Mtaa wa kwa Kindande Temeke visa vyake

Mtaa wa kwa Kindande Temeke visa vyake

Hahaha mwambie hakupe habari zake huyo jamaa yako
Duh --- Kuna jamaa yangu Alipanga area zile. .Yeye alikuwa Amepanga nyumba nzima. ..aliwahi kuni fuata sinza Kuna biashara tuliifanya akaniambia nikafuate pesa kwake. ..ndio ilikuwa Mara yangu ya kwanza kufika huko .....ila mpaka naondoka sikuwa nazijua sifa za huo mtaa
 
Kuna mzee mmoja jirani yangu ni mwenyeji na mzaliwa wa hapo Kindande alifanya makosa alitamka hadharani hawezi kukabwa kesho yake saa kumi na moja anaenda sokoni kariakoo kuuza nyanya walimvunja mkono na kuchukua kila kitu..
 
Kuna rafiki yangu mmoja Magereza aliwahi kuibiwa mwaka 2010, akanitaarifu tukakutana kama washkaji 15 hivi, unaambiwa wahuni wote walihama mtaa siku hiyo, maana tulitokea kwa Azizi Ali, kuingia tu maeneo yao wahuni wote walikimbia
Tuliwatembezea kichapo, wakizunguka mtaa wa pili tupo ni mwendo wa kichapo tu , ndani ya masaa mawili kila kona tukikatisha wao ni mwendo wa kukimbia




Wahuni sio watu
 
Wahuni sio watu
Kweli kabisa maana kwa kichapo tulichowatembezea sikutegemea kama wangeendelea kuiba tena. Maana tuliingia kwenye mitaa ile kininja, kama tunafanya jogging hivi, tulipitia njia ya kutokea Pile (Sahivi - Cadillac), baada ya kuingia tukasambaratika, hapo ndipo tukaanza kugawa kichapo mitaa yote ilikuwa shwari hadi kaburi moja kule juu kwenye madrasa.
 
Kisa kingine nilicho shuhudia jamaa alikuwa na demu wake nadhani hawa kuufahamu mtaa ulivyo wa ovyo wakamfuata wakamuoba Samsung jamaa kagoma walimchana kiganja
 
Hiyo mitaa ya kiume,zamani ilikua sokota veternary njaro bar mpk sokoni pale kati njia panda ya Tandika hivyo vimitaa vyote ukipita demu anakuomba bangi,powder anajua humpi bure mkifika chochoro ukimwambia "inama" sekunde tu unAJikuta uko mtaroni.
Ukimiminika ye ndo kwanza anakuacha hapo anarudi mtaani,
Hapo ndo ukivuka mtaa wa pili utafika kwa wahaya, ila haufiki ukikatiza border hili.
 
Hatariiii mweee!! Nimekulia Temeke wailes na Tandika.. duuh ila pamepoa sikuhizi siyo kama zamani ilikuwa balaa. Nakumbuka tupo wailes kuna group ilikuwa inapita na silaha na kupiga watu hovyo tunafungiwa ndani tulikuwa wadogo sana walikuwa wanajiita komando yosso. Yani wakipita hao tunafungiwa kabisaa nilikuwa mdogo sana. hata kumbukumbu nzuri sina.
 
azimio dogo mmoja alikua kibaka sugu,dingi akachoka na kesi,akavaa msuli ampe radhi,akabinuka kwamba 'mwanangu nakupa radhi,sina radhi nawe' dingi alikua hana kitu ndani,dogo akamwambia unataka kufirrwa,akatoa machine,dingi alitoka nduki mbaya




 
Hiyo mitaa ya kiume,zamani ilikua sokota veternary njaro bar mpk sokoni pale kati njia panda ya Tandika hivyo vimitaa vyote ukipita demu anakuomba bangi,powder anajua humpi bure mkifika chochoro ukimwambia "inama" sekunde tu unAJikuta uko mtaroni.
Ukimiminika ye ndo kwanza anakuacha hapo anarudi mtaani,
Hapo ndo ukivuka mtaa wa pili utafika kwa wahaya, ila haufiki ukikatiza border hili.
Aise
 
dogo mmoja aliruka ukuta na kuingia chumbani kwa maza,dingi hakuwepo,akamshikia panga anataka mzigo,maza akampa,dingi alivyorudi akaambiwa na maza,dingi akatengeneza ndumba aliyompaka dogo na kumgonga,dogo akawa choko kiasi hatosheki na mtu mmoja,siku akakutana na jamaa ana mashine ya uhakika,utumbo ukatoka katika nje ndani..dogo akafa
 
Duh! !!!
dogo mmoja aliruka ukuta na kuingia chumbani kwa maza,dingi hakuwepo,akamshikia panga anataka mzigo,maza akampa,dingi alivyorudi akaambiwa na maza,dingi akatengeneza ndumba aliyompaka dogo na kumgonga,dogo akawa choko kiasi hatosheki na mtu mmoja,siku akakutana na jamaa ana mashine ya uhakika,utumbo ukatoka katika nje ndani..dogo akafa
 
Hahaha mkuu hii sio chai hii! #? Hahaha Dah! !!!
Hii sio chai nimeshuhudia visa kama hivi sana mtoto ana mwambia mdingi ina nikupige miti hapo wanakuwa wamekorofishana kuna demu anaitwa shishi baby anatingisha mtaa mzima kwa kucheza uchi ajambo vigodoro vyote yupo
 
Back
Top Bottom