Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,569
Kaanzishe uzi wako na uandike hayo!
Msaliti habadiliki kamwe!
Msaliti habadiliki kamwe!
mi nafikiri baada ya kumshambulia zzk mje na hoja ya utendaji wa mbunge mmoja mmoja wa chadema alivyotenda vyema ktk jimbo lake kumshinda zitto kabwe. Mapenzi yetu yasitufanye tuwe vipofu wa kuuona ukweli.