Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,055
- 6,777
Mimi siyo Ndemu ni demu uache tabia ya kumlazimisha mume wangu akuchape nao Kama ilivyokuwa USANihabarishe naongea na ndemu au shoga?
Chama
Gongo la mboto DSM
Mimi siyo Ndemu ni demu uache tabia ya kumlazimisha mume wangu akuchape nao Kama ilivyokuwa USANihabarishe naongea na ndemu au shoga?
Chama
Gongo la mboto DSM
Hana cha ujembe wowote zaidi ya uroho wa madaraka!
WABHEJASANA, Hebu onesha mambo ya mapenzi yametajwa wapi hapo, umerogwa macho?Una haki ya kutokumpenda kama ambavyo na yeye ana haki ya kumpenda na kutambua mchango wake.
Una haki ya kutokumpenda kama ambavyo na yeye ana haki ya kumpenda na kutambua mchango wake.
Hili liko wazi kabisa kuwa mheshimiwa zitto zuberi kabwe ni jembe! Zitto ni mahiri kwa kujenga hoja na kusimamia anachokiamini tofauti na waropokaji akina wenje,jmnyika,msigwa,nassari,mbilinyi nk.Wimbi linalozidi kumwandama zitto ni kutokana na uroho wa baadhi ya viongozi wa juu wa chadema ambao wanaona kuwa zitto ni tishio kwao,wanatumia kila njia kummaliza zitto,hawawezi! Watz tunatambua umuhimu wa zitto,tuko nyuma yake na tuko tayari kupambana na dhuluma yoyote dhidi yake. Kinachomponza zitto ni umahiri wake na kingine zitto siyo MCHAGA wala si mkaskazini kama sera iliyonyuma ya pazia ya chadema inavyoelekeza. Kuna watu wanaotumiwa kumchafua zitto,zitto anatakiwa atambue kuwa kuna kundi kubwa sana linalomsupport kuliko hata hawa vikaragosi,wapuuze na endeleza mapambano dhidi ya huu udhalimu wa wachache! Sisi huku mkoa wa mara tunakukubali sana na tutaendesha kampeni kanda ya ziwa yote dhidi ya huu uonevu,wewe ni jembe!
Hawa jamaa huwa wanatusumbua sana kuwaeleza kil akitu kw avile hawataki zoeza akili zao kuona mambo kw awepesi na usahihi. hawajui pia wachezaji kama akina boban wana ni hasara sana ktk taifa. huwa wantumia taifa zima kuwa mama na baba yao.Wakishakosa maadili au wakiamua yatupa maadili kuyaokota tena ni shida sana.mwishowe ndipo hukuta wakipotezea taifa hela kuwatibu addictio ya madawa, hasara za wao kusababisha hajali, matatizo yao kuwa role models wabaya, kubalack maila watu wengine etc.Zitto kapaoteza ahra resources muhimu kwa CDM na taifa kwa kupotoezea watu muda wakijadilina kuhusu ushenzi wake na kamikaze kind of games anazocheza.Juzi tuu mmemuona Ray C ikulu na raia kwa issue za madawa, anasema ahsante ya nini wakati hela laiyotumia na atakayopewa kama msaada kuanzia maisha haukustahili kwani ktk akiba yake alipaswa jilipia tabia alizozizianzisha. Hawa jamaa kwa positions walizozipata ktk taifa na kuzinajisi,hawastahili huruma ya wananchi hata kidogo, mwanangu asome ujinga kuhusu zitto, halafu kuna wehu wengine wanamlind akama vile wanamlinda responsible person ni aibu kwa taifa.Nicholas nimekugongea like na nimeku-quote maana umezungumza uhalisia wa jambo,nasisitiza Boban na Chuji wanajua mpira ni kweli hilo halina ubishi,lakini vile vijitabia vya ukaidi,kiburi,ujauaji na kujiona yeye ni yeye wala hakuna mwingine umesababisha kiwango chao kimeishia hapo na for sure hawana faida na vilabu vyao wala taifa sababu hiyo basi hata ZZK hana tofauti na kina boban,kweli ni jembe lakini jembe la aina yake kama mwanasiasa linapaswa liwe kwa manufaa ya watu na sio yake binafsi,vijtabia vyake hivyo hakika havina faida kwa chama na taifa kwa ujumla,maana adui mkubwa wa maisha magumu ya watanzania wengi ni CCM,leo unapokuwa jembe halafu jembe hilo linalima zaidi shamba lako(ZZK) halilimi shamba la watanzania nadhani halina faida tena.inanikumbusha Warid Aman Kaburu,napata mashaka na wanasiasa wa kutoka Kigoma,nadhani huyu mdogo wangu atakuja kuwa Kaburu II.Na nyinyi wapambe wake mtapotea mambo yakiharibika kila mtu atakwenda kivyake subirini muone,labda ajirekebishe.
jembe la kuzolea kinyesi?uroho wa madaraka ndo unawasumbua wa kigoma,hatari sana.
