Mmanu
JF-Expert Member
- Feb 11, 2015
- 1,686
- 921
Mzee tafuta eneo zuri nunua viwanja tu 2 kila kimoja 5m. Then subiri tu baada ya mwaka utauza zaidi ya mara 2!
Ardhi/viwanja Dar hupanda bei kila sikU!
Je kipindi anasubiria atakuwa anajipatia vipi pesa ya matumizi