Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 753
Raia Mwema wakipata matangazo wayaweke tu kwenye gazeti lao, maana ni chanzo cha mapato. Ninachelea kusema kwamba wakati mwingine huwa najiuliza wanawezaje kuliendesha gazeti lile bila matangazo ya biashara. Kuna matangazo machache sana ambayo hayajitoshelezi kuendesha gazeti.
Kikubwa cha kuzingatia ni kuhakikisha makala zote zipo. Katika Raia Mwema linalolalamikiwa, sikuiona makala ya Joseph Mihangwa kitu ambacho kilinikwaza.
Kikubwa cha kuzingatia ni kuhakikisha makala zote zipo. Katika Raia Mwema linalolalamikiwa, sikuiona makala ya Joseph Mihangwa kitu ambacho kilinikwaza.