Msimjaribu Zitto, mtaumia!

Tunaongelea mwana siasa anaekubalika ndani na nje ya chadema. Na hizo ndi sifa za Urais, kwani ukisha kuwa Rais, wewe sio tena kwa ajili ya chadema au CCM tu, ushindi au ushindwa wako utawagusa wote. Chukulia mfano wa Urais kwa mwana siasa ni kama kuingia timu ya Taifa. Usitake kunambia kwa kuwa mimi Simba basi goli likifungwa na mchezaji wa Yanga nisishangilie.

Uwepo wa Rais mzuri anaekubalika na wote utategemea kura za wengi wasio wa chama cha mgombea pekee, kuna wengi hawana vyama na hutazama mtu wanaemuona anawafaa, sio chama.

pOOR SYSTEM AT WORK

Just a thought
 
basi tuachie sisi wanachama ndo tutakao-amua, we shabik baki wa zitto subir maamuz ya wenye chama, usiendeshwe na ushabik usio na tija, kila kitu kina utaratibu wake, hata sis chadema tuna utaratibu wetu wa kumpata mgombea urais, hatuongozw na mashabik wa wanasiasa fulan, tunaongozwa na katiba yetu!

Una uhakika katiba yenu ndio ilichaguwa wabunge wa upendeleo?
 
Umetumwa na zitto?...unalipwa sh ngapi mwenzako ni
usalama wa taifa unajua?......zitto kwanza sio chadema, unajua chama cha zitto kilicho kwenye damu ni kipi?.........unachezea zitto weye mwenzako yuko chadema robo ya ccm robo tatu unajua yote haya?...nikupe ushahidi?.....kwa taarifa yako hatumtaki zitto hata kidogo hebu mshauri aondoke uone....mbona kaahidiwa vyeo vingi tu na kikwete mbona hajaenda?...anajua akienda ndo atakuwa kapoteza na kapotea pi. Usijifanye wewe ni msemaji wa zitto yeye anjua akifanyacho kuliko wewe mganga njaa tu

Msimjaribu Zitto, mtaumia!
 
Toka zako, huna mpya. Zitto kama alivyo Shibuda ni mapandikizi ndani ya CDM, tofauti yao Zitto kasoma hivyo anafanya mambo yake ya kuhujumu CDM kisomi tofauti na kapuku Shibuda ambaye akiagizwa kitu anakurupuka tu huku kabana pua ili kujifanya mtu wa pwani, shame!! Kumbe inawauna Zitto kuenguliwa vikao muhimu vya maamuzi vya chama hivyo kukosa uzandiki wa kuwaletea. Huyo kishashitukiwa hana chake CDM, tamaa zinamponza.


Soma kichwa cha habari na post namba 1, hayo ndio nnayoyaongelea mimi.
 
Kuna kila njama zinazofanywa kwa makusudi kabisa, kupunguzia kasi Zitto Kabwe katika jukwaa la kisiasa. Njama hizo zinatokea kwa vigogo fulani wa CHADEMA, wanaomuona kuwa Zitto ni mwiba mkali.

Historia ya karibuni ilionesha kuwa Zitto alisakamwa sana alipotaka kugombea uenyekiti na baada ya kuzipangua hoja zote za kumuumiza kisiasa ndani ya CHADEMA akaambulia kupoozwa kwa kusukumiwa cheo cha unaibu Katibu Mkuu, cheo ambacho hakina manufaa yoyote kwa CHADEMA wala kwa Zitto. Ili kuponesha maumivu na kutibu majeraha ya kisiasa, Zitto akakikubali cheo hicho, lakini ukweli ni kwamba hakifanyii kazi yoyote.

Uthibitisho mwingine wa kumshusha kisiasa Zitto ni pale ambapo hajahudhuria vikao vya CHADEMA na Kikwete huko Ikulu, kuna mambo ya msingi ambayo Zitto amekuwa akitofautiana na viongozi wengine wa CHADEMA na hayo ndio yanamfanya ajaribiwe kushushwa hadi na kutokuwekwa kwenye maamuzi mengi ya chama na yeye hustukia tu maamuzi yameshafanywa. Na anapotoa misimamo yake huwa ina tofauti na ya chama chake, mifano ipo mingi.

