Msimjaribu Zitto, mtaumia!

Msimjaribu Zitto, mtaumia!

Na kama Magamba mnampenda Zitto kihivyo,

Msimamisheni kupitia CCM au mshaurini aanzishe chama ili mumfuate huko
 
Mimi siujui utaratibu wenu wala sina haja ya kuujuwa, mimi nafata kauli ya Zitto ya kutangaza nia ya kugombea Urais 2015 nadhani na yeye pia anaujuwa utaratibu ndio maana akaamuwa kutangaza nia, kama umesahau jikumbushe hapa.

Mkuu zomba inamaana ndani ya ccm wote wameoza hayupo mwenye unafuu,hadi ujitoe mhanga kwa zitto.? Una tofauti gani na Nappe anaeimba kwamba anauchungu na ccm huku hakanushi juu ya ccj pembeni.!
 
Mkuu zomba inamaana ndani ya ccm wote wameoza hayupo mwenye unafuu,hadi ujitoe mhanga kwa zitto.? Una tofauti gani na Nappe anaeimba kwamba anauchungu na ccm huku hakanushi juu ya ccj pembeni.!

Si hiyo sababu, mpaka sasa nafurahishwa na utendaji wa Zitto. Kumbuka, hata Kikwete alipigiwa na wengi wasio CCM.
 
Na kama Magamba mnampenda Zitto kihivyo,

Msimamisheni kupitia CCM au mshaurini aanzishe chama ili mumfuate huko

Nimeshajibu sana hii hoja. Zitto katangaza yeye mwenyewe nia ya kugombea Urais, si mimi wala si CCM waliotangaza. Na ukigombea Urais hautegemei chama chako tu kikupe kura, kuna wengi walimchagua pia Kikwete nao si CCM na wengine hawana vyama kabisa, ni muono wa kila mmoja wetu kwa kumchagua kiongozi anaeona anafaa kuongoza nchi.

Kuna uwezekano pia wa wagombea binafsi kugombea.
 
Nimeshajibu sana hii hoja. Zitto katangaza yeye mwenyewe nia ya kugombea Urais, si mimi wala si CCM waliotangaza. Na Urais wa vyama hautegemei chama chako tu kikupe kura, kuna wengi walimchagua pia Kikwete nai si CCM na wengine hawana vyama kabisa, ni muono wa kila mmoja wetu kwa Kiongozi anaeona anafaa kuongoza nchi.

Zitto atakuwa hajafikisha miaka 40 inayotakiwa kikatiba mwaka 2015

CDM wanafuata sheria iliyopo na hawatamsimamisha Zitto mwaka 2015 (unless katiba imebadilishwa).

SO

Kwa vile mafisadi wa magamba mmezoea wizi na kutojali sheria na katiba ya nchi,
basi, mpitisheni zitto agombee kwenye chama chenu cha majambazi (ccm)
 
Zitto atakuwa hajafikisha miaka 40 inayotakiwa kikatiba mwaka 2015

CDM wanafuata sheria iliyopo na hawatamsimamisha Zitto mwaka 2015 (unless katiba imebadilishwa).

SO

Kwa vile mafisadi wa magamba mmezoea wizi na kutojali sheria na katiba ya nchi,
basi, mpitisheni zitto agombee kwenye chama chenu cha majambazi (ccm)

Kwani ni sisi tuliotangaza nia ya Zitto kugombea au yeye mwenyewe? soma hapa: Maganga Media: ZITTO KUGOMBEA URAIS 2015
 
Zitto atakuwa hajafikisha miaka 40 inayotakiwa kikatiba mwaka 2015

CDM wanafuata sheria iliyopo na hawatamsimamisha Zitto mwaka 2015 (unless katiba imebadilishwa).

SO

Kwa vile mafisadi wa magamba mmezoea wizi na kutojali sheria na katiba ya nchi,
basi, mpitisheni zitto agombee kwenye chama chenu cha majambazi (ccm)

Kwani hujui kuwa kuna mchakato wa kupata katiba mpya? Vijana wote wanataka umri wa wagombea Urais uwe chini ya uliopo sasa, ikiwezekana miaka 28 tu poa.
 
Kwani hujui kuwa kuna mchakato wa kupata katiba mpya? Vijana wote wanataka umri wa wagombea Urais uwe chini ya uliopo sasa, ikiwezekana miaka 28 tu poa.

Kwa hiyo wewe na vijana magamba wenzako mmekwishajua tayari katiba mpya itakuwa na nini (kama kweli itakuwepo)?
 
