Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,091
- 136,646
basi hatuelewani
Jiongelee mwenyewe.....labda we ndo hunielewi.
basi hatuelewani
Na utajiowa mwenyewe
mokoyo nmekumissebu picha ya miguu tu
hahaaa!! ucjali nitakucndikiza
nipende mara ngapi?
inahusiana nini na mada!!! kila mtu ana micmamo yake
masharti meeeengi afu unakuta binti mwenyewe kituko lol!!!!
acha ubahiri
Ndio narudi kwenye hoja yako sasa, uzoefu unaonesha beautiful woman wengi hawana complication kwa hiyo unapokuwa na mlolongo wa terms and conditions basi viendane na quality yako, siyo watu wanakesha hapa wengine kumbe ni Mbuta Nanga yupo online
Hapo sasa!
Ndo maana nasema hii misimamo ya kufikirika ni ya changamsha jamvi tu kwa sababu kiuhalisia ukiwa na misimamo kama hiyo hutakuwa na mahusiano mazuri na watu kwa ujumla achilia mbali mahusiano ya kimapenzi.
Tabia za 'umimi' ni recipe ya maafa kwenye mahusiano.
kila nikitafuta wimbo wa kukudediketia sipati......
Ndio narudi kwenye hoja yako sasa, uzoefu unaonesha beautiful woman wengi hawana complication kwa hiyo unapokuwa na mlolongo wa terms and conditions basi viendane na quality yako, siyo watu wanakesha hapa wengine kumbe ni Mbuta Nanga yupo online
mbuta nanga huyu huyu wa london? teh teh umenikumbusha leo kavaa chupi imeandikwa "I LOVE YOU EZDEN" yule mdada amechizika wallah.