Wewe huna masharti kwani binti kituko yukoje na anafananaje
sura kama baba yake. ni wale mademu ambao enzi tupo chuo unamuelekeza chumba aje moja kwa moja.
in short sura yake mbaya mpake ni aibu kupita naye mbele ya watu!!
mbona huwa mnaitoa sasa humu!!!
Sifa za njiwa mbona huendani nazo?mie njiwa tena mweupe
masharti meeeengi afu unakuta binti mwenyewe kituko lol!!!!
kwa viwango vinavyojulikana.... mtu mwenyew unakuta hatoki nje bila make ups, mara kunyanyua boobs sana tu afu bado anakuwekea masarti hivi!!!
Vipi chini ni mnato kwanza?
Kwanza kabla ya kuwa na msimamo una quality hizo?
Kuna wengine anaweza kuwa na msimamo mdogo tu bia za TBL hanywi anataka Heineken au Savanna je una hizo quality za deiwaka aspend na wewe bila roho kumuuma?
Ndio narudi kwenye hoja yako sasa, uzoefu unaonesha beautiful woman wengi hawana complication kwa hiyo unapokuwa na mlolongo wa terms and conditions basi viendane na quality yako, siyo watu wanakesha hapa wengine kumbe ni Mbuta Nanga yupo online
Weka hata picha ya kucha basi! si masharti marefu km zindiko la utajiri kumbe binti mwenyewe Asha Ngedere afadhali, kicheko ka cha Bi Chau!?
Misimimamo lazima iwe sambamba na Neema za allah, sio unakuja una miguu imekomaa kama yangu af unaleta misimamo,
Mkuu hapo umesema jambo, utakuta mtu hoehae kila siku anachomwa na jua, na mvua yake...kifupi hajafikia viwango kabisaaaa, ni mtu ambae hutakuja maishani muwe na mahusiano yoyote ya karibu...
Unapokaa yeye hawezi kutia mguu, unapofanya manunuzi yeye hawezi kushop huko..halafu ndio wa kwanza kutoa masharti kwa watu.???
these minds kwakweli zilinipa picha fulani kuwa wanaume huangalia womans looks zaid ktk kudefine wife material, so to them haijalishi mwamamke ana tabia zipi as long as ni wazuri kwa vigezo walivyoviongelea its okey with them, na hii ni sababu kubwa iliyopelekea ndoa nyingi kuwa na migogoro mingi au kuvunjika kabisa, camooon men a 'wife' ni zaidi ya looks, ila pia nawashukuru Nyani Ngabu Kim nana Tized akohi Ngalikihinja Eli79 na wengine waliotoa michango yao iliyoonyesha ukomavu wa kifikra na kuonyesha wana uelewa wa hali ya juu juu ya haya masuala kwa ujumla, na wale mlotukana pia nashukuru kwani mmeonyesha ukomavu wenu(lol)
kwa kifupi hapo umeongelea wazee wa zamani na kizazi cha sasa.... mambo yamebadilika, tabia na maadili mostly ni kwenu, sa hizi kitu cha kwanza ni general look, watu hawataki kutembea na vituko... tutawatambulishaje kwenye bussiness meeting zetu, pale hawataulizia tabia, the way you look wao wataconclude....
changes are inevitable....
ndoa nyingi sana zinamatatizo siku hizi,kwasababu ya wanaume tunaangalia sana sura.hatuangalii tabia.
these minds kwakweli zilinipa picha fulani kuwa wanaume huangalia womans looks zaid ktk kudefine wife material, so to them haijalishi mwamamke ana tabia zipi as long as ni wazuri kwa vigezo walivyoviongelea its okey with them, na hii ni sababu kubwa iliyopelekea ndoa nyingi kuwa na migogoro mingi au kuvunjika kabisa, camooon men a 'wife' ni zaidi ya looks, ila pia nawashukuru Nyani Ngabu Kim nana Tized akohi Ngalikihinja Eli79 na wengine waliotoa michango yao iliyoonyesha ukomavu wa kifikra na kuonyesha wana uelewa wa hali ya juu juu ya haya masuala kwa ujumla, na wale mlotukana pia nashukuru kwani mmeonyesha ukomavu wenu(lol)
Thats LOVE Kalu20!!! Umeniqute ila unanirefer kama dada.. na mvi zote izo jamani!!!
Watu wanaongozwa na ubinafsi sana na kujiangalia wenyewe. Wewe fikiria mtu mmependana, mnaaminiana, mnaishi na kulala pamoja, unatoa wapi ujasiri wa kuwa mbinafsi kiasi hiko? SISEMI kwamba mwanaume asichukue majukumu yake yoote ya msingi... Lakini naogopa sana huu ujasiri wa kujibinafsi hivi unakotoka, ni kwa sababu mtu hataki kuihudumia kwa chochote familia yake na mumewe (hata akute tunda zuri njiani amwambie mumewe amtumie pesa ili anunue? NOT FAIR
Ninamfahamu mtu mmoja yeye kaishia la saba, mke wake alikuaga mwalimu wa primary, Jamaa kamsomesha mkewe nadi kamaliza Masters pale UDSM, kaajiriwa noi mkurugenzi wa nini sijui huko... Japo mumewe anajiweza na anaihudumia vizuri familia akiwemo na mkewe.... Huyo mwanamke ndio hata iweje hawezi kutoa senti tano yake hapo nyumbani.. kila kitu KAMWAMBIENI BABA YENU ofcourse ni sawa lakini inaingia akilini kweli?????// siku itokee atumie hela yake ni malalamiko wiki nzima... yeye yupo busy sana na marafiki na investments zake au kujionesha kuwa anazo... sasa hizo ni akini? huo ni umoja? Ni nini faida ya yeye kusoma na kwenda kazini with respect to Yeye na familia?
Hatupaswi kuwategemea ninyi kwa lolote ila OMBENI sana HEKIMA juu ya kazi na vipato vyenu... vinginevyo ubinafsi wenu ndio metego wenu.