Tunawaasa vigogo wa CHADEMA kuwa hata ndugu zetu wa Kigoma walipopiga kura za Ubunge zilikuwa ni kura za Zitto na si za CHADEMA, hilo walielewe. Kama ilivyo kwa kura za Shibuda, zilikuwa ni za Shibuda lakini si za CHADEMA hilo linajidhihiri kwa kuwa kura za Urais za Kigoma 90% zilikuwa za Kikwete hata kwenye jimbo la Zitto.

Aliposhindwa Mbowe uchaguzi mkuu wa 2005, 2010 akawekwa Slaa, tunataka Zitto agombee 2015 tumpe kura zetu, kumbuka, hatuwapi kura CHADEMA tutampa Zitto Kabwe, bila yeye sahauni kura za wengi.

Kati ya vitu asivyopendezwa navyo Zitto ni namna ya chaguzi za wabunge wa upendeleo zinavyoendeshwa kimabavu ndani ya CHADEMA.

Tunawatahadharisha CHADEMA wasimjaribu Zitto, wataumia kisiasa.

Aliposhindwa Mbowe uchaguzi
mkuu wa 2005, 2010 akawekwa Slaa,
tunataka Zitto agombee 2015 tumpe
kura zetu, kumbuka, hatuwapi kura
CHADEMA tutampa Zitto Kabwe, bila
yeye sahauni kura za wengi.



teh, teh, teh, teh
 
huzi hoja za zitto zinakela, hivi zito hawezi kuwa mwanachama wa cdm tu, mpaka uwe mwenyekiti?.. nadhani kwa nguvu hizo naona kuna haja ya kuhakikisha hatakishika cheo hicho ndani ya cdm, maana sasa naweza anza kuamini kuwa anaweza akawa msaliti kama rais wa mwisho wa iliyokuwa USSR
 
Bassaleh atupe darsa la uamsho tuchome makanisa na kupinga MoU japo sisi ndio tunaoongoza kwa kujifungulia Muheza Teule kwa kuwa tunazaa kila mwaka, uongo?

Enhee halafu nimekumbuka. Vipi ule mpango wetu wa kususia Sensa? Mimi nina usongo kweli wa kususa manake hatujafanya jambo la kijinga kitambo kweli.

Halafu nashauri tui-HACK Tanzania - Country Information manake inapotosha UMM'A. Inasema Vatican wapo 33% sisi (wanauamsho) ni 35% na makafir wengine ukiwajumlisha ni kama 13% hivi na waliobakia ni Wahindi na Masai. Sasa kwa nini hawakujumlisha za mapagani kwetu ili tuwe sawa kidini?

Mimi naona ule mpango wa kususia sensa uendelee

Mkuu nenda Jukwaa la Dini na hizo mada zako ndio panakufaa, jukwaa la siasa sio mahala pake...Msimjaribu Zitto Mtaumia.
 
Kuna kila njama zinazofanywa kwa makusudi kabisa, kupunguzia kasi Zitto Kabwe katika jukwaa la kisiasa. Njama hizo zinatokea kwa vigogo fulani wa CHADEMA, wanaomuona kuwa Zitto ni mwiba mkali.

Historia ya karibuni ilionesha kuwa Zitto alisakamwa sana alipotaka kugombea uenyekiti na baada ya kuzipangua hoja zote za kumuumiza kisiasa ndani ya CHADEMA akaambulia kupoozwa kwa kusukumiwa cheo cha unaibu Katibu Mkuu, cheo ambacho hakina manufaa yoyote kwa CHADEMA wala kwa Zitto. Ili kuponesha maumivu na kutibu majeraha ya kisiasa, Zitto akakikubali cheo hicho, lakini ukweli ni kwamba hakifanyii kazi yoyote.

Uthibitisho mwingine wa kumshusha kisiasa Zitto ni pale ambapo hajahudhuria vikao vya CHADEMA na Kikwete huko Ikulu, kuna mambo ya msingi ambayo Zitto amekuwa akitofautiana na viongozi wengine wa CHADEMA na hayo ndio yanamfanya ajaribiwe kushushwa hadi na kutokuwekwa kwenye maamuzi mengi ya chama na yeye hustukia tu maamuzi yameshafanywa. Na anapotoa misimamo yake huwa ina tofauti na ya chama chake, mifano ipo mingi.

