Msimamo wangu

Msimamo wangu

Thats LOVE Kalu20!!! Umeniqute ila unanirefer kama dada.. na mvi zote izo jamani!!!

Watu wanaongozwa na ubinafsi sana na kujiangalia wenyewe. Wewe fikiria mtu mmependana, mnaaminiana, mnaishi na kulala pamoja, unatoa wapi ujasiri wa kuwa mbinafsi kiasi hiko? SISEMI kwamba mwanaume asichukue majukumu yake yoote ya msingi... Lakini naogopa sana huu ujasiri wa kujibinafsi hivi unakotoka, ni kwa sababu mtu hataki kuihudumia kwa chochote familia yake na mumewe (hata akute tunda zuri njiani amwambie mumewe amtumie pesa ili anunue? NOT FAIR

Ninamfahamu mtu mmoja yeye kaishia la saba, mke wake alikuaga mwalimu wa primary, Jamaa kamsomesha mkewe nadi kamaliza Masters pale UDSM, kaajiriwa noi mkurugenzi wa nini sijui huko... Japo mumewe anajiweza na anaihudumia vizuri familia akiwemo na mkewe.... Huyo mwanamke ndio hata iweje hawezi kutoa senti tano yake hapo nyumbani.. kila kitu KAMWAMBIENI BABA YENU ofcourse ni sawa lakini inaingia akilini kweli?????// siku itokee atumie hela yake ni malalamiko wiki nzima... yeye yupo busy sana na marafiki na investments zake au kujionesha kuwa anazo... sasa hizo ni akini? huo ni umoja? Ni nini faida ya yeye kusoma na kwenda kazini with respect to Yeye na familia?

Hatupaswi kuwategemea ninyi kwa lolote ila OMBENI sana HEKIMA juu ya kazi na vipato vyenu... vinginevyo ubinafsi wenu ndio metego wenu.
Pole saaana dada!
Kwanza inaoneka hujawah enjoy kitu kinaitwa penzi kwan hapo kwenye penz inafika wkt brain inakaa off automatic na unatoa mwenyewe bila shinikizo!
Pili, nnakwambia mwanaadamu mwenye damu na nyama hawezi kuweka kiapo cha mapnz na kika kaa kabisaa!!!!
Nimewaona wengi!!!!
Tafuta na unapopendwa kwani usipopendwa..........................
 
Last edited by a moderator:
Thats LOVE Kalu20!!! Umeniqute ila unanirefer kama dada.. na mvi zote izo jamani!!!

Watu wanaongozwa na ubinafsi sana na kujiangalia wenyewe. Wewe fikiria mtu mmependana, mnaaminiana, mnaishi na kulala pamoja, unatoa wapi ujasiri wa kuwa mbinafsi kiasi hiko? SISEMI kwamba mwanaume asichukue majukumu yake yoote ya msingi... Lakini naogopa sana huu ujasiri wa kujibinafsi hivi unakotoka, ni kwa sababu mtu hataki kuihudumia kwa chochote familia yake na mumewe (hata akute tunda zuri njiani amwambie mumewe amtumie pesa ili anunue? NOT FAIR

Ninamfahamu mtu mmoja yeye kaishia la saba, mke wake alikuaga mwalimu wa primary, Jamaa kamsomesha mkewe nadi kamaliza Masters pale UDSM, kaajiriwa noi mkurugenzi wa nini sijui huko... Japo mumewe anajiweza na anaihudumia vizuri familia akiwemo na mkewe.... Huyo mwanamke ndio hata iweje hawezi kutoa senti tano yake hapo nyumbani.. kila kitu KAMWAMBIENI BABA YENU ofcourse ni sawa lakini inaingia akilini kweli?????// siku itokee atumie hela yake ni malalamiko wiki nzima... yeye yupo busy sana na marafiki na investments zake au kujionesha kuwa anazo... sasa hizo ni akini? huo ni umoja? Ni nini faida ya yeye kusoma na kwenda kazini with respect to Yeye na familia?

Hatupaswi kuwategemea ninyi kwa lolote ila OMBENI sana HEKIMA juu ya kazi na vipato vyenu... vinginevyo ubinafsi wenu ndio metego wenu.


changu changu chake chetu, so kwenye chake hapo umoja upo wa hali ya juu
 
Last edited by a moderator:
Ni nini kinachokusukuma kufikiri na kuamua hivyo? Hapo ndipo kiu yangu ilipo wala sio swala la kushare. Tunajua familia ni Jukumu la mwanaume.
changu changu chake chetu, so kwenye chake hapo umoja upo wa hali ya juu
 
cku nyingi sanaaaa na bado upo

Je, kuna sababu inayokusukuma kuwa na msimamo huu?
..yaweza kuwa malezi, baba na mama waliishi hivyo kwa hiyo na wewe unataka kuishi kama wao?
..yaweza kuwa uliumizwa na mmoja kati ya maex wako katika swala la finance?
 
hata awe na utaalamu vipi, haongwi ng'ooo!

we mwepes tu.huna ugumu wowote tena unakubal kumegwa alaf ndo usitoe mshiko?kam umekubali kutowa chamwilin ushindwe pesa?
 
Atoto labda nikukumbushe pindi unakuwa japo nahakika bado ni mdogo tu anyhow kulingana na wishes zako.

Kipindi cha utotoni kila mtu huwa akiulizwa ynataka kuwa nani baada ya kumaliza shule, wengi hujibu daktari, rubani, mwalim n.k lakin hata mimi binafsi niliyetamani kuwa daktari leo hii nimejikuta mjasiliamali hahahaha, so always nature inatake charge nothing you can do,

Ushauri wangu kwako ni kuachana na misimamo ambayo haina tija kwako na kwa atakae kuoa maana kila mtu angeweka mashart ya namna hiyo basi zaid ya 90% za ndoa zingevunjika including ya wazazi wako, otherwise best of lucky!!!

aisee nimependa busara zako...
 
ha ha ha ha kwa familia za kitz haya hayatawezekana

na kama yakiwezekana bsi mtakuwa familia ya pekee kwa maana ndgu zako hawatakuelewa(selfshness) na mumeo hatafurahia ndoa yake
 
Back
Top Bottom