Mtaa wa kwa Kindande Temeke visa vyake

Mtaa wa kwa Kindande Temeke visa vyake

dogo mmoja aliruka ukuta na kuingia chumbani kwa maza,dingi hakuwepo,akamshikia panga anataka mzigo,maza akampa,dingi alivyorudi akaambiwa na maza,dingi akatengeneza ndumba aliyompaka dogo na kumgonga,dogo akawa choko kiasi hatosheki na mtu mmoja,siku akakutana na jamaa ana mashine ya uhakika,utumbo ukatoka katika nje ndani..dogo akafa
Mikasa hiyo miaka ya 90 ilikua kawaida saana,ni bangi tu hamna lolote,baba kufanyiziana na mwanae kawaida tu.
 
Kuna mzee mmoja jirani yangu ni mwenyeji na mzaliwa wa hapo Kindande alifanya makosa alitamka hadharani hawezi kukabwa kesho yake saa kumi na moja anaenda sokoni kariakoo kuuza nyanya walimvunja mkono na kuchukua kila kitu..
Haahaa mzee anafanya nini pale,unawatamkia wahuni kuwa hawawezi kufanya kazi yao hahaa
 
Pale makaburini njia ya tandika,ndo palikuwa hapafai pale haahaa si mchana si jioni.....Lebanon ile ya zamani ilikuwa haifai
Mwaka 2012 - 14 nilikua nikiishi Tandika gordown, kuna kamtaa pale kuna wahaya wanajiuza, wanamlinzi mmasai, mm nilikua mida ya saa 2 usiku nikimipitisha wanakutongoza ukileta ubishi unaitiwa mmasai
 
Dar !!ni kubwa mkuu it's depending Unaishi sehemu gani '' Tabia kama hizo hauwezi kuzikuta sehemu kama mbezi Luis yote. .kimara. .tabata. Boko. .na sehemu nyingine zenye mfanano huo
Mikwecheni business au Mikwecheni kwa mwalimu Nyerere ni kutamu sana, Amani, yaani unarudi night ukiwa uko bwiiii na hakuna anaekuuliza, duh nakumbuka mbali sana aiseee
 
Nilikuwa natoka zangu kwa Aziz mida ya saa mbili mwaka jana mwezi wa 5 kuna kajamaa akajui kuwa kupita Lebanon unapita kama upepo kapo kana chat jamaa kakakaba kakapokonywa simu kakanifuata brother nisaidie nikamwambia kaangalie kama bado yupo walitoka kama kumi wamemshikia mapanga sikujua amepitia wapi..
Kuna ustadhi mmoja pale maeneo ya makaburi alikua anatoka Tandika anaelekea mtongani ebanaeee, alikua anamkoba wake, walimkaba so jamaa kumbe alikua mwingi, yule jamaa aliemkaba alipigwa kipepsi kimoja alipoteza faham hapohapo, walikuja kama 25 ivi wakamzunguka zilipigwa hapo jamaa anapingana hatari, kuna wakati walimpiga panga wakaanza kumzidi ila na yy kama vibaka 7 wako chini hawajiwezi wengine hawana meno, kibegi chake kikachukuliwa wakamzidi wakamkamata alafu kuna kibaka kibonge sana akajivuta kwa kwasi akapiga ile ya kumpoteza faham, kuna jamaa walikua wanashuhudia wakapiga kelele kwa yule ustadhi kuwa oyaaaaaa kimbia watakuuwa hao, jamaa ndio akakimbia huku hajiwezi DAMU mwilini, lakini yule jamaa sjui alikua akitumia madawa au majini, maana baada ya week 2 tu alianza kufa kibaka mmoja baada ya mwengine pale kitaa vibaka walikimbia kwa mda ikawa shwari sana
 
Mitaa hiyo unanikumbusha mbali sana enzi ,game uwanja wa tandika mabatini mateja kibao hapo zinacheza timu moja inaitwa weilas vs jumba

Ilikuwa balaa kipindi icho kwa kindande yote mpaka muembe madafu ni vurugu
Unazungumzi ule uwanja pembeni yake kuna gerej na maduka ya vifaa vya magari kama skosei au
 
Mimi ndo maana dar huwa siipendi kabisa!
Sio sehem zote mkuu, sehem nyingine nyingi tu ziko poa tu hakuna mambo ya kishenzi Kama hayo , mbaya zaidi ukiwa unaishi au unapenda kutembelea huko ushenzini hasa mida ya usiku ndo balaa kabisa
 
Duh --- Kuna jamaa yangu Alipanga area zile. .Yeye alikuwa Amepanga nyumba nzima. ..aliwahi kuni fuata sinza Kuna biashara tuliifanya akaniambia nikafuate pesa kwake. ..ndio ilikuwa Mara yangu ya kwanza kufika huko .....ila mpaka naondoka sikuwa nazijua sifa za huo mtaa
NYUMBA ZOOTE ZA TANDIKA ZINA MATOBO DIRISHANI
 
