Msikiti uliopewa Jina la Yesu

Msikiti uliopewa Jina la Yesu

Wakati wa Yesu kulikuwa hakuna uislam wala muislam. Yesu alifuata wayahudi walichokuwa wakifanya
Kumbe wayahudi walikuwa wanasali kwenye masinagogi ,
Na kunawa uso ,,
mikono na miguu,,
Kabla ya kusali.
Pamoja na kuvua viatu ,,kusujudu na kupiga magoti wakati wa kusali ..


Utasemaje uislam haukuwepo?

Kwani wafanyavyo kama alivyofanya yesu na wayahudi ni akina nani?


Uislam ulikuwapo tangu Adam ,,. Ndy maana watu wanabatizwa kuingia ktk dini zinazomilikiwa na watu hapa duniani ,,ili kuwatoa kwenye dini ya asili ya baba yetu Adam na mama yetu hawa.
 
Kumbe wayahudi walikuwa wanasali kwenye masinagogi ,
Na kunawa uso ,,
mikono na miguu,,
Kabla ya kusali.
Pamoja na kuvua viatu ,,kusujudu na kupiga magoti wakati wa kusali ..


Utasemaje uislam haukuwepo?

Kwani wafanyavyo kama alivyofanya yesu na wayahudi ni akina nani?


Uislam ulikuwapo tangu Adam ,,. Ndy maana watu wanabatizwa kuingia ktk dini zinazomilikiwa na watu hapa duniani ,,ili kuwatoa kwenye dini ya asili ya baba yetu Adam na mama yetu hawa.
Korani inasema Mtume Muhamad alikuwa wa kwanza kusilim

KORANI 6:163. Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu.
He hath no associate. This am I commanded, and I am the first of the Muslims. S. 6:163 Rodwell
Korani 6:14. Sema: Je, nimchukue rafiki mlinzi asiye kuwa Mwenyezi Mungu, ambaye ndiye Muumba mbingu na ardhi, naye ndiye anaye lisha wala halishwi? Sema: Mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wenye kusilimu. Na wala kabisa usiwe miongoni wa washirikina.
Say, verily my Lord hath directed me into a right way, a true religion, the sect of Abraham the orthodox; and he was no idolater. Say, verily my prayers, and my worship, and my life, and my death are dedicated unto God, the Lord of all creatures: He hath no companion. This have I been commanded: I am the first Moslem (Wa 'Ana 'Awwalu Al-Muslimin). S. 6:161-163



Issa mnamfahamu ninyi wafuasi wa Mwamedii
 
Labda nikuulize kwani biblia Ni maneno ya nani?
Biblia ni mchanganyiko.wa vitabu vya manabii na mitume.ukiangalia.torati.mambo ya walawi.kaandika.mussa.zaburi.kaandika....daudi. mithali wimbo ulio bora.kaandika Suleiman...
 
Korani inasema Mtume Muhamad alikuwa wa kwanza kusilim

KORANI 6:163. Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu.
He hath no associate. This am I commanded, and I am the first of the Muslims. S. 6:163 Rodwell
Korani 6:14. Sema: Je, nimchukue rafiki mlinzi asiye kuwa Mwenyezi Mungu, ambaye ndiye Muumba mbingu na ardhi, naye ndiye anaye lisha wala halishwi? Sema: Mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wenye kusilimu. Na wala kabisa usiwe miongoni wa washirikina.
Say, verily my Lord hath directed me into a right way, a true religion, the sect of Abraham the orthodox; and he was no idolater. Say, verily my prayers, and my worship, and my life, and my death are dedicated unto God, the Lord of all creatures: He hath no companion. This have I been commanded: I am the first Moslem (Wa 'Ana 'Awwalu Al-Muslimin). S. 6:161-163
Wa kwanza Muslim kwa zama zake,,
miaka 600 ilipita baada ya yesu ,,,ndy zikafika zama za mtume Muhammad (s.a.w)..kabla ya hapo,,

Hapakuwa na mtume mwingine wa kukumbusha,,zaidi ya wale waliopotosha,,

Kwa wakati huo dini ya uslam ilifutika kabisa na watu wakarejea kuabudu masanamu na dini za ajabu ajabu,,

,,kutokana na uovu wa binadamu kuongezeka duniani.


ndipo alipopewa utume Nabii Muhammad (s.a.w) kwa ajili watu wote wa dunia nzima..

Kukumbusha watu juu ya kumwabudu mungu wa kweli(Allah) na dini ya haki(Islam)
 
Ilianzia katika mvutano wa kisheria kati ya jumuia ya Kiislamu na Kanisa la Waadventista wa Sabato (SDA) kuhusu umiliki wa ardhi.

Mvutano huo uliokuwepo kwa miongo kadhaa, ulimalizika mwezi Oktoba mwaka huu na Mahakama ya Mazingira mjini Kisumu iliamua kuwa ardhi hiyo ni milki ya Jamii ya Kiislamu.

Katika jitihada za kujenga daraja la mahusiano kati ya jamii ya Kiislamu na kanisa, imechagua jina la msikiti ambalo limevuta hisia za wengi katika mitandao ya kijamii.

Msikiti ambao umejengwa kwenye ardhi iliyokuwa kwenye mgogo eneo la Kaloleni katika Kaunti ya Kisumu unaitwa 'Msikiti wa Yesu Kristo mwana wa Maria ( The Mosque of Jesus Christ the son of Mary)

Lakini kwa nini jina hili la kipekee?

Abdul Rashid ni Mwadhini ameliambia gazeti la The Standard la Kenya kuwa '' Tumekuwa na mvutano wa muda mrefu kuhusu ardhi na hii ni moja ya sababu zilizotufanya kuchagua jina hili. Sisi hatuna uadui na Wakristo,'' alisema.

Amesema kuwa Waislamu pia wanaamini Yesu na kuwa alikuwa sambamba na manabii wanne akiwemo Mtume Muhamad (S.A.W).

''Waislamu wanaamini katika Yesu Kristo . Uchaguzi wa jina pia ni shukrani ya Yesu Kristo ambaye tunaamini atarudi tena," Rashid aliliambia gazeti la The Standard.

Hatua hii imegusa hisia za watu nchini Kenya wengine wakihoji je, huu ni Msikiti na Kanisa kwa wakati mmoja? Wengine wameifurahia hatua hiyo

BBC.View attachment 1660159

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Inapendeza.
 
Hii ni baada ya editing..lakini sinagogi ni msikiti wa wayahudi..

Maana kila kukicha watu wana edit pale penye mashaka..

Kama yesu alikuwa anasali kwa kupiga magoti na kusujudu,,

Je, ni akina nani wanasujudu?

Jibu hoja.

Kama yesu alikuwa akivua viatu akiingia ktk sinagogi,,

Je, akina nani wanavua viatu wakiingia kusali?

Kama yesu alikuwa haonyeshi alama ya msalaba,,

Nani basi aliyeta msalaba?

Kama yesu alikuwa haswali kwenye madawati na viti,
Je ni nani basi aloyeleta mambo ya kusali kwa kukaa kwenye madawati?

Kama yesu alisema toeni kelele za vinanda vyenu..

Akina nani basi walileta nyimbo kwenye sinagogi?
Mohammad na sinagogi kipi kilitangulia?. Ni nani alileta misikiti
 
Huwa nashangazwa sana na ndugu zangu waislam.

Huwa wanapenda sana kujipenyeza na kutafuta justification ya imani yao kwenye Biblia. Sijui hata kwa nini!

Sijawahi kuona wakristo wakijipenyeza wala kutafuta justification ya imani yao mwenye Quran.

Hivi kwani Quran yenyewe kama yenyewe haitoshi kujisimamia mpaka nitafute justification ya manbo yenu kwenye kitabu cha imani nyingine? Mbona wakristo hawafanyi hivyo?

Mara utasikia Yesu alikuwa muislam, mara Yesu ni Issa, mara roho mtakatifu ni Mohamed... c'mon guys what's wrong with you?????
 
Haya niambie hyo kumbukumbu ya taurati
34-5.
Aliandika Nani WAKATI INAONESHA MUSA AMESHAKUFA?
Biblia ni mchanganyiko.wa vitabu vya manabii na mitume.ukiangalia.torati.mambo ya walawi.kaandika.mussa.zaburi.kaandika....daudi. mithali wimbo ulio bora.kaandika Suleiman...
Screenshot_20201229-040852.jpg
 
Utofaiti umeletwa baada ya yesu kufa,,

Lakini kabla ya hapo hakukuwa na tofauti yeyote.


Yesu na issa ni watu wawili tofauti?

Inna Lilah waina ilaih ragiun


Msiba mzito huo mgalatia wewe.
TOFAUTI KUMI (10) KATI YA ISA WA KWENYE QURAN NA YESU WA KWENYE BIBLIA.



ISA WA QURAN KAZALIWA CHINI YA MTENDE WAKATI YESU WA KWENYE BIBLIA KAZALIWA KWENYE ZIZI LA NG'OMBE
TOFAUTI KUMI (10) KATI YA ISA WA KWENYE QURAN NA YESU WA KWENYE BIBLIA.
Taarifa za Malaika kabla ya kuzaliwa kwao, kadiri ya Qurani na Biblia.
Jibrili alivyomtokea Mama wa Isa == Gabrieli alivyomtokea mama wa Yesu:
A. MARYAM ALIKUWA MSIKITINI vs. MARIAM ALIKUWA NYUMBANI KWAKE:
1. WAISLAM-JIBRIL Alienda kwa Mariamu aliyekuwa Msikitini Qurani 19:16-17
2. WAKRISTO-GABRIEL Alienda kwa Mariamu aliyekuwa nyumbani kwake - Lk 1:26-28
B. MARYAM HAJULIKANI ANAISHI WAPI vs MARIAM ANAYE ISHI NAZARETI:
1. WAISLAM-Mariamu Mama wa Isa haijulikani aliishi kijiji kipi wala mji gani wala hata nchi haijulikani. Isitoshe Quran inasema kuwa Jibril ndiye aliyemletea utume Muhammad asiwapelekee Mayahudi (hana kosa) Sura 2:97
2. WAKRISTO-Lakini Mariamu Mama yake Yesu alitokewa na Malaika Gabriel akiwa katika kijiji cha Nazareti mji wa Galilaya nchi ya Israeli (Lk 1:26) Mariamu Mama wa Yesu ni Myahudi.
C. JIBRIL HAKUMSALIMIA MARYAM vs GABRIEL ALIYE MSAMILIA MARIAM:
1. WAISLAM-Jibrili hakutoa salamu kwa Mariamu mama wa Isa ila alijimithilisha kwa umbo la binadamu aliye kamili - Sura 19-17
2. WAKRISTO-Malaika Gabrieli alimsalimia Mariamu Mama wa Yesu – Luka 1:28
D. JIBRIL ALISEMA YEYE NDIE ANATOA MTOTO vs . GABRIEL ALIYE SEMA KUWA MARIAM ATACHUKUA MIMBA:
1. WAISLAM-Jibril alimwambia Mariamu kwamba mimi ni mjumbe wa mola wako ili nikupe mwana mtakatifu - Sura 19-19
2. WAKRISTO-Lakini malaika Gabrieli alimwambia mama wa Yesu kuwa utachukua mimba – Luka1: 31
E. JIBRIL HAKULIJUA JINA LA MTOTO vs. GABRIEL ALIYE SEMA KUWA MTOTO ATAITWA YESU:
1. WAISLAM-Jibrili alisema kwa Mariamu kuwa ili tumfanye mtoto muujiza kwa wanadamu – Sura 19: 21. Isitoshe Jibrili hakutaja jina la mwana kwa Mariamu. Bali alisema ili nikupe mwana mtakatifu.
2. WAKRISTO-Malaika Gabrieli alisema kwa Mariamu mama ya Yesu kuwa mtoto jina lake utamwita Yesu (Luka 1:31; 2:21) Gabrieli hakusema kuwa atampa mwana Mariamu. Bali alisema, Roho mtakatifu atakujilia juu yako, yaani motto atazaliwa kwa uwezo wa Mungu.
