Nani Kasema
Senior Member
- May 31, 2011
- 148
- 27
Na kama Magamba mnampenda Zitto kihivyo,
Msimamisheni kupitia CCM au mshaurini aanzishe chama ili mumfuate huko
Msimamisheni kupitia CCM au mshaurini aanzishe chama ili mumfuate huko
Mimi siujui utaratibu wenu wala sina haja ya kuujuwa, mimi nafata kauli ya Zitto ya kutangaza nia ya kugombea Urais 2015 nadhani na yeye pia anaujuwa utaratibu ndio maana akaamuwa kutangaza nia, kama umesahau jikumbushe hapa.
Mkuu zomba inamaana ndani ya ccm wote wameoza hayupo mwenye unafuu,hadi ujitoe mhanga kwa zitto.? Una tofauti gani na Nappe anaeimba kwamba anauchungu na ccm huku hakanushi juu ya ccj pembeni.!
Na kama Magamba mnampenda Zitto kihivyo,
Msimamisheni kupitia CCM au mshaurini aanzishe chama ili mumfuate huko
Nimeshajibu sana hii hoja. Zitto katangaza yeye mwenyewe nia ya kugombea Urais, si mimi wala si CCM waliotangaza. Na Urais wa vyama hautegemei chama chako tu kikupe kura, kuna wengi walimchagua pia Kikwete nai si CCM na wengine hawana vyama kabisa, ni muono wa kila mmoja wetu kwa Kiongozi anaeona anafaa kuongoza nchi.
Zitto atakuwa hajafikisha miaka 40 inayotakiwa kikatiba mwaka 2015
CDM wanafuata sheria iliyopo na hawatamsimamisha Zitto mwaka 2015 (unless katiba imebadilishwa).
SO
Kwa vile mafisadi wa magamba mmezoea wizi na kutojali sheria na katiba ya nchi,
basi, mpitisheni zitto agombee kwenye chama chenu cha majambazi (ccm)
Zitto atakuwa hajafikisha miaka 40 inayotakiwa kikatiba mwaka 2015
CDM wanafuata sheria iliyopo na hawatamsimamisha Zitto mwaka 2015 (unless katiba imebadilishwa).
SO
Kwa vile mafisadi wa magamba mmezoea wizi na kutojali sheria na katiba ya nchi,
basi, mpitisheni zitto agombee kwenye chama chenu cha majambazi (ccm)
Kwani hujui kuwa kuna mchakato wa kupata katiba mpya? Vijana wote wanataka umri wa wagombea Urais uwe chini ya uliopo sasa, ikiwezekana miaka 28 tu poa.
Hujui kuwa katiba ipo katika mchakato wa kuandikwa upya? isitoshe, katiba si msahafu kuwa haiwezi kurekebishwa. Na yeye ameshatangaza nia au hajui kuhusu katiba? Soma hapa.
Simsemei Zitto, wala sijawa msemaji wa Zitto. Usipoteze maana. Mimi hayo niliyoyaandika ni yangu kutokana na analysis zangu za wanasiasa wa chadema, anaenivutia huko mpaka sasa ni Zitto Kabwe.
Nakusikitikia Mheshimiwa, Simple mind discuss about people.
Very sory, elekeza mawazo yako kwenye issues na si watu hasa kwa majina yao.
Mhe Zitto(zomba) jitokeze hadharan kwenye jambo leo useme haya unayoyasema humu jamvini kwani unajua watu hatukujui kuwa ww ni nani?! Be a guy mhe. Zitto unatuhaibisha makamanda wenzio.
Mhe Zitto(zomba) jitokeze hadharan kwenye jambo leo useme haya unayoyasema humu jamvini kwani unajua watu hatukujui kuwa ww ni nani?! Be a guy mhe. Zitto unatuhaibisha makamanda wenzio.
Kinachonishangaza ni jinsi ambavyo oparesheni za CHADEMA zinavyobamba bila uwepo wa ZITTO..bandugu hii inamaanisha CDM ni zaidi ya kiongozi yoyote ndani yake..kosa kubwa ambalo CDM wakilifanya watajuta maishani mwao ni kutomsimamisha DR SLAA 2015 position ya URAIS..hili ndio chaguo halisi la wananchi..
... tunataka Zitto agombee 2015 tumpe kura zetu, kumbuka, hatuwapi kura CHADEMA tutampa Zitto Kabwe, bila yeye sahauni kura za wengi.
Tunawatahadharisha CHADEMA wasimjaribu Zitto, wataumia kisiasa.