wewe ni zitto z kabwe nakushauri usubiri hadi 2025 utakuwa na hekima zaidi. tumwachie LOWASA kwanza
Ahahah! haha! haha hapo pekundu mkuu wangu umechapia wala sii kutoka rohoni na ndicho tunachoogopa wadanganyika. Zitto hazuiliwi na mtu yeyote kugombea wala nia yake haiwezi kupotea ikiwa ruksa kikatiba. Chadema kama chama walimshangaa tu Zitto kusema nia ile wakati anajua fika kwamba katiba hairuhusu na pia sii muda wake kujitamngaza.Sheria za kibinaadam hutungwa kwa nyakati zake, zamani darsa la kwanza watu wanaanza tayari washa balehe, imeshuka mpaka sasa hata miaka 5 wanaanza std 1.
Zamani ilikuwa inaaminika kila unavyokuwa ndio unakuwa na uwezo zaidi, siku hizi watafiti na wasomi wanaamini kuwa "productivity tends to fall with age" soma hapa: Age and productivity: Over 30 and over the hill | The Economist
Nadhani ni wakati muafaka wakati tunaelekea kwenye kutunga katiba mpya umri wa kugombea Urais nao upunguzwe ili tuwe na highly productive president. Wewe unaonaje.
Sina nia ya kuwachafua chadema, kwani Zitto ni yeye mwenye aliyetangaza nia ya kugombea Urais na mimi namkubali na ikiwa chama chake kitamptisha na niko hai basi nnamuahidi kura yangu.
Lakini chadema "msimjaribu, mtaumia".
Mimi naamini uwepo wa upinzani wowote wenye nguvu (chadema kwa sasa) ndiyo chachu ya maendeleo na usimamizi mzuri wa mali za Watanzania.
Mkuu mbona ishu ya zito ni nyepesi sana kama unaona ana umaarufu kuliko CDM basi mshauri awe mgombea binafsi ili umpe kura yako . Na kuhusu nani atagombea urais kwa tkt ya CDM ni vikao halali na wanachama wataamua .
source ni mimi mwenyewe.