Jamani huyu mleta uzi direct ni mwana CCM tena Gamba kweli, sioni sababu yakuendelea kumjibu coz ukitaka kujua hlo kasema "ungetaka apewe mnyika?", jamani huyu anadai anataka zitto apewe nafasi ya kugombea uraisi ili ampe kura yake, hivi hajui hata mimi natamani mama yangu au mimi mwenyewe nigombee nijipe kura yangu au mtu ninayempenda? Hayo ni mapenzi tu lakini ajue kura yake 1 haitampa mtu uraisi wala watu wakigoma wenyewe bila kushirikiana na watanzania wengine, kila mkoa ukiamua mtu wao ndiye asimamishwe zitakua ni fujo na hatutakaa tupate kiongozi. Zitto kama wanachama wengine anaruhusiwa kuchukua fomu yakugombea uraisi kama anavyovigezo vinavyotakiwa halafu kura ikaamua nani awe mgombea basi hakuna njia nyingine. Mimi mwenyewe kama nikihudhuria kupiga kura sitataka zitto awe mgombea wa uraisi ila wengi wakiamua atakua mgombea. Nilipanga kutokukujibu ila imenibidi. Punguza jazba kijana mdogo wewe angalia enzi za uzee wako usije ukawa mzee asiye na busara kwa mwendo hut.
 
Hujui kuwa katiba ipo katika mchakato wa kuandikwa upya? isitoshe, katiba si msahafu kuwa haiwezi kurekebishwa. Na yeye ameshatangaza nia au hajui kuhusu katiba? Soma hapa.

Mhe Zitto(zomba) jitokeze hadharan kwenye jambo leo useme haya unayoyasema humu jamvini kwani unajua watu hatukujui kuwa ww ni nani?! Be a guy mhe. Zitto unatuhaibisha makamanda wenzio.
 
Simsemei Zitto, wala sijawa msemaji wa Zitto. Usipoteze maana. Mimi hayo niliyoyaandika ni yangu kutokana na analysis zangu za wanasiasa wa chadema, anaenivutia huko mpaka sasa ni Zitto Kabwe.


Nakusikitikia Mheshimiwa, Simple mind discuss about people.
Very sory, elekeza mawazo yako kwenye issues na si watu hasa kwa majina yao.
 
Kwa hiyo wewe na vijana magamba wenzako mmekwishajua tayari katiba mpya itakuwa na nini (kama kweli itakuwepo)?

Tumuulize Zitto kwanza aliyetangaza nia ya kugombea Urais.

Mimi si kijana, mimi ni mzee (kijana wa zamani).
 
Nakusikitikia Mheshimiwa, Simple mind discuss about people.
Very sory, elekeza mawazo yako kwenye issues na si watu hasa kwa majina yao.

Issue iliyokuwepo ni Zitto kuwa na nia ya kugombea Urais 2015 na kuwatahadharisha chadema wasimjaribu, hapa simuongelei mtu na mambo yake binafsi bali ni mwana siasa na kioo cha jamii. Au chadema ni mtu fulani?

Great minds discuss ideas, and this is ideology.
 
Mhe Zitto(zomba) jitokeze hadharan kwenye jambo leo useme haya unayoyasema humu jamvini kwani unajua watu hatukujui kuwa ww ni nani?! Be a guy mhe. Zitto unatuhaibisha makamanda wenzio.

Zitto na Zomba ni vitu viwili tofauti. Uliza wanao wajua wote wawili watakusaidia humu jamvini, usipoteze watu.
 
Watu wengine bana etui wanaomba SOURCE wakati ni mawazo binafsi:becky:
 
Mhe Zitto(zomba) jitokeze hadharan kwenye jambo leo useme haya unayoyasema humu jamvini kwani unajua watu hatukujui kuwa ww ni nani?! Be a guy mhe. Zitto unatuhaibisha makamanda wenzio.

Hiki kiswahili siku hizi gumzo
 
Personalities over principles and policies, the plague of our politics.
 
Kinachonishangaza ni jinsi ambavyo oparesheni za CHADEMA zinavyobamba bila uwepo wa ZITTO..bandugu hii inamaanisha CDM ni zaidi ya kiongozi yoyote ndani yake..kosa kubwa ambalo CDM wakilifanya watajuta maishani mwao ni kutomsimamisha DR SLAA 2015 position ya URAIS..hili ndio chaguo halisi la wananchi..

huyo ndiye rais mioyoni mwa watanzania!
 
Mtu safi hahitaji kusafishwa ZITTO KABWE ni msafi hivyo hizo unazoleta hapa ni bla bla za kitaa tu.Sioni kama anahitaji hizo naamini nawe ni GAMBA kama MAGAMBA wengine wala hamtupi shida tumeshazoe
 
... tunataka Zitto agombee 2015 tumpe kura zetu, kumbuka, hatuwapi kura CHADEMA tutampa Zitto Kabwe, bila yeye sahauni kura za wengi.

Tunawatahadharisha CHADEMA wasimjaribu Zitto, wataumia kisiasa.


Naona unafanya juhudi za makusudi kuharibu sifa ya Zitto kama mtu wa watu wote (Watanzania) na kumpa taswira ya kidini. Unaonaje ukimshauri ajitoe CHADEMA hata asimame kama mgombea binafsi ili umpe kura yako kwa raha zote bila kukwaza na chama chake unachokichukia sana?
 
Back
Top Bottom