Msimamo wangu

Msimamo wangu

Your life your rules. Hao wanaosema misimamo ya kipumbavu kwani ni misimamo ipi iliyo maandiko hata kila mtu aifuate???
Aghaaaa!!!

tell them my dear, hiyo wanayotoa ni yao n km walishindwa kuwa na micmamo au kutekeleza micmamo yao pia niwao, kushindwa kwao co kushindwa kwangu
 
Mtaani kuna vichaa wakosekane humu jf, haiwezekani hata siku mmoja,
kila kwenye watu wengi kuna vichaa kwa mfano hili, sijui lilisoma chuo ngani?
 
MSIMAMO WANGU

1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea.

2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi.

3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa.

4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau, imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide.

5. Ni marufuku mambo ya joints a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine sitaki.

6. Pesa zangu ni zangu ata password cmpi, bora nimpe Mama angu ata nikifa ajifutie nazo machozi.

7. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa ake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa.

8. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo.

9. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu, narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali.

NIMEMALIZA

Kwa msimamo Huo hutokaa uolewe ng'o.

Na hata ukiolewa hutodumu kwenye ndoa!!

NAMI NIMEMALIZA PIA!!
 
swadaktaaa! kama pesa zake zinatosha hadi kuhonga michepuko iweje na zako ziwe zake!!!?
 
Hizo ni Fikra tu ila kwenye ndoa inategemea usifikiri mawazo yote yanaweza kutumika .Mengine hutayatumia usitudanganye
 
Bado upo ndani ya box na ni self-centered.Ombea usipate mbabe,utafuta kauli zote kwa mkupuo.
 
Natafuta mwanamke mwenye msimamo kama wako,ili tukielewana vizuri tufunge ndoa.
 
Kwa jinsi ulivoandika kama unahasira na haraka fulani hivi kunywa kikombe cha maji kwa upate pumzi vizuri sana
 
Mtaani kuna vichaa wakosekane humu jf, haiwezekani hata siku mmoja,
kila kwenye watu wengi kuna vichaa kwa mfano hili, sijui lilisoma chuo ngani?

its takes no tym for one to know one, lol!
 
swadaktaaa! kama pesa zake zinatosha hadi kuhonga michepuko iweje na zako ziwe zake!!!?

thats it my dear, ahonge tu ila tunatoka pasu, co nahangaika na watoto yeye anahonga michepuko!! inahuuu!
 
Bado upo ndani ya box na ni self-centered.Ombea usipate mbabe,utafuta kauli zote kwa mkupuo.

ubabe kwenye mapenzi wa nn sasa!! nashukuru wangi co mbabe n veryyyyy understanding
 
MSIMAMO WANGU

1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea.

2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi.

3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa.

4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau, imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide.

5. Ni marufuku mambo ya joints a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine sitaki.

6. Pesa zangu ni zangu ata password cmpi, bora nimpe Mama angu ata nikifa ajifutie nazo machozi.

7. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa ake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa.

8. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo.

9. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu, narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali.

NIMEMALIZA

wow!..nice dreams....kuna waowaji basi siku hizi?!
 
Ha ha mleta thread anavyoongea hapa utakuta washa.mfungua..na mwanzo alikuwa na mashart..mwanaume hanipati mpaka anioe
 
kumbe hawapo!! bac mie nilibahatika

hongera sana kama "unaye"!
btw, huo msimamo ulioonesha hapo juu ni standard kwa wanawake wote, siyo kwako tu.
sisi wanaume misimamo yetu huwa siri ya mtu binafsi.
 
Back
Top Bottom