zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,935
- Thread starter
- #221
zomba mshauri Zitto achukue fomu kama anataka kugombea na sababu zote ulizozitoa siyo sifaya kuwa mgombea Uraisi kwa sababu wengi wanazo........................we are looking for someone uniquely wise and free of official graft and Zitto's habds are full of filthy gunk.............................sijui nikumbushie barrick alikata ngapi pale..............sijui Tanesco kwenye Dowans alikatiwa ngapi...............the list is endless.................hakuna atakayempa bwana mdogo ugali na ikifikia huko bora wanamagamba waendelee tu kutesa........theyr are the devils we know............at least...........
Mimi si wa kumshauri Zitto achukuwe form, hiyo ni juu ya chadema na yeye mwenyewe.
Hivi kama kweli ana madudu yote hayo usemayo, bado mnamwacha tu? siamini mpaka uniwekee ushahidi wa kutosha na si kauli za humu kijiweni. Au ndio nikubali kuwa magamba ya ufisadi yanayojivuwa CCM yanadondokea chadema? Kwetu kuna operation vua gamba, kwenu kuna operation vua gamba vaa gwanda, sasa nimeelewa maana yake.