Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

wekeza kwenyw usambazaji wa cement biashara haiharibiki na kwa jiji kama mbeya linajengeka sana ukihitaji dangote kuanzia mwakani tuwasiliane kwa bei nafusu kuliko cement zote Tanzania
 
wekeza kwenye vibiashara visivyo tumia fedha nyingi kwanza. Maxmum mtaji usiozidi laki 1. Ilikujenga ujuzi na akili za kibiashara. Ukiweza kukontol. Iyo laki moja ikazalisha zaidi ya iyo laki moja utakuwa mfanya biashara mkubwa kwa muda mchache sana. Mimi nakushauri anza na mtaji wa laki moja kwanza. Walau uwe unazalisha elf 10 - 20 kwa siku ili kujenga tabia za biashara anza na laki1 kadiri unavyokua unaongeza mtaji.

We acha masihara bwana! Mtaji wa laki moja uzalishe elfu kumi kwa siku!!!
 
wekeza kwenyw usambazaji wa cement biashara haiharibiki na kwa jiji kama mbeya linajengeka sana ukihitaji dangote kuanzia mwakani tuwasiliane kwa bei nafusu kuliko cement zote Tanzania

Kumbuka huyu kijana yupo Chuo na hii biashara ni kitu cha ziada....

Je tuseme nusu ya hio pesa anaweza kuagiza mzigo kiasi gani, ili inayobaki aweze kukodi chumba na storage yenye security ya kutosha na ili mzigo usiharibike ?, Pia kupata muuzaji na msimamizi muaminifu.

Kwenye kila mfuko anaweza kutoa kiasi gani faida ?

Na umeongelea usambazaji anakuwa anasambazia watu kwa transport ipi ?

Baada ya majibu hayo yote hapo juu bado unadhani hii ni biashara nzuri ya kufanya part time kwa mwanafunzi wa Chuo ?
 
Kumbuka huyu kijana yupo Chuo na hii biashara ni kitu cha ziada....

Je tuseme nusu ya hio pesa anaweza kuagiza mzigo kiasi gani, ili inayobaki aweze kukodi chumba na storage yenye security ya kutosha na ili mzigo usiharibike ?, Pia kupata muuzaji na msimamizi muaminifu.

Kwenye kila mfuko anaweza kutoa kiasi gani faida ?

Na umeongelea usambazaji anakuwa anasambazia watu kwa transport ipi ?

Baada ya majibu hayo yote hapo juu bado unadhani hii ni biashara nzuri ya kufanya part time kwa mwanafunzi wa Chuo ?

yeye anachukua mzigo anauza kwa hardware kubwa na hizi ndogo za mtaani hahitaji storage kuanzia anahitaji sehemu za kushushia mzigo anachukua chake anaagiza mwingine.

mimi wakati nasoma nalima huku nimeajiri vijana zaidi ya 12.

suala ni ratba unapangaje muda wako wa chuo na muda wa uwekezaji.

nimempa hiyo idea kwa sababu haiumizi kichwa vinahesabika kwa mfano sasa kuna cement za dangote zinaingia akiagiza mzigo say roli la tani 30 sema inabidi aongeze pesa kidogo anashusha sehemu trip moja anafunga laki 5 yake atafute hardware kama 6 kwa mwezi.

mimi nimeupata uwakala nitamletea mzigo
kumbuka dangote anaingia kwenye biashara na price ndogo the higher the demand.
 
Huyo aleyeshauri anunue shamba la miti namuunga mkono ukiitunza vizuri hutajuta baada ya miaka 5 hadi kumi utaitwa milionea
 
wekeza kwenye vibiashara visivyo tumia fedha nyingi kwanza. Maxmum mtaji usiozidi laki 1. Ilikujenga ujuzi na akili za kibiashara. Ukiweza kukontol. Iyo laki moja ikazalisha zaidi ya iyo laki moja utakuwa mfanya biashara mkubwa kwa muda mchache sana. Mimi nakushauri anza na mtaji wa laki moja kwanza. Walau uwe unazalisha elf 10 - 20 kwa siku ili kujenga tabia za biashara anza na laki1 kadiri unavyokua unaongeza mtaji.

laki moja ikikuzalishia hivyo watu wote tungekuwa mabilionea
 
habari wakuu,,nimejikusanya toka mwaka juzi sasa nina mpango wa kufanya biashara ambayo haitaathiri masomo yangu..karibuni
Swali hili ni ili kuwasaidia wanachuo wengine : Uliwezaje ku raise 4m ukiwa chuoni? Ni pesa ya boom ulikuwa unaserve (ambayo vijana wengi wanasema haitoshi) au ulikuwa na other sources?
 
Wekeza,
Kwa vile upo chuo buznes itakuwa ngumu kwako wewe nunua boxer mbili wape madogo kwa wiki wakulete Laki tano, au nunua bajaji au wekeza hata kwenye vilimo... Mbeya vilimo vipo mzuka au zilete hizo pesa kwangu nikupangie cha kufanya ...nizite dukani kama miezi mitatu nakurudishia kama lk tano
 
Biashara ipi Halali,toa mfano?
Kwa maeneo ya chuoni, bei ya jumla ya kalamu ni sh 4500, ambapo ukiuza sh 200 unapata sh 10000. Karatasi,zile ruled papers zinauzwa 3500, zinakuwa 400. Ukizibana sita sita ukauza sh 100 unapata 7000 kwa rimu moja. Nimetaja hivi kwani vinatoka kwa wingi chuoni. Ina maana ukichukua mzgo was laki unapata laki nyngne faida... Inawezekana kutajirika kihalal kabisa wakuu
 
Onana na kamati ya chuo uombe maombi ya Ku supply chakula chuoni hapo huku ukisoma. Ukiona huu ushauri hauingii akilini basi unaweza fungua salon karibu na chuo hapo ya kisasa ikiwa na sehemu mbili. Sehemu ya wanaume na sehemu ya wanawake. Hii itasaidia kufuatilia mapato yako kwa siku. Tofauti na hivyo nitumie nikutunzie hadi ukimaliza chuo.
 
Back
Top Bottom