Tunawaasa vigogo wa CHADEMA kuwa hata ndugu zetu wa Kigoma walipopiga kura za Ubunge zilikuwa ni kura za Zitto na si za CHADEMA, hilo walielewe. Kama ilivyo kwa kura za Shibuda, zilikuwa ni za Shibuda lakini si za CHADEMA hilo linajidhihiri kwa kuwa kura za Urais za Kigoma 90% zilikuwa za Kikwete hata kwenye jimbo la Zitto.

Aliposhindwa Mbowe uchaguzi mkuu wa 2005, 2010 akawekwa Slaa, tunataka Zitto agombee 2015 tumpe kura zetu, kumbuka, hatuwapi kura CHADEMA tutampa Zitto Kabwe, bila yeye sahauni kura za wengi.

Kati ya vitu asivyopendezwa navyo Zitto ni namna ya chaguzi za wabunge wa upendeleo zinavyoendeshwa kimabavu ndani ya CHADEMA.

Tunawatahadharisha CHADEMA wasimjaribu Zitto, wataumia kisiasa.

Amekutuma? nyie ndo tunawaita WACHAWI
 
huzi hoja za zitto zinakela, hivi zito hawezi kuwa mwanachama wa cdm tu, mpaka uwe mwenyekiti?.. nadhani kwa nguvu hizo naona kuna haja ya kuhakikisha hatakishika cheo hicho ndani ya cdm, maana sasa naweza anza kuamini kuwa anaweza akawa msaliti kama rais wa mwisho wa iliyokuwa USSR

Nani anasema Zitto lazima awe Mwenyekiti? jifunze kusoma nyuzi kwa umakini.
 
Hiyo ina maana wanaomkubali Zitto lakini si wanachama wa chadema, ambao ni wengi sana, mimi mmoja wao.

Pia wapo wengi sana wasiomtaka, mimi na rafiki zangu watano hapa ofisini petu ni miongoni. Tunampenda Zito, lakini siyo kwa nafasi ya Urais.
 
I thought my Swahili is naturally excellent ....anyway, as I graduate English I'll think to consider your advise and possibly take a polish Class for my Swahili

1) "as I graduate my English classes" would have been more appropriate.

2) "possibly take Swahili class to polish my Swahili" would have been more appropriate.
 
Though I am neither a member nor a fan of CHADEMA but I am suddenly a fan of Zitto Kabwe, if he runs for president and I am still alive, count my vote for him, if he continues the way he is now.

Zoba you continue proving that you're a very GAMBA at work!

If at all there will be a dependant or private candidate and Zitto register himself as one then you gonna vote for him! But not through CHADEMA. Zitto is too young to compete for a presidential post. CHADEMA and majority of Tanzanians knows how CCM are maneuvering to fool and cheat CHADEMA prominent politicians to distabilize CHADEMA. We know.

Let me warn CCM party that every move of you is being watched. Be informed that any slight foolish mistake to fool around with CHADEMA you gonna suffer the consequences.
 
Zoba you continue proving that you're a very GAMBA at work!

If at all there will be a dependant or private candidate and Zitto register himself as one then you gonna vote for him! But not through CHADEMA. Zitto is too young to compete for a presidential post. CHADEMA and majority of Tanzanians knows how CCM are maneuvering to fool and cheat CHADEMA prominent politicians to distabilize CHADEMA. We know.

Let me warn CCM party that every move of you is being watched. Be informed that any slight foolish mistake to fool around with CHADEMA you gonna suffer the consequences.

You are too shallow to be thinking in those terms.
 
Hii ya washabiki wa CCM kumfagilia Zito wa Chadema imeeleweka na haina mashiko tena
 
Kinachonishangaza ni jinsi ambavyo oparesheni za CHADEMA zinavyobamba bila uwepo wa ZITTO..bandugu hii inamaanisha CDM ni zaidi ya kiongozi yoyote ndani yake..kosa kubwa ambalo CDM wakilifanya watajuta maishani mwao ni kutomsimamisha DR SLAA 2015 position ya URAIS..hili ndio chaguo halisi la wananchi..
 
Back
Top Bottom