Msikiti wa posta na ubaguzi??

Msikiti wa posta na ubaguzi??

Kwa sababu ulikuwa ukiingia kanisani na viatu basi unataka kila sehemu iwe hivyo hivyo.

Sitaki kusema kwamba upungufu wa elimu kwa kitu unachokijadili ndiyo kilichokufanya uropokwe hivyo.
Sijaongelea kanisani, nimeongelea msikitini.

La kanisani umelitoa wapi?

Huyu analalamika ubaguzi katika nyumba ambayo msingi wake ni ubaguzi.

Hoja haina mantiki.
 
Kuna msikiti fulani upo maeneo ya posta jijini daresalaam huwa siwaelewi waumini wake?

Katika uchunguzi wangu nilipata kuambiwa kuwa watu weusi hawaswali katika msikiti huo, pia kuna ubaguzi wa rangi !!

Inawezekanaje wazawa wabaguliwe katika nchi yao ? Natamani kusikia shuhuda na adha za wenzangu walioweza kuhudhuria msikiti huu wa posta .

Hamna haja ya kuutaja wahusika wanaujua
Mbona mi na swali kila siku
 
Sijaongelea kanisani, nimeongelea msikitini.

La kanisani umelitoa wapi?

Huyu analalamika ubaguzi katika nyumba ambayo msingi wake ni ubaguzi.

Hoja haina mantiki.
Sasa ndiyo umeongea nini? Unatatizo la kujiona unajua sana na mwishoni unaandika pumba.
We suala kutokuvaa viatu msikitini linahusika vp na ubaguzi? et nyumba ambayo msingi wake ni ubaguzi.

Kuzoea kwako kuingia kanisani na viatu,basi unataka na nyumbani zengine za ibada ziwe na utaratibu huohuo.
 
Pale mtu na akili yake anaposema jambo halaf akalifungia na "Sitaji......." hakuna bud kutilia shaka anayoyasema maana hajiamin na huko ni kutufanya wajinga, unaposema jambo njoo na dalili(ushuhuda).
Haya tukubal huo msikit una ubaguz kwa hyo ndo tufanyeje sasa!! ubaguz upo co msikitin tu hata sokon, kwenye vyombo vya usafir n.k, kwa ushaur wang nenda ukashitak kwa Mufti ila humu hutapata msaada kwa sababu sio mahala pake.
 
Sasa ndiyo umeongea nini? Unatatizo la kujiona unajua sana na mwishoni unaandika pumba.
We suala kutokuvaa viatu msikitini linahusika vp na ubaguzi? et nyumba ambayo msingi wake ni ubaguzi.

Kuzoea kwako kuingia kanisani na viatu,basi unataka na nyumbani zengine za ibada ziwe na utaratibu huohuo.
Hujajibu la kanisani umelitoa wapi.

Msikiti haubagui kwa msingi wa wanaoingia kwa kuvaa na kutovaa viatu?
 
Kuna misikiti ya Sunni, Ibadhi, Shia ....,, ya Bohora, Ismailia, Ithnaasheri, Kokny..... Ni upi hasa uliotaka kwenda?

Au ulitaka ukasali tu hata kama siyo madhehebu yako?
 
Wewe kama sio muumini wa huo msikiti
unakuwashia niini?
mbona misikiti ipo mingi tu Tanzania?
Mkuu umempa za uso baaaaaabkubwa,huyu anataka kutuchafulia hali ya hewa humu jukwaani,naomba moderators wamchunge huyu kefule.
 
Kuna msikiti fulani upo maeneo ya posta jijini daresalaam huwa siwaelewi waumini wake?

Katika uchunguzi wangu nilipata kuambiwa kuwa watu weusi hawaswali katika msikiti huo, pia kuna ubaguzi wa rangi !!

Inawezekanaje wazawa wabaguliwe katika nchi yao ? Natamani kusikia shuhuda na adha za wenzangu walioweza kuhudhuria msikiti huu wa posta .

Hamna haja ya kuutaja wahusika wanaujua
Msikiti haupo mmoja, hebu ingia kama utatolewa
 
Hujajibu la kanisani umelitoa wapi.

Msikiti haubagui kwa msingi wa wanaoingia kwa kuvaa na kutovaa viatu?
Kama nilivyoeleza kuwa kwa sababu wewe ulizoea kuingia kanisani na viatu basi unataka na nyumba zengine ziwe na utaratibu huohuo,na ndiyo maana kwako wewe japo msikitini watu wote huvua viatu ila wewe unaita ubaguzi et kwa wenye kutaka kuvaa viatu.
 
Weka jina la msikiti nikajaribu...nione huyo atakayenizuia,patachimbika.
Naona wewe haujawahi kukumbana na kimbembe cha ubaguzi wa aina yoyote nadhani, usingetumia hilo neno "patachimbika".
Kwenye ubaguzi, hauwezi kupewa ushirikiano wa aina yoyote na hiyo jamii baguzi. Hadi mwenyewe uta-surrender. Huasemeshwi, haujibiwi! Hauongei ukajibiwa. Haushirikishwi chochote!
Sasa katika mazingira kama hayo utachimbaje mkwara? Utakoromea jamii nzima?
 
Kama nilivyoeleza kuwa kwa sababu wewe ulizoea kuingia kanisani na viatu basi unataka na nyumba zengine ziwe na utaratibu huohuo,na ndiyo maana kwako wewe japo msikitini watu wote huvua viatu ila wewe unaita ubaguzi et kwa wenye kutaka kuvaa viatu.
La kanisani umelitoa wapi?
 
Back
Top Bottom