tabibumtaratibu
JF-Expert Member
- May 29, 2011
- 2,414
- 1,216
kila nikitafuta wimbo wa kukudediketia sipati......
Hujapata anaejua MAPENZI, utashangaa unabomoa ''kibubu'' chako na kilichomo unamkabidhi. Nakukumbusha wimbo wa Bi Kidude.
''Mhogo wa Jang'ombee, utaulamba mwiko usitukane wakunga na uzazi ungalipo.''
Kituko kw viwango vya nani?
utakuwa sio mzima.. all in all hiyo tabia utakuwa umeirithi kwa mama ako, ukatili aliokuwa anamfanyia babaako
yaani nibomoe kibubu kwa wewe kutimiza majukumu yako!!! never
Wa hivi ni kumtia mimba ya kushitukiza tu, hiyo misimamo yote kwisha habari yake
akisema cha nini wenzie wanauliza watakipata lini, kila mtu na mtuwe
Mimba itaingia bila wewe kujijua hata kwa njia ya haja kubwa itaingia full stop!mimba kitu gani wew huwa mnawakomesha watoto wadogo lakin kwa anaejijua mwenyew hawezi kupata mimba ya kushtukiza hata siku moja
Kwa hali hii utagegedwaaaa mpaka basi.
Mimba itaingia bila wewe kujijua hata kwa njia ya haja kubwa itaingia full stop!
Kwa hali hii utagegedwaaaa mpaka basi.