Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 680
- 2,335
Kutoka kwenye korido za siasa huko teeth, Mstaafu mmoja aliyependwa sana awamu ya 5 tayari amedokezwa ajiandae kula kiapo siku chache zijazo kama Makamu wa Rais mpya.
Hiyo yote ni mizigoJohn Mongella au Mwakyembe.
Hiyo yote ni mizigo
Kwanini Kikwete?.Katiba ingeruhusu wangemrudisha Mh. Jakaya
🤣🤣🤣Katiba ingeruhusu wangemrudisha Mh. Jakaya
Maisha sio kama sinema.sijui kwanini mabaya hayawakuti wabaya
Naunga mkonoNa ndio nia yake. Achague mtu ambaye atakaa pale kama pambo.
kazi yake pekee iwe kuzindua miradi. Na kutumwa akamuwakilishe Raisi.
Ni fedheha Makamu wako wawili wanaomba kujiuzulu ndan ya miaka 2.
Halafu chawa wake hawaoni kama ni tatizo kubwa hili🙆♂️🙆♂️🙆♂️Ni fedheha Makamu wako wawili wanaomba kujiuzulu ndan ya miaka 2.
lakini mi sijasema wafeMaisha sio kama sinema.
Kwamba watu wabaya lazima wakutane na mabaya na wafe.
Hahaha mwendo wa mikasi tu...Anatafutwa ngariba, kazi yake iwe kutembea na mkasi kuzindua miradi uchwara.