Kuna ustadhi mmoja pale maeneo ya makaburi alikua anatoka Tandika anaelekea mtongani ebanaeee, alikua anamkoba wake, walimkaba so jamaa kumbe alikua mwingi, yule jamaa aliemkaba alipigwa kipepsi kimoja alipoteza faham hapohapo, walikuja kama 25 ivi wakamzunguka zilipigwa hapo jamaa anapingana hatari, kuna wakati walimpiga panga wakaanza kumzidi ila na yy kama vibaka 7 wako chini hawajiwezi wengine hawana meno, kibegi chake kikachukuliwa wakamzidi wakamkamata alafu kuna kibaka kibonge sana akajivuta kwa kwasi akapiga ile ya kumpoteza faham, kuna jamaa walikua wanashuhudia wakapiga kelele kwa yule ustadhi kuwa oyaaaaaa kimbia watakuuwa hao, jamaa ndio akakimbia huku hajiwezi DAMU mwilini, lakini yule jamaa sjui alikua akitumia madawa au majini, maana baada ya week 2 tu alianza kufa kibaka mmoja baada ya mwengine pale kitaa vibaka walikimbia kwa mda ikawa shwari sana
Wanakawaida ya kupotea wakifanya msala mkubwa badae unaona mmoja mmoja anarudi hali ya zamani ina rudi
 
Mwaka 2012 - 14 nilikua nikiishi Tandika gordown, kuna kamtaa pale kuna wahaya wanajiuza, wanamlinzi mmasai, mm nilikua mida ya saa 2 usiku nikimipitisha wanakutongoza ukileta ubishi unaitiwa mmasai
Kwahyo mkuu ulikuwa unafanyaje haahaa
 
Mwaka 88 baada ya kupata kazi idara moja ya serikali nilipata chumba maeneo ya Manzese Midizini, wezi wote wa kwenye mitumba walikua wanakaa midizini. Nilikua nikirudi saa kumi sitoki ndani mpaka kesho yake kwa kuogopa vibaka. Siku moja kaja dogo mmoja kuniambia, shoferi usipende kukaa ndani kama dem. Njoo nikuyembeze. Basi nikatoka nae break ya kwanza kwenye banda la gongo. Enzi zile kituo cha polisi cha karibu ni urafiki. Basi nikaagiza kijeti kilipoisha nikaagiza cha pili. Wahuni walikunywa mpaka wakasema shoferi basi. Kuanzia hapo niliyembea Manzese yote mida yoyote bila kuulizwa na mtu. Ila wakikuomba kistaarabu kifanta au fegi wape tu. Nikaja kugundua kwamba kumbe hakuna mhuni ambae hana utu.

Hayupo mtu duniani ambaye hana anachokipenda! Sana sana utakuta kama nachukia watu wote na vitu vyote kabisa, basi angalau atakuwa anapenda kula kwa sababu ni lazima aishi. Kula lazima apende hata kama anaichukia hadi nafsi yake pia
 
Ukifika Temeke kuna mtaa unaitwa Mji mpya ndani yake kuna kamtaa korofi kanaitwa KINDANDE.
Kindande kuna maskani maarufu inaitwa Lebanon.
Huu mtaa kwa kindande ni mtaa ambao unaogopeka kupita bila taadhari kwa saa 24..Mambo yote maovu yapo hapo kuanzia wizi kukaba mchana umalaya uvutaji bangi ulio kubuhu.
Katika maisha yangu yote sijawai kuona wanawake wanavuta bangi kupita wanaume ni mewaona kwa Kindande.
Mabinti wa kwa Kindande wanatabia ya kukaa nje wakikuomba hela ukakataa kutoa hayo matusi yake ni balaaha.
Mabinti wa kwa Kindande wanaongoza kucheza vigodoro wakiwa uchi sometimes wanakodishwa kwenda kusasambua kwenye vigodoro vya majirani zao Mtongani,Tandika,Wailes, na Mbagala.
Hawa mabinti wana tabia ya kukodi boda boda usiku mishale ya saa 7 usiku na kuendelea wana tegesha sehemu za starehe ukijiroga ukampakia mkifika tu kwa Kindande kuna makaburi mitaa hiyo litakuja kundi litakupiga piki piki inaondoka.
Kwa Kindande ukimpenda demu ukichepuka kazi unayo utapigwa na kundi lake plus matusi juu hila yeye kuchepuka ruksa.
Wana maskani yao inaitwa Lebanon hiyo na polisi ni kufukuzana kila siku hapo unawapata madogo wa miaka 12 waliopinda wapiga bangi hatari.
Huku unakuta dogo naye ni baba vibinti vidogo navyo ni single mother.
Huu mtaa unaongoza kwa matusi kwa lika zote hakuna heshima kwa mkubwa wala mdogo.
Hiki kimtaa kimepakana na Tandika Kwa Aziz Ally Temeke mwisho na Mtoni mtongani.
Kama sio mtu wa vulugu usipange mtaa huu...
UB 7
Unemployment Benefit buku 7
Ukiwapa buku saba tu ni watu wema sana na watakusindikiza uendako ili vibaka wabaya wasikukabe.
 
Hao noma sana..Kuna mmoja alikuwa anaishi magomeni mtoto wa kiislamu ana tako balaa sasa nikamtongoza akakubali lakini alivyokuja geto kuvua anazingua lakini pesa anazipenda balaa...!! Mbele pameziba kabisaa alafu lina nguvu yani nikitaka kulibikiri ni ishu lakini likawa linataka linipe nyumaa.. Aisee nkaona hili balaaaa... na nyuma alikuwa analiwa
Mkuu nipe namba ya huyo demu pm🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom