Mhhh....je unajua tamaduni za kuabudu zinazotumiwa na wayahudi???Hii ni baada ya editing..lakini sinagogi ni msikiti wa wayahudi..
Maana kila kukicha watu wana edit pale penye mashaka..
Kama yesu alikuwa anasali kwa kupiga magoti na kusujudu,,
Je ni akina nani wanasujudu?
Jibu hoja.
Kama yesu alikuwa akivua viatu akiingia ktk sinagogi,,
Je akina nani wanavua viatu wakiingia kusali?
Kama yesu alikuwa haonyeshi alama ya msalaba,,
Nani basi aliyeta msalaba?
Kama yesu alikuwa haswali kwenye madawati na viti,
Je ni nani basi aloyeleta mambo ya kusali kwa kukaa kwenye madawati?
Kama yesu alisema toeni kelele za vinanda vyenu..
Akina nani basi walileta nyimbo kwenye sinagogi?
Hata yesu alikuwa anavaa kanzu na kofia,,Mvaa pekosi kwenye ubora wko
Hivi dini ni tamaduni au amri ya MUNGU?Mhhh....je unajua tamaduni za kuabudu zinazotumiwa na wayahudi???
Hiyo ni tamaduni ya wayahudi haina uhusiano na dini.Angezaliwa Arusha angekuwa anavaa Rubega.Hakuna uhusiano kati ya mavazi na imani ya mtuHata yesu alikuwa anavaa kanzu na kofia,,
Leo na nyie mmekua wa kuwafundisha wa Kristo Yesu fake na Yesu halisi?مسجد عيسى بن مريم =Masjid Issa Bin Maryam
The Mosque of jesus Christ Son of Merry
Msifikiri hilo jina la Jesus ndio yule yesu aliesulubiwa, mkae mjue hilo. Aliekusudiwa hapo ni Issa/Yesu OG. Na si yesu fake.
Aliekuambiwa hawakuwa wakiimba na kucheza mbele za. Mungu ni nani?Hii ni baada ya editing..lakini sinagogi ni msikiti wa wayahudi..
Maana kila kukicha watu wana edit pale penye mashaka..
Kama yesu alikuwa anasali kwa kupiga magoti na kusujudu,,
Je ni akina nani wanasujudu?
Jibu hoja.
Kama yesu alikuwa akivua viatu akiingia ktk sinagogi,,
Je akina nani wanavua viatu wakiingia kusali?
Kama yesu alikuwa haonyeshi alama ya msalaba,,
Nani basi aliyeta msalaba?
Kama yesu alikuwa haswali kwenye madawati na viti,
Je ni nani basi aloyeleta mambo ya kusali kwa kukaa kwenye madawati?
Kama yesu alisema toeni kelele za vinanda vyenu..
Akina nani basi walileta nyimbo kwenye sinagogi?
Na aliyesema nachukizwa na kelele za vinanda vyenu ni nani?Aliekuambiwa hawakuwa wakiimba na kucheza mbele za. Mungu ni nani?
1 Mambo ya Nyakati 13:8
[8]Wakacheza Daudi na Israeli wote, mbele za Mungu, kwa nguvu zao zote; na kwa nyimbo na kwa vinubi, na kwa vinanda, na kwa matari, na kwa matoazi, na kwa tarumbeta.
-kusali kwenye masinagogi ni tamaduni?Hiyo ni tamaduni ya wayahudi haina uhusiano na dini.Angezaliwa Arusha angekuwa anavaa Rubega.Hakuna uhusiano kati ya mavazi na imani ya mtu
Naomba nikusaidie ndugu, inaonekana Kuna upunguf kdgo kumjua KRISTO.kwanza hakuna popote yesu kasema toeni kelele za vinanda.dini ya kiyahud ni kongww kuliko ukristo na uislam.dini hz mbili zilivyokuja zilijaribu ku-odopt baadh ya vitu toka kwa wayahudi.sinagog asili yake ni uyahudi, tafsir yake ni msikit(lkn wa din ya kiyahud)sio islam.hvyo hvyo walikua na hekalu(ambao wakristo pia waliadopt that's why kanisa mahala pengine kinaitwa hekalu)ni km vile kiswahili kilipokua kinatungwa Kuna MANENO yalitoholewa kutoka kwenye lugha nyingine.nadhani umenielewa.kuhusu kumfuata yesu jibu liko wazi sana.ili uwe mfuasi kamili wa yesu,shart ubatizwe.je mnafanya hivyo!??alamsikHii ni baada ya editing..lakini sinagogi ni msikiti wa wayahudi..
Maana kila kukicha watu wana edit pale penye mashaka..
Kama yesu alikuwa anasali kwa kupiga magoti na kusujudu,,
Je ni akina nani wanasujudu?
Jibu hoja.
Kama yesu alikuwa akivua viatu akiingia ktk sinagogi,,
Je akina nani wanavua viatu wakiingia kusali?
Kama yesu alikuwa haonyeshi alama ya msalaba,,
Nani basi aliyeta msalaba?
Kama yesu alikuwa haswali kwenye madawati na viti,
Je ni nani basi aloyeleta mambo ya kusali kwa kukaa kwenye madawati?
Kama yesu alisema toeni kelele za vinanda vyenu..
Akina nani basi walileta nyimbo kwenye sinagogi?
Amri za mungu ziko kumi.dini ni namba ngapi?Hivi dini ni tamaduni au amri ya MUNGU?
Unachanganya mafile.ni kweli kuimba ni sehemu ya ibada za kikristo.ss nmekuuliza wp yesu kasema toeni kelele za vinanda!?Aliekuambiwa hawakuwa wakiimba na kucheza mbele za. Mungu ni nani?
1 Mambo ya Nyakati 13:8
[8]Wakacheza Daudi na Israeli wote, mbele za Mungu, kwa nguvu zao zote; na kwa nyimbo na kwa vinubi, na kwa vinanda, na kwa matari, na kwa matoazi, na kwa tarumbeta.
Umechanganya mafaili ile mbaya...Allah ni sawa na God ila sio sawa na Jehova pia Issa sio YesuKwa sababu Jesus na issa Ni mtu mmoja.
Ni sawa mungu kumuita God,yehova au ALLAH.
Watu fudenge kwa kutunga porojo utawaweza Basi?Yesu alikuaje sambamba na SAW?
Umechanganya mafaili ile mbaya...Allah ni sawa na God ila sio sawa na Jehova pia Issa sio Yesu
Maryam mama wa Issa wa kwenye Quran ni dada yake na Imran au Aaron au dada yake mussa.Isa. Sio yesu.
Unataka kusema Mary sio Mariam?
Yesu na Issa ni watu wawili tofauti. Kwanini?Kwa sababu Jesus na issa Ni mtu mmoja.
Ni sawa mungu kumuita God,yehova au ALLAH.