D2050
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 1,958
- 1,190
ninafaidi hatari na pesa ctoi ng'ooo!!
We hujapata mtaaluma mzuri,lazima uhonge
ninafaidi hatari na pesa ctoi ng'ooo!!
changu changu, chake chetu
Pole saaana dada!
Kwanza inaoneka hujawah enjoy kitu kinaitwa penzi kwan hapo kwenye penz inafika wkt brain inakaa off automatic na unatoa mwenyewe bila shinikizo!
Pili, nnakwambia mwanaadamu mwenye damu na nyama hawezi kuweka kiapo cha mapnz na kika kaa kabisaa!!!!
Nimewaona wengi!!!!
Tafuta na unapopendwa kwani usipopendwa..........................
Thats LOVE Kalu20!!! Umeniqute ila unanirefer kama dada.. na mvi zote izo jamani!!!
Watu wanaongozwa na ubinafsi sana na kujiangalia wenyewe. Wewe fikiria mtu mmependana, mnaaminiana, mnaishi na kulala pamoja, unatoa wapi ujasiri wa kuwa mbinafsi kiasi hiko? SISEMI kwamba mwanaume asichukue majukumu yake yoote ya msingi... Lakini naogopa sana huu ujasiri wa kujibinafsi hivi unakotoka, ni kwa sababu mtu hataki kuihudumia kwa chochote familia yake na mumewe (hata akute tunda zuri njiani amwambie mumewe amtumie pesa ili anunue? NOT FAIR
Ninamfahamu mtu mmoja yeye kaishia la saba, mke wake alikuaga mwalimu wa primary, Jamaa kamsomesha mkewe nadi kamaliza Masters pale UDSM, kaajiriwa noi mkurugenzi wa nini sijui huko... Japo mumewe anajiweza na anaihudumia vizuri familia akiwemo na mkewe.... Huyo mwanamke ndio hata iweje hawezi kutoa senti tano yake hapo nyumbani.. kila kitu KAMWAMBIENI BABA YENU ofcourse ni sawa lakini inaingia akilini kweli?????// siku itokee atumie hela yake ni malalamiko wiki nzima... yeye yupo busy sana na marafiki na investments zake au kujionesha kuwa anazo... sasa hizo ni akini? huo ni umoja? Ni nini faida ya yeye kusoma na kwenda kazini with respect to Yeye na familia?
Hatupaswi kuwategemea ninyi kwa lolote ila OMBENI sana HEKIMA juu ya kazi na vipato vyenu... vinginevyo ubinafsi wenu ndio metego wenu.
changu changu chake chetu, so kwenye chake hapo umoja upo wa hali ya juu
cku nyingi sanaaaa na bado upo
hata awe na utaalamu vipi, haongwi ng'ooo!
Mungu atuepushe na wanawake kama hawa.
Kibinti cha mwenzio ni kibinti chako au mtoto wa mwenzio no wako pia
Atoto labda nikukumbushe pindi unakuwa japo nahakika bado ni mdogo tu anyhow kulingana na wishes zako.
Kipindi cha utotoni kila mtu huwa akiulizwa ynataka kuwa nani baada ya kumaliza shule, wengi hujibu daktari, rubani, mwalim n.k lakin hata mimi binafsi niliyetamani kuwa daktari leo hii nimejikuta mjasiliamali hahahaha, so always nature inatake charge nothing you can do,
Ushauri wangu kwako ni kuachana na misimamo ambayo haina tija kwako na kwa atakae kuoa maana kila mtu angeweka mashart ya namna hiyo basi zaid ya 90% za ndoa zingevunjika including ya wazazi wako, otherwise best of lucky!!!