Mkuu Chama wa Gongo la mboto, nakuheshimu na kuthamini mawazo yako binafsi hata kama siyaafiki, huna sababu yoyote ya kunidharirisha kisa tofauti ya mitazamo yetu. Naamini huo sio utamaduni wa kisomi.Mkuu Ritz
Achana na pimbi na huyo anaishi mjini kwa kufadhiliwa; ana ID kama humu jamvini unamkumbuka Gwalihenzi?
Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu Chama wa Gongo la mboto, nakuheshimu na kuthamini mawazo yako binafsi hata kama siyaafiki, huna sababu yoyote ya kunidharirisha kisa tofauti ya mitazamo yetu. Naamini huo sio utamaduni wa kisomi.
Hili liko wazi kabisa kuwa mheshimiwa zitto zuberi kabwe ni jembe! Zitto ni mahiri kwa kujenga hoja na kusimamia anachokiamini tofauti na waropokaji akina wenje,jmnyika,msigwa,nassari,mbilinyi nk.Wimbi linalozidi kumwandama zitto ni kutokana na uroho wa baadhi ya viongozi wa juu wa chadema ambao wanaona kuwa zitto ni tishio kwao,wanatumia kila njia kummaliza zitto,hawawezi! Watz tunatambua umuhimu wa zitto,tuko nyuma yake na tuko tayari kupambana na dhuluma yoyote dhidi yake. Kinachomponza zitto ni umahiri wake na kingine zitto siyo MCHAGA wala si mkaskazini kama sera iliyonyuma ya pazia ya chadema inavyoelekeza. Kuna watu wanaotumiwa kumchafua zitto,zitto anatakiwa atambue kuwa kuna kundi kubwa sana linalomsupport kuliko hata hawa vikaragosi,wapuuze na endeleza mapambano dhidi ya huu udhalimu wa wachache! Sisi huku mkoa wa mara tunakukubali sana na tutaendesha kampeni kanda ya ziwa yote dhidi ya huu uonevu,wewe ni jembe!
Hapana Mkuu Ritz, msomi ni wewe tu!Kamanda hivi na wewe upo kwenye kundi la wasomi?
Mkuu wangu chama,
Naona leo umekuja mara ya pili na kauli yako ya kunituhumu kuwa mimini mwenyeji; kuna ninayemtumikia. Leo umekuja na kunihusisha na ID yangu ya 'kawaida iliyozoeleka'.
Unapotea sana. Naomba tu uweke rekodi sawa sawa. Nimekuwa nafuatilia siasa za Tanzania za mtandaoni nadhani tangu mwaka 2006. Enzi za Jambo Forum na enzi za Dar Hot Wire (kupitia DHB). Lakini tangu enzi hizo, hadi March Mwaka huu, sikuwahi kuwa MWANACHAMA wa forum hizi mbili. Zaidi nilikuwa GUEST.
Hivyo, unapotaka kunituhumu kwa mambo usiyokuwa na ushahidi nayo, unakosea sana. Labda pengine tuwasiliane zaidi na zaidi tufahamiane, halafu tuonane (kama kweli uko Gombs), halafu utapata mshtuko wa mwaka ukiniona. Umaarufu/kujulikana kwangu kunaishia mtaani kwetu tu hapa. Si hiyo kofia ya 'uenyeji' unayotaka kunipatia.
Wasalaam,
Mwanaume yeyote anayezungumzia mambo ya 6*6 kumhusu mwanaume mwenzake huyo ana matatizo na anahitaji msaada wa haraka. chama usione aibu kuomba msaada kwakuwa inaonekana wewe ni mdhaifu downstairs kwahiyo unawaonea wivu wenzako wanaoliungurumisha. Na mwanaume anayekubali mkewe kukwapuliwa naye ni mwanaume "suruali" kama wasemavyo vijana wa mjini, time yeyote naye anaweza kukwapuliwa.