Msikilizeni Zitto Star TV

Msikilizeni Zitto Star TV

You are excessively blinded by DJ ZERO MBOWE just because of getting sth to eat from him.Stand firm and independently.Think Again...
You're clueless indeed, In fact I am a man of my own who knows what he wants from the politics.I am not a worshipper or ass kisser like you.For your information, I am also a big critic of Mbowe. Many CHADEMA supporters know me very well and my stance on Mbowe,they are also suspicious about me.I am an independent thinker and because I view things independently,I foresee things you guys can't objectively see because of your blind loyalty to the guys you blindly follow.
 
Mzalendo wa kweli mwenye uchungu na nchi hii atachangia tu, kwa sasa tunaanza kuweka kapu baada ya kupigwa neno la ukombozi wa kizalendo unatupia noti kwenye kapu, mihadhara sasa ni mwanzo mwisho hadi nchi irudi kwenye misingi yake.

CCM NI WAZARENDO ZAIDI NDIO MAANA WAMEOMBWA MIL 700 ili kumuwezesha zitto kabwe afanye kazi aliyopewa. ISINGI HANI HIYO MKUU unazungumzia?
 
You're clueless indeed, In fact I am a man of my own who knows what he wants from the politics.I am not a worshipper or ass kisser like you.For your information, I am also a big critic of Mbowe. Many CHADEMA supporters know me very well and my stance on Mbowe,they are also suspicious about me.I am an independent thinker and because I view things independently,I foresee things you guys can't objectively see because of your blind loyalty to the guys you blindly follow.
Anyways!I think your bread went away with the Escrow scandal !Live fairly and you will harmoniously enjoy life or move away with your fellow Nation's culprits
 
Watanzania wamekuwa werevu mno miaka hii. Tapeli anajulikana mapema kabla jua halijachomoza.
Zitto na utapeli wake hataweza kutapeli watanzania
Naomba ukimuona Saed Kubenea mwambiye tumechoka na fitna zake juu ya Zittokabwe. Watanzania tuna matatizo mengi yeye gazeti zima anajaribu kumfitinisha Zittokabwe na watanzania Kama anaugomvi nae katika mgao amtumie email. Gazeti lake Mawio kwa sasa limekuwa full mipasho tumechoka
 
Naomba ukimuona Saed Kubenea mwambiye tumechoka na fitna zake juu ya Zittokabwe. Watanzania tuna matatizo mengi yeye gazeti zima anajaribu kumfitinisha Zittokabwe na watanzania Kama anaugomvi nae katika mgao amtumie email. Gazeti lake Mawio kwa sasa limekuwa full mipasho tumechoka
Dah!!Kaka kweli Tumechoka,nchi ina matatizo mengi kama jamaa ana ugomvi binafsi na Zitto ampigie simu amma ampeleke mahakamani kama wamedhurumiana!
 
Kusema kweli ule waraka Mwigamba aliomwandikia Zitto umenifanya nimfahamu Zitto vizuri. Kumbe tuhuma zoote anazohusishwa nazo ni za kweli. Kwa sababu SABABU alichosema Mwigamba kuhusu Zitto kilitoka kwenye unbiased perspective kwa wakati ule. Zitto ana matatizo ya msingi. Na hili tatizo la ubinafsi 'one man show" personal glory ambayo Pasco ameyazumgumzia sana kuhsu Zitto ndiyo yatakayomwangusha. Zitto haamini katika taasisi! Ukimsikliza mara nyingi kwenye mazungumzo yake neno, "nimefanya, nilishauri niltoa hoja, nili, mimi, nime, nime...He only believes in himself. He is myopic! Hili tatiz sijui linatokana na makuzi au ni udhaifu wa kawaida! Lakini km Mwigamba alivyomwambia, Zitto amekuwa katika special mission tangu 2008 kuimaliza Chadema. Mambo mengine nilikuwa nayatilia shaka laini waraka wa mwigamba kwa zitto umenifanya niamini kwamba asilimia kubwa ya tuhuma dhidi ya Zitto ni za kweli!
 
Ndullu nadhani ni msomi wa vyeti . Sina hakika kwa kweli na elimu yake

Hapana Prof Ndullu kasema ukweli kuwa kuna fedha ndefu imevutwa BOT, huo ni ukweli usiokuwa na shaka, nikukumbushe tu, vifaa vya kijeshi haviuzwi kwa mkopo lakini juzi tumepokea manowari mbili, mie nilishangaa sana hivi kwanini tununue manowari kipindi hiki kigumu cha nchi? kama kipaumbele chetu ni manowari basi tungeachana na mchakato wa katiba mpya, tume ya warioba na BVR tukanunua manowari fedha yetu ingebaki salama.

