Mstaafu mmoja anarudi tena kazini, wengi mtashangaa

Mstaafu mmoja anarudi tena kazini, wengi mtashangaa

Kutoka kwenye korido za siasa huko teeth, Mstaafu mmoja aliyependwa sana awamu ya 5 tayari amedokezwa ajiandae kula kiapo siku chache zijazo kama Makamu wa Rais mpya.
Kwa huyo haiwezekani,kwani atakaye chaguliwa safari hii ni mtu tofauti sana.Samia mwenyewe alijichanganya tu,unampaje nchimbi umakamu wakati historia yake inajieleza waziwazi,umakamu unampa mtu mwenye low iq,mtu wa hewala bwana,mtu asiye na ambition yoyote ile,ni kuishi,kula na kusubiri amri ya Mungu
 
..Doto Biteko.

..alikuwa kafungiwa Kizimkazi hivi majuzi.
Hatuwezi kumpa Dotto aliyezaliwa mwaka 1978(48yrs) ni umri mdogo kwa majukumu hayo

Nchi itaingia gharama kumtunza hadi atakapofariki (pengine miaka 75/85 ama 98 ya Mzee Mwinyi).

Kwa maoni yangu, anapaswa apewe mtu ambaye umri umesogea sogea kidogo kuepusha hasara kwa Serikali
 
Hatuwezi kumpa Dotto aliyezaliwa mwaka 1978(48yrs) ni umri mdogo kwa majukumu hayo

Nchi itaingia gharama kumtunza hadi atakapofariki (pengine miaka 75/85 ama 98 ya Mzee Mwinyi).

Kwa maoni yangu, anapaswa apewe mtu ambaye umri umesogea sogea kidogo kuepusha hasara kwa Serikali

..hoja yako ni ya msingi.

..lakini nadhani wao wana malengo mengine.

..wanajali madaraka yao zaidi.
 
..hoja yako ni ya msingi.

..lakini nadhani wao wana malengo mengine.

..wanajali madaraka yao zaidi.
Basi wenzetu hawana nia njema kuisaidia Nchi

Unajua miaka ya karibuni Wage bill ya Serikali imekuwa kubwa mno

Bado wanataka kuipaisha zaidi, mwisho wa siku hela zote za makusanyo na Kodi zitakuwa zinatumika kulipana mishahara tu badala ya kufadhiri miradi ya maendeleo
 
Basi wenzetu hawana nia njema kuisaidia Nchi

Unajua miaka ya karibuni Wage bill ya Serikali imekuwa kubwa mno

Bado wanataka kuipaisha zaidi, mwisho wa siku hela zote za makusanyo na Kodi zitakuwa zinatumika kulipana mishahara tu badala ya kufadhiri miradi ya maendeleo

..wako kuchuma mali zaidi.

..na kulinda walizokwisha chuma.

..sasa hivi ni kama vile kuna serikali hii ambayo mimi na wewe tunaiona, halafu kuna nyingine juu yake ambayo hatuambiwi kwamba ipo.

..hiyo serikali kificho ndio inayofanya mambo mengi ambayo mimi na wewe tunaona hayana mantiki, lakini yanafanyika.

..kwa mfano utekaji. Mimi na wewe tunaamini serikali makini haiwezi kuruhusu jambo hilo. Lakini utekaji umedumu huu ni mwaka wa ngapi?

Cc Nguruvi3
 
Back
Top Bottom