Mstaafu mmoja anarudi tena kazini, wengi mtashangaa

Mstaafu mmoja anarudi tena kazini, wengi mtashangaa

Hatuwezi kumpa Dotto aliyezaliwa mwaka 1978(48yrs) ni umri mdogo kwa majukumu hayo

Nchi itaingia gharama kumtunza hadi atakapofariki (pengine miaka 75/85 ama 98 ya Mzee Mwinyi).

Kwa maoni yangu, anapaswa apewe mtu ambaye umri umesogea sogea kidogo kuepusha hasara kwa Serikali
Hivi mafao ya ustaafu ya Unaibu waziri Mkuu si anapata?
 
Kutoka kwenye korido za siasa huko teeth, Mstaafu mmoja aliyependwa sana awamu ya 5 tayari amedokezwa ajiandae kula kiapo siku chache zijazo kama Makamu wa Rais mpya.
Anawe sema ni mkali kupindukia huenda akawa na misimamo kama ya magu endapo akija kabidhiwa kamili.sema ni mchapa kazi kiutendaji anaweza weza
 
Back
Top Bottom