Lakini sishangai haya kutokea dakika za nyongeza, hata muhula uliopita tulinunulishwa ndege ya bwana mkubwa na king'amuzi.
 
Dah!!Kaka kweli Tumechoka,nchi ina matatizo mengi kama jamaa ana ugomvi binafsi na Zitto ampigie simu amma ampeleke mahakamani kama wamedhurumiana!
wabongo bana,wanataka kusikia nyimbo tamu tu.za huzuni hawataki.ungekuwa unajua mission ya Zito ungemkubali Kubenea.
 
You're clueless indeed, In fact I am a man of my own who knows what he wants from the politics.I am not a worshipper or ass kisser like you.For your information, I am also a big critic of Mbowe. Many CHADEMA supporters know me very well and my stance on Mbowe,they are also suspicious about me.I am an independent thinker and because I view things independently,I foresee things you guys can't objectively see because of your blind loyalty to the guys you blindly follow.

Mimi nadhani heri kumfuata Mbowe blindly kuliko kuipa CM mwanya wa kupumua. Ana mapugufu yake lakinii Siasa Tanzania imechangamka lkwa sabu ya uimara wa huyu Jamaa. Kama si uimara wa Mbowe chadema leo ingekuwa historia! Kama hutaki kajinyonge!
 
Arudishe milioni 700 kwani wananchi wanzifahamu na bila kuzirudisha wataendelea kumkataa hata uongozi wa nyumba kumi hatopata.

mmawia,mimi ni mtanzania lakini mbona sina habari na hiyo kitu?au labda kutokuwa kwangu na habari hii kunatokana na mimi kutumia kichwa kufikiri tofauti nanyi wenzangu?au kutokuwa na habari na hii kitu kunatokana na mimi kuwa mtu wa kusimamia mambo yaliyo na ushahidi badala ya kufuatilia umbea?au labda kwa kuwa mimi si msomaji wa magazeti ya umbea yanayomzungumzia fulani badala ya issue?
 
Hii JamiiForum ina mkono wa Zitto??

Mmiliki ni mchaga, namwomba sana.. Awaondoe Moderetors.
Ili kulinda kuheshimiana kwetu kama tulivyoaswa na wazee wetu.

Mangi Mushi (mmiliki wa JamiiForums) chonde chonde Moderators wameanza kuibagua chama chenye baraka za wazee wa kichaga Chadema.
 
Kuna watu wana chuki hii Tanzania hata shetani hana
 
Hapana Prof Ndullu kasema ukweli kuwa kuna fedha ndefu imevutwa BOT, huo ni ukweli usiokuwa na shaka, nikukumbushe tu, vifaa vya kijeshi haviuzwi kwa mkopo lakini juzi tumepokea manowari mbili, mie nilishangaa sana hivi kwanini tununue manowari kipindi hiki kigumu cha nchi? kama kipaumbele chetu ni manowari basi tungeachana na mchakato wa katiba mpya, tume ya warioba na BVR tukanunua manowari fedha yetu ingebaki salama.

Lakini sishangai haya kutokea dakika za nyongeza, hata muhula uliopita tulinunulishwa ndege ya bwana mkubwa na king'amuzi.

Hapo wanacheza na 10%,ili kuhakikisha wanajipanga vema na changamoto za uchaguzi.Haiwezekani manunuzi makubwa kama hayo yafanyike ktk kipindi kifupi namna hii.
 
Anyways!I think your bread went away with the Escrow scandal !Live fairly and you will harmoniously enjoy life or move away with your fellow Nation's culprits
You keep proving how shallow you're buddy, How did I benefit from the ESCROW scandal? I can see you're trying to diverge from the core argument we have had because I've managed to take the wind off your sail buddy. I think you're punch-drunk, aren't you?
 
Hii JamiiForum ina mkono wa Zitto??

Mmiliki ni mchaga, namwomba sana.. Awaondoe Moderetors.
Ili kulinda kuheshimiana kwetu kama tulivyoaswa na wazee wetu.

Mangi Mushi (mmiliki wa JamiiForums) chonde chonde Moderators wameanza kuibagua chama chenye baraka za wazee wa kichaga Chadema.

Umeshiba magimbi sasa unaanza kuleta mbwembwe ?
 
Back
Top Bottom