Msikilizeni Zitto Star TV

Msikilizeni Zitto Star TV

Kwa kuendelea kumfanyia promo zzk sasa hiyo channel yenu tutaisusa kama tbc na mawingu tv mtabaki kuonyesha mikutano ya ccm tu pale nyamagana
Kamanda, ule msemo wa ukisusa weye wenzio twala waujua?

Si ajabu wewe pia unampa promo bila kujijua.
 
mmawia,mimi ni mtanzania lakini mbona sina habari na hiyo kitu?au labda kutokuwa kwangu na habari hii kunatokana na mimi kutumia kichwa kufikiri tofauti nanyi wenzangu?au kutokuwa na habari na hii kitu kunatokana na mimi kuwa mtu wa kusimamia mambo yaliyo na ushahidi badala ya kufuatilia umbea?au labda kwa kuwa mimi si msomaji wa magazeti ya umbea yanayomzungumzia fulani badala ya issue?

Mkuu inawezekana wewe ni mtanzania unaye ishi somalia au kwa burundi kusiko na nafasi ya kujitafutia habari kupitia njia mbali mbali..pole sana kiongozi wangu kwa kutolijua hilo.
 
Mimi nadhani heri kumfuata Mbowe blindly kuliko kuipa CM mwanya wa kupumua. Ana mapugufu yake lakinii Siasa Tanzania imechangamka lkwa sabu ya uimara wa huyu Jamaa. Kama si uimara wa Mbowe chadema leo ingekuwa historia! Kama hutaki kajinyonge!

Mkuu atakuwa amekuelewa na kama hakukuelewa badi huyo ni mhamiaji haramu
 
Mimi nadhani heri kumfuata Mbowe blindly kuliko kuipa CM mwanya wa kupumua. Ana mapugufu yake lakinii Siasa Tanzania imechangamka lkwa sabu ya uimara wa huyu Jamaa. Kama si uimara wa Mbowe chadema leo ingekuwa historia! Kama hutaki kajinyonge!

100%!! absolutely true
 
Mimi nadhani heri kumfuata Mbowe blindly kuliko kuipa CM mwanya wa kupumua. Ana mapugufu yake lakinii Siasa Tanzania imechangamka lkwa sabu ya uimara wa huyu Jamaa. Kama si uimara wa Mbowe chadema leo ingekuwa historia! Kama hutaki kajinyonge!
Umedandia mjadala usiokuhusu.Angalia tulipotokea utaelewa tunachokijadili hapa.
 
wabongo bana,wanataka kusikia nyimbo tamu tu.za huzuni hawataki.ungekuwa unajua mission ya Zito ungemkubali Kubenea.
Hakuna mtu anayependa kusikia mazuri tu.Aandike masuala amma watu kwa facts siyo chuki,jazba na udaku.Ametoka kumlipa pinda kwa ujinga huohuo
 
Act wnaweza kumwita Mbowe Nkurunzinza lakini huwezi kumwaita Zitto --------- A-yatollah Al Khameney

Hawa jf wata ban members watafanya nini lkn hawataweza kuingiza nguvu zao hizo ktk sanduku la kupigia kura kwa nguvu zao hizo za kutupiga ban
 
Jamani najaribu kutafakari, kwani kuna uhusiano gani kati zitto na Jf management, maana kama kuna adhabu zinatolewa kila akizungumziwa zzk negatively:
; Jamani lifanyieni kazi hili @Mod this isn't fair plzz
 
akiongea startv asubuhi amesema wataanza kusambaza uzalendo wiki ijayo kwa kufanya ziara kupita mikoa 14.

Zitto Z Kabwe
Ndg Mwanachama na rafiki wa ACT Wazalendo,
tunaanza awamu ya pili ya ziara ya
kutambulisha chama chetu na kuhamasisha
wananchi kujiandikisha kwenye daftari la
kudumu la kupiga kura. Ili kufanikisha ziara hii
tunahitaji fedha kununua mafuta, kukodisha
magari na kujikimu. Tunaomba mchango wako
wa tshs 10,000 tu. Tuma mchango wako
kwenye namba 0763463740 (ACT POLITICAL)
au 0715784670 (ACT TANZANIA) au NMB A/C
NO. 22610004083 ACT-TANZANIA.[/QUOTE kazi nzuri tutaichangia
 
You're clueless indeed, In fact I am a man of my own who knows what he wants from the politics.I am not a worshipper or ass kisser like you.For your information, I am also a big critic of Mbowe. Many CHADEMA supporters know me very well and my stance on Mbowe,they are also suspicious about me.I am an independent thinker and because I view things independently,I foresee things you guys can't objectively see because of your blind loyalty to the guys you blindly follow.

Kumbe ww unaonekana ni mfuata watu, we are much concerned with party's Policies sio utoto wenu wa kuigiza cdm mchana usiku mko na ccm kupanga hujuma
 
Zitto ni kiongozi ambaye kwa sasa hana mfanowe.

Na uzuri wa Zitto pamoja na Wazalendo wote wa Tanzania sie huwa tunatoa hoja za kuturejeshea nchi yetu kwenye misingi. Ila cdm wao huwa wanatoa matusi ya kila aina na hawana uwezo wa kujenga hoja.

Karibuni ACT-Wazalendo

ZITO hana jipya zaidi amejificha kwenye koti la udini.
 
Back
Top Bottom