaona kuwa zitto ni tishio kwao,wanatumia kila njia kummaliza zitto,hawawezi! Watz tunatambua umuhimu wa zitto,tuko nyuma yake na tuko tayari kupambana na dhuluma yoyote dhidi yake. Kinachomponza zitto ni umahiri wake na kingine zitto siyo mchaga wala si mkaskazini kama sera iliyonyuma ya pazia ya chadema inavyoelekeza. Kuna watu wanaotumiwa kumchafua zitto,zitto anatakiwa atambue kuwa kuna kundi kubwa sana linalomsupport kuliko hata hawa vikaragosi,wapuuze na endeleza mapambano dhidi ya huu udhalimu wa wachache! Sisi huku mkoa wa mara tunakukubali sana na tutaendesha kampeni kanda ya ziwa yote dhidi ya huu uonevu,wewe ni jembe!


vita ya panzi furaha kwa magamba.... Hakuna cha Zitto wala cha nani hapa... wote ni makini na zadini ya makini... acha kuleta propaganda zako za magamba hapa...
 
Hakuna masalia ya zitto hapa,lazima ukweli uwekwe wazi! Lengo la chadema si kuwakomboa watz wote bali kuikomboa kanda ya kaskazini na hilo liko wazi.Baada ya kuona hakuna uwezekano wa kupata madaraka yajuu serikalini kupitia ccm,wakaskazini na hasa wachaga wakaamua kuja na huu mkakati,wengine mob psychology na njaa zao tu zilizowasumbua kujiunga chadema.most of tanzanians are not focussed,they are ready even for matangopori!

Umekula utumbo wa kuku, naona unawaza km kuku! Ngoja niende kusoma habari za Lema..chezea Dr slaa wewe haya ndio nakubali sasa ana kadi mbili enhe utamfanya nini kipenzi cha watanzania raisi wetu ajae! Unasema sisi watanzania we ar not focused..tuacheni sisi na mungu wetu bakini na waganga wenu
 
Ee Mungu baba nipe nguvu nisitukane leo maana najiandaa na Christmas. Sitaki kumsikia mshirikina hadi new year. Kwanza nimeanza kusherekea Christmas tangu jana baada ya kesi ya Lema kupata suluhu. Niko nje ila ninasherekea na nijasikia kama niko nyumbani. Nimeangalia haya mapokezi jamani ivi niyafananishe na mapokezi ya nani. Watu wanaonyesha hisia za ajabu ee Mungu ukombozi umetimia. Sasa Tanzania itaheshimika angalau huku nje maana hata hapa nje wanajua raisi wetu akipewa suti tuu kwisha habari wanyama na ardhi vinaakwenda
Hili liko wazi kabisa kuwa mheshimiwa zitto zuberi kabwe ni jembe! Zitto ni mahiri kwa kujenga hoja na kusimamia anachokiamini tofauti na waropokaji akina wenje,jmnyika,msigwa,nassari,mbilinyi nk.Wimbi linalozidi kumwandama zitto ni kutokana na uroho wa baadhi ya viongozi wa juu wa chadema ambao wanaona kuwa zitto ni tishio kwao,wanatumia kila njia kummaliza zitto,hawawezi! Watz tunatambua umuhimu wa zitto,tuko nyuma yake na tuko tayari kupambana na dhuluma yoyote dhidi yake. Kinachomponza zitto ni umahiri wake na kingine zitto siyo MCHAGA wala si mkaskazini kama sera iliyonyuma ya pazia ya chadema inavyoelekeza. Kuna watu wanaotumiwa kumchafua zitto,zitto anatakiwa atambue kuwa kuna kundi kubwa sana linalomsupport kuliko hata hawa vikaragosi,wapuuze na endeleza mapambano dhidi ya huu udhalimu wa wachache! Sisi huku mkoa wa mara tunakukubali sana na tutaendesha kampeni kanda ya ziwa yote dhidi ya huu uonevu,wewe ni jembe!
 
Nasema tena: Zitto bado ana fursa ya kukua ndani ya CDM na sijamdelete bado pamoja na yote hata.

Tatizo langu kubwa ni hawa wapambe, wanachefua sana. Hivi Zitto akiwa rais hawa si ndio watakuwa washauri wake???

Kama unaongelea ubora wa Zitto kuna ulazima gani wa kubomoa wengine?? Mnyika, Wenje, Sugu n.k wanaingiaje kwenye hoja ya umahiri wa ZK??

ZK talk to your boys: hakuna haja ya kukutetea acha hiki kimbunga kitulie then come out humbly na waeleze viongozi wenzio yote unayoyajua kisha kubali ushauri wao na maamuzi yao.....

Usifanye kosa la kutoshughulikia jambo hili maana linaweza kutulia lakini mark my words, litakuandama siku za usoni na wapinzani wako watalitumia kama kuna siku umetapata fursa ya kugombea uongozi wa juu iwe kwenye chama ama kwingineko....

you are a realman,umeitendea haki avator yako.aongee na vijana wake wamjenge sio kuwapaka wengine matope.
 
Last edited by a moderator:
hili liko wazi kabisa kuwa mheshimiwa zitto zuberi kabwe ni jembe! Zitto ni mahiri kwa kujenga hoja na kusimamia anachokiamini tofauti na waropokaji akina wenje,jmnyika,msigwa,nassari,mbilinyi nk.wimbi linalozidi kumwandama zitto ni kutokana na uroho wa baadhi ya viongozi wa juu wa chadema ambao wanaona kuwa zitto ni tishio kwao,wanatumia kila njia kummaliza zitto,hawawezi! Watz tunatambua umuhimu wa zitto,tuko nyuma yake na tuko tayari kupambana na dhuluma yoyote dhidi yake. Kinachomponza zitto ni umahiri wake na kingine zitto siyo mchaga wala si mkaskazini kama sera iliyonyuma ya pazia ya chadema inavyoelekeza. Kuna watu wanaotumiwa kumchafua zitto,zitto anatakiwa atambue kuwa kuna kundi kubwa sana linalomsupport kuliko hata hawa vikaragosi,wapuuze na endeleza mapambano dhidi ya huu udhalimu wa wachache! Sisi huku mkoa wa mara tunakukubali sana na tutaendesha kampeni kanda ya ziwa yote dhidi ya huu uonevu,wewe ni jembe!

acha uongo ww sema unamkubali ww mwenyewe usitake kuleta mbwela zako za uccm humu
umekosea njia nn hii taarifa kawapelekee magamba ndo wanamkubali zito na kwa vile damu
yako ni yakimagamba lazima umkubali mm mwenyewe natokea huko unakosema wanamkubali
mbona simkubali siasa zako za udini ukabila na ukanda usituleteee humu watz tulishaondoa
mtazamo wetu kwa zito ww ndo unatuletea humu soma nyakati jaribu kuendana na wakati
ur idea is too much classical u should change
 
Zitto,huwezi kujisafisha wala huwezi kusafishika. Wewe ni kimbelembele,mlafi,mtaka yote na msaliti.

ubaya wa zitto ni nini? Mbona hamko wazi? Au ndio bendera hufuata upepo nini.Tatizo nyie mnakaririshwa ndio maana hamna jipya zaidi ya matusi na upuuzi
 
Zitto anawanyima usingizi eeh,safi sana,mtakomaje
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom