mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,453
- 21,660
Sasa kuanzia mwezi April mwezi halisi wa kuzaliwa kupeleka hadi December hapo ndy mmeona ndy siku muafaka,,?kwanza kabisa hatujui baada ya kumtokea hiyo mwezi wa sita ilimchukua muda gani kupata mimba,halafu pia ninavyojua mimi tarehe 26/12 imepangwa kukumbuka tukio la kuzaliwa kwa yesu kama tu babaangu mzazi tulivyoamua kutumia tarehe 1/7 kusherehekea sikukuu yake ya kuzaliwa baada ya kukosa kumbukumbu za tarehe halisi na sio dhambi maana pale inasherehekewa tukio sio tarehe
Haiingii akilini mkumbuke mwezi aliozaliwa lakini msikumbuke tarehe,,
Basi hata hesabu pia?
Kwann xs mass isiwe April 25?
Iwe dec 25?
Hamuoni kama pengine mnasherehekea kuzaliwa kwa yuda?
Au mnasherehekea kuzaliwa kwa baraba?
Inaweza ikawa pengine mtu yeyote kwa utashi wake aliamua kubadili tarehe kuwadanganya umma kwa faida zake.