Msimamo wangu

Msimamo wangu

Atoto ni kweli mwanaume akijipendekeza fanya yako akikupa pesa na kaukimwi safi yaani we mwendo mdundo
 
Atoto ni kweli mwanaume akijipendekeza fanya yako akikupa pesa na kaukimwi safi yaani we mwendo mdundo

umenifanya nicheke kwa nguvu!!! haya bwana hiyo inaitwa ajali kazini, bora hiyo kuliko ile umetuliaaa kwenye ndoa na unajitoa kweli alafu mume anakuletea
 
so wewe umeolewa?na umeolewa na mkurya?na unampandia kichwani kama unavyojielezea hapa?huyo ni mkurya feki sio original

Hawa wanajitutumua tu huwa wanakaa ivi na vimsimamo vyao vizuri then akifikia40 years ndio anaanza kuhaha kusaka ndoa, mwishowe wanaolewa na Serengeti boys wanaishia kuwaonga simu, GARI, na urithi wote!! Wana stress hao, utawaonea huruma!!
 
Hawa ndo wanalegeaga mpaka huluma ha ha ha

Iyo ni baada ya miaka kwenda akajiona mpweke...hats mume wake anawahi kwa akina zawadi, anakuta wali Nazi, juice ya baridiiii, mtoto ananukia UDI na marashi ya pwani, then uyu anakuja kulala oooh mume wangu ana mchepuko, sababu no izi izi!!
 
kwani wakurya wana nn jamani mbona huwa wanaogopwa hivyo!!

Haujui wanakula mzigo, wanakula hela yako na daily wanakulamba vibao...wale hawana kuendekeza , ni watani wangu nawaelewa vizuri!!
 
haha ni vyema umesema yaliyo moyoni mwako hata wakija wanakuwa na tahadhari
 
Hawa wanajitutumua tu huwa wanakaa ivi na vimsimamo vyao vizuri then akifikia40 years ndio anaanza kuhaha kusaka ndoa, mwishowe wanaolewa na Serengeti boys wanaishia kuwaonga simu, GARI, na urithi wote!! Wana stress hao, utawaonea huruma!!


usiniambie bwana kumbe!!!! kwahiyo wewe umehonga mpaka urithi!! aiseee hongera sn huo nao ni ujasiri
 
Iyo ni baada ya miaka kwenda akajiona mpweke...hats mume wake anawahi kwa akina zawadi, anakuta wali Nazi, juice ya baridiiii, mtoto ananukia UDI na marashi ya pwani, then uyu anakuja kulala oooh mume wangu ana mchepuko, sababu no izi izi!!


sasa kwanini uje kulalamika huku si nawewe ungejifukizia huo udi unukie tu!
 
Haujui wanakula mzigo, wanakula hela yako na daily wanakulamba vibao...wale hawana kuendekeza , ni watani wangu nawaelewa vizuri!!


vibao tena ndio mapenzi gani hayo!!! basi nitawaepuka kwa juhudi zote
 
Marioo hawaoagi masikini/kuwa mtoto wa mama sio kosa kwasababu wewe hujazaliwa na bibi yako.

My take


usilete maneno mengiii kujitia ujuaji wakat umeelewa kabisaaa, alafu marioo wanaolewa hawaoi, (hutaki unapita vileeee)
 
Back
Top Bottom