Ochumeraa
JF-Expert Member
- May 18, 2015
- 4,507
- 5,736
Kuna raha yake mkuu,kama hujaishi uswahilini kuna flavour Fulani hivi umeikosa.....Mimi kuishi maisha ya sehemu kama hizo nilisha shindwaga aise
Kuna raha yake mkuu,kama hujaishi uswahilini kuna flavour Fulani hivi umeikosa.....Mimi kuishi maisha ya sehemu kama hizo nilisha shindwaga aise
Kuna raha yake mkuu,kama hujaishi uswahilini kuna flavour Fulani hivi umeikosa.....
Pale makaburini njia ya tandika,ndo palikuwa hapafai pale haahaa si mchana si jioni.....Lebanon ile ya zamani ilikuwa haifai
Kuna mitaa ni korofi hila kwa ujumla dar hiko poaMimi ndo maana dar huwa siipendi kabisa!
Halafu ukizoea hayo maisha kuhama uwezi uswazi ina utamu wakeKuna raha yake mkuu,kama hujaishi uswahilini kuna flavour Fulani hivi umeikosa.....
Mkuu nimeshapata misukosuko mingi sana na huo mji tena mitaa tofauti tofauti ndo maana nimesema hivyo!!Kuna mitaa ni korofi hila kwa ujumla dar hiko poa
Yah mkuu,mfano hapo tulipokuwa tunakaa kuna mpangaji alikuwa kitombi kweli,sasa unakuta npo ukumbini kwenye meza napiga book jamaa kaingia na demu wake na nyumba haina selling body bas dem na ile miguno kitabu kinaaihirishwa,halafu jamaa anakuja kumalizia cha asubuh alfajili bado mpo kitandani hamjaamka mnasikia miguno daaah haahaa lile life aiseeHalafu ukizoea hayo maisha kuhama uwezi uswazi ina utamu wake
Usipo wapa ushirikiano uswazi utaiona ngumuMiaka ya 2004 niliwahi ishi maeneo ya Mwenge kijijini, karibu na Maryland Bar. Mitaa ile kulikuwa na mateja wakiniomba mia mbili mia mbili nawapa. Usiku nilikuwa nikirudi Home wanasema mwache afisa apite. Anayekuja nyuma yangu unasikia kelele za kumkaba!
Mitaa ya kombola ni kati ya sehemu ninazo zikubali sana ukitoka tu bar unaingia kanisani...Yah mkuu,mfano hapo tulipokuwa tunakaa kuna mpangaji alikuwa kitombi kweli,sasa unakuta npo ukumbini kwenye meza napiga book jamaa kaingia na demu wake na nyumba hauna selling body bas dem na ile miguno kitabu kinaaihirishwa,halafu jamaa anakuja kumalizia cha asubuh alfajili bado npo kitandani hamjaamka mnasikia miguno daaah haahaa lile life aisee
Ukijua kuish na wahun ni raha burdani hyo princple alinufundisha dingi yangu yaani alikuwa anawapa mizigo mateja na wanaleta mpaka home bila kuiba chochote na yoyote atakae iba home intllgnce ya Kwanza mateja na mzigo unarudMwaka 88 baada ya kupata kazi idara moja ya serikali nilipata chumba maeneo ya Manzese Midizini, wezi wote wa kwenye mitumba walikua wanakaa midizini. Nilikua nikirudi saa kumi sitoki ndani mpaka kesho yake kwa kuogopa vibaka. Siku moja kaja dogo mmoja kuniambia, shoferi usipende kukaa ndani kama dem. Njoo nikuyembeze. Basi nikatoka nae break ya kwanza kwenye banda la gongo. Enzi zile kituo cha polisi cha karibu ni urafiki. Basi nikaagiza kijeti kilipoisha nikaagiza cha pili. Wahuni walikunywa mpaka wakasema shoferi basi. Kuanzia hapo niliyembea Manzese yote mida yoyote bila kuulizwa na mtu. Ila wakikuomba kistaarabu kifanta au fegi wape tu. Nikaja kugundua kwamba kumbe hakuna mhuni ambae hana utu.
Pale kuna wahuni walikuwa wanajiita Iraq kama unawakumbuka,akina MsambatiMitaa ya kombola ni kati ya sehemu ninazo zikubali sana ukitoka tu bar unaingia kanisani...
Na wakumbuka sana hakina mpayage na heri ngwaya na marehemu chief pusha maarufu kombolaPale kuna wahuni walikuwa wanajiita Iraq kama unawakumbuka,akina Msambati