TOFAUTI YA KUZALIWA KWA ISA NA YESU
Isa bin Mariam vs. Yesu Kristo
F. ISA KAZALIWA CHINI YA MTENDE vs YESU KAZALIWA KWENYE HORI LA NG'OMBE:
1. WAISLAM-Isa alizaliwa katika shina la Mtende –Quran 19:23
2. WAKRISTO-Yesu kazaliwa katika hori la kulishia ng’ombe. Luka 2:7
G. MIMBA YA ISA HAIJULIKANI ILKUWA YA MUDA GANI vs. YESU ALIYE ZALIWA KWA SIKU ZAKE ZILIPO KAMILIKA:
1. WAISLAM-Kuzaliwa kwa Isa haijulikani mimba ya mama yake ilichukua muda gani maana malaika Jibrili alisema nikupe mwana mtakatifu mara akachukua mimba na kuzaa. (19: 22-23)
2. WAKRISTO-Lakini Mariamu Mama wa Yesu siku zake za kuzaa zilitimia. (Luka 2:6-7)
H. ISA HAKUTABIRIWA KWENYE QURAN vs. YESU ALITABIRIWA KWENYE BIBLIA:
1. WAISLAM-Qurani haionyeshi kama Isa alitabiriwa na manabii kuwa atazaliwa
2. WAKRISTO-Lakini Biblia inatuthibitishia kuwa Manabii walitabiri kuzaliwa kwa Yesu, (Isaya 7: 14; 9:6) utabiri huu ulitolewa na Nabii Isaya miaka 750 kabla ya Yesu kuja kuzaliwa nao ulitimia (Mathayo 1:18-23)
I. ISA HAJULIKANI ALIZALIWA WAPI AU KIJIJI KIPI vs. YESU ALIYE ZALIWA BETHLEHEM:
1. WAISLAM-Isa haijulikani alizaliwa katika kijiji gani wala mji, wala nchi aliyozaliwa Qurani haikueleza.
2. WAKRISTO-Biblia inatujulisha kuwa Yesu alizaliwa Bethelehemu ya Uyahudi katika Mji wa Daudi umbali wa maili 5 toka kusini mwa Yerusalemu nchi ya Israeli (Lk 2:8-16). Kuzaliwa kwake mahali hapo pia ni kutimiza unabii uliotolewa na nabii Mika miaka 750-686 kabla ya kristo kuja wakati wa wafalme hawa wakitawala – Jotham, Ahaz na Hezekia wafalme wa Yuda. Yesu mwenyewe alizaliwa kama mwaka wa 4 wakati wa Mfalme Herode.
J. ISA ALIONGEA AKIWA MTOTO MCHANGA vs. YESU HAKUONGEA AKIWA MTOTO MCHANGA:
1. WAISLAM-Isa aliongea na watu akiwa mototo mchanga, na kusema kuwa yeye ni mja wa Mungu amepewa kitabu na amefanywa Nabii (Sura 19:30-33)
2. WAKRISTO-Yesu hakuongea na mtu akiwa mtoto mchanga. Alianza kuwauliza maswali na kutoa majibu akiwa na wazee Hekaluni akiwa na miaka 12. (Luka 2: 42-49)
Hivyo tunaona kwamba tuna tofauti nyingi tu kati ya Bwana Yesu na Isa. Swali kwako mfuatiliaji je, Isa bin Maryamu ndiye Bwana Yesu Mwokozi? Jibu ni hapana.
 
Hebu nipe maelezo ya mimba ya yesu ,,kuzaliwa kwake na kumbukumbu za Xmas December 25.

Mkuu umeeleza vizuri sana..

Hebu nambie basi kama Gabriel alimtokea Mirium mwezi wa 6..

Iweje yesu azaliwe baada ya miezi 18..
Dec 25.


Story yako imefanyiwa editing na umekaririshwa vizuri sn.
Unazalisha hoja ingine nje ya mada.Km umechemka kubali tu
 
Back